This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
Hummels Anukia Bologna
Aliyekua beki kisiki wa klabu ya Borussia Dortmund Matts Hummels raia wa kimataifa wa Ujerumani inasemekana anawindwa kwa karibu na klabu ya Bologna ya nchini Italia. Bologna wanaelezwa kumshawishibeki Hummels …
Juventus Wanamtaka Todibo kwa Mkopo
Klabu ya Juventus inaelezwa inamuhitaji beki wa klabu ya OGC Nice Jean Clair Todibo kwa mkopo ambao una kipengele cha kumnunua kuelekea msimu ujao. Juventus wamekua wakimfukuzia Todibo kwa takribani …
Maguire Asisitiza Bado Yupo Sana Man United
Beki wa kati wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Harry Maguire ameweka wazi kua bado yupo sana ndani ya klabu hiyo licha ya tetesi mbalimbali zinazoendelea. …
Uwayezu Francois Regis CEO Mpya Simba.
KLABU ya Simba imemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, akichukuwa nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwishoni mwa mwezi huu. Jisajili …
Gamondi Kuhusu Dube na Baleke Atoa Neno.
KOCHA Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anashindwa kujizuia na kuchekelea kimtindo namna washambuliaji wapya wa timu, Prince Dube na Jean Baleke walivyoanza maisha ndani ya timu hiyo, akisema namna bora …
Yanga Yazidiwa Mbinu na Simba.
BAADA ya watani wa jadi kugombania saini ya kiungo wa JKT Queens, Amina Bilal hatimaye Simba Queens imefanikiwa kuizidi akili Yanga Princess na kumnasa mchezaji huyo kwa mkataba wa mwaka …
Milioni 600 Kumpeleka Mpanzu Simba.
MABOSI wa Simba wamerudi tena na nguvu kubwa wakifosi zaidi kuinasa ya mchezaji wa AS Vita Elie Mpanzu. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya Meridianbet kila siku. Simba …
West Ham Wanamtaka Duran
Klabu ya West Ham ipo kwenye mchakato wa kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Aston Villa Jhon Duran kwajili kukiboresha kikosi chao kuelekea msimu wa 2024/25. West Ham imepanga kuboresha ofa …
Simba Yarudi kwa Elia Mpanzu
Klabu ya Simba imerejea kwenye mbio za kumuwania winga wa klabu ya As Vita kutoka nchini Congo Elia Mpanzu ambaye amekua akifukuziwa kwa muda mrefu na klabu hiyo. Simba imefanikiwa …
Inter Milan na Man United kubadilishana Wachezaji
Klabu ya Inter Milan ipo kwenye mazungumzo na klabu ya Manchester United kwajili ya kuangalia uwezekano wa kubadilishana wachezaji ambao ni Denzel Dumfries na Aaron Wan Bissaka. Klabu ya Mnachester …