LATEST NEWS
GAMONDI KUWABADILISHIA MBINU MEDEAMA
KOCHA Miguel Gamondi wa Yanga unaweza kusema amejipata baada ya kubadilisha mfumo wake kutoka kutumia mabeki wa kati wawili na kuanza kutumia mabeki watatu...
YANGA TUNATAKA ROBO FAINALI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi licha ya sare ambayo waliipata dhidi ya Al Ahly lakini bado wanajiona wakiwa na nguvu ya kusonga mbele kwenye...
ENGLISH PREMIER LEAGUE
Guardiola: Tunaweza Kutetea Taji Letu
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameongea na waandishi wa habari na kuwajibu...
Pochettino: Nkunku Hatokuepo Dhidi ya United Kesho
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino ameweka wazi kua mshambuliaji wa klabu hiyo Christopher...
Ten Hag: Wachezaji Wananisapoti
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema wachezaji wa klabu hiyo wanamsapoti...
SPORT NEWS
ALL NEWS
YANGA TUNATAKA ROBO FAINALI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi licha ya sare ambayo waliipata dhidi ya Al Ahly lakini bado wanajiona wakiwa na nguvu ya kusonga mbele kwenye...
YANGA KUSHUSHA VYUMA JANUARI
TAARIFA ziwafike mashabiki wa Yanga kuwa kunamashine tatu za maana zitashushwa ndani ya Yanga kupitia dirisha dogo la usajili linatorajiwa kufunguliwa hivi karibuni huku...
Guardiola: Tunaweza Kutetea Taji Letu
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameongea na waandishi wa habari na kuwajibu swali walilouliza kama anaweza kutetea taji la ligi kuu...
Pochettino: Nkunku Hatokuepo Dhidi ya United Kesho
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino ameweka wazi kua mshambuliaji wa klabu hiyo Christopher Nkunku hatokuepo kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Man...
Ten Hag: Wachezaji Wananisapoti
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema wachezaji wa klabu hiyo wanamsapoti na wapo nyuma yake na sio kama ambavyo inaelezwa...
SERIE A
Napoli Wanatumaini Zielinski na Zanoli Watakuwepo Dhidi ya Juventus
Napoli wamerejea kwenye uwanja wa mazoezi jana baada ya kupoteza dhidi ya Inter, na kuanza maandalizi ya mpambano wao ujao dhidi ya wapinzani Juventus.
Camarda...
Zapata Aifunga Klabu Mama Yake Atalanta
Duvan Zapata alitangulia kuifungia Torino dhidi ya Atalanta katika hali isiyokuwa ya kawaida katika mechi ya jana usiku ya Serie A, kwani Mcolombia huyo...
MAKALA MPYA
GAMONDI KUWABADILISHIA MBINU MEDEAMA
KOCHA Miguel Gamondi wa Yanga unaweza kusema amejipata baada ya kubadilisha mfumo wake kutoka kutumia mabeki wa kati wawili na kuanza kutumia mabeki watatu wa kati jambo ambalo limeanza kuzaa matunda ndani ya timu hiyo.
Kitendo hiko kilionekana katika mchezo...
YANGA TUNATAKA ROBO FAINALI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi licha ya sare ambayo waliipata dhidi ya Al Ahly lakini bado wanajiona wakiwa na nguvu ya kusonga mbele kwenye kundi lao na kutinga hatua ya robo fainali.
Yanga katika mchezo wa juzi Jumamosi walilazimishwa sare...
YANGA KUSHUSHA VYUMA JANUARI
TAARIFA ziwafike mashabiki wa Yanga kuwa kunamashine tatu za maana zitashushwa ndani ya Yanga kupitia dirisha dogo la usajili linatorajiwa kufunguliwa hivi karibuni huku kipaumbele kikubwa kwa Yanga kikiwa ni kwaajili ya michuano ya kimataifa.
Yanga kwa sasa wanashiriki makundi...
Guardiola: Tunaweza Kutetea Taji Letu
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameongea na waandishi wa habari na kuwajibu swali walilouliza kama anaweza kutetea taji la ligi kuu ya Uingereza na kocha huyo alijibu bila kusita kua wanaweza kutetea taji hilo.
Kocha huyo amewaeleza...
Pochettino: Nkunku Hatokuepo Dhidi ya United Kesho
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino ameweka wazi kua mshambuliaji wa klabu hiyo Christopher Nkunku hatokuepo kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Man United.
Christopher Nkunku ambaye ameshaanza mazoezi mepesi na klabu hiyo baada ya kua kwenye majeraha ya...
Ten Hag: Wachezaji Wananisapoti
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema wachezaji wa klabu hiyo wanamsapoti na wapo nyuma yake na sio kama ambavyo inaelezwa wachezaji hawamkubali tena.
Kocha Ten Hag akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea mchezo wa ligi...
YANGA YAWAFUATA MEDEAMA KIBABE
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, leo Desemba 5 alfajiri kimeanza safari kuelekea Ghana kwa ajili ya kupambania kupata pointi tatu muhimu.
Baada ya kucheza mechi mbili ambazo ni dakika 180 imekusanya pointi moja pekee.
Yanga inapeperusha bendera...
SIMBA, YANGA ZITAPATA FURAHA KIMATAIFA
HUZUNI kwa mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga kushindwa kupata kicheko kwenye mechi za kimataifa inapaswa kuondolewa na wachezaji uwanjani.
Hali haijawa nzuri kwenye mechi za kimataifa ambapo ni timu mbili kutoka ardhi ya Tanzania zinafanya kazi yake. Yanga...
LOMALISA KUIKOSA MEDEAMA
Kutokana na Jeraha alilolipata Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Yanga kwenye mchezo wao dhidi ya Al Ahly Joyce Lomalisa ameshindwa kusafiri na timu kwenda Ghana kuwavaa MEDEAMA
Kwa mujibu wa Afisa habari wa klabu ya Yanga Ali kamwe ni...
Manchester United Yawapiga Pini Waandishi
Klabu ya Manchester United imeeleza kua imewapiga marufuku baadhi ya waandishi na vyombo vya habari nchini Uingereza kutokana na kuchapisha habari bila kuwasiliana na klabu.
Manchester United imeweka wazi kua hawajapiga marufuku vyombo vya habari kutokana na kuchapisha habari ambazo...