This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
Manchester United Vs Spurs Battle ya Vibonde
Kutoka kua mchezo wenye mvuto na ushindani mkubwa mpaka sasa umegeuka kua mchezo ambao unazikutanisha timu zilizopo kwenye nafasi za chini kwenye msimu wa ligi kuu ya Uingereza ni Manchester …
Ibrahimovic: “Milan Haiwezi Tu Kumtegemea Mchezaji Mmoja”
Sergio Conceicao alikuwa katika maombolezo jana, hivyo Zlatan Ibrahimovic alizungumza kwa niaba ya Milan na kupongeza mchango wa wachezaji wapya. “Sisi ni Milan, ikiwa tutategemea mchezaji mmoja tu basi tutakuwa …
Gasperini Afikisha Pointi 600 za Serie A, Akiwa na Atalanta Akimfukuzia Allegri na Juve
Sare ya 0-0 ya Atalanta dhidi ya Cagliari jana ilimletea kocha mkuu Gian Piero Gasperini pointi zake 600 za Serie A akiwa kiongozi wa klabu, jambo linalomfanya kuwa katika nafasi …
Maignan: “Nyakati Kama Hizi Zinaweza Kutokea Katika Kazi”
Mike Maignan anakiri kwamba makosa yake ya hivi karibuni ni muda ambao unaweza kutokea katika kazi ya mchezaji, lakini lazima ashike mtindo wa kuwa na matumaini kuelekea mechi ya mwisho …
Arsenal Yaichabanga Leicester Sebuleni Kwao
Klabu ya Arsenal imefanikiwa kuicharaza klabu ya Leicester City wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani King Power kwa jumla ya mabao mawili kwa bila baada ya mchezo kuonekana kua mgumu …
AZIZ KI ALIVYOIBEBA YANGA KMC COMPLEX
KLABU ya KMC imepoteza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika 90 wamepoteza kwa kushuhudia ubao ukisoma KMC …
ALI KAMWE AKALIA KUTI KAVU TFF
ALI Kamwe ambaye Ofisa Habari wa Yanga amepelekwa Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, (TFF) na Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Masanzala. Taarifa iliyotolewa …
CHAMA NAMBA ZAKE HAZISOMEKI
CLATOUS Chama ndani ya kikosi cha Yanga yupo kwenye mtihani wa kupambania namba kikosi cha kwanza kwa kuwa kwa sasa hajawa chaguo la kwanza msimu wa 2024/25 baada ya kuibuka …
FEISAL YUPO KWENYE KILELE CHA UBORA AZAM
MKALI wa pasi za mwisho Bongo ndani ya Ligi Kuu Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika balaa lake sio jepesi akiwa uwanjani kutokana na kasi anayoendelea nayo …
ATEBA NA MGUU WA PENALTY
KATIKA mabao 38 ambayo safu ya ushambuliaji ya Simba imefunga kinara wa utupiaji ni Leonel Ateba ambaye katupia mabao 8 msimu wa 2024/25. Ni mabao manne amefunga kwa penalti ikiwa …