Curry Afunga Pointi 28 76ers Ikishinda 115-103
Mlinzi Seth Curry amefunga pointi 23 katika pointi 28 kwenye robo ya kwanza kwenye ushindi wa 115-103 dhidi ya Oklahoma City thunder usiku wa jumapili. Curry alifanikiwa kupata 6 ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mlinzi Seth Curry amefunga pointi 23 katika pointi 28 kwenye robo ya kwanza kwenye ushindi wa 115-103 dhidi ya Oklahoma City thunder usiku wa jumapili. Curry alifanikiwa kupata 6 ya …
Eastern Conference mambo yanaanza upya! Philadelphia 76ers walipiza kisasi kwa Atlanta Hawks, ubao unasoma 1-1. Twende kazi! Katika muendelezo wa michezo ya nusu fainali kunako NBA, mchezo wa pili kati …
NBA imefikia kwenye hatua yenye burudani lukuki. Hatua ya nusu fainali inaendelea kurindima kwenye viwanja kadha wa kadha. Atlanta Hawks, yawalaza na viatu Philadelphia 76ers kunako mchezo wa kwanza wa …
Unapozungumzia NBA unazungumzia msimu wa kawaida ambapo ni michezo ya Eastern na Western Conference, lakini utamu wa ligi hiyo unakuwa moto kwenye hatua ya play-offs. Michezo wa msimu wa kawaida …
Michezo kadhaa ya NBA imeendelea usiku wa kuamkia leo ambapo Mabingwa watetezi, LA Lakers, wamejikuta wakiotolewa umaarufu kwa kupoteza mchezo dhidi ya Tha Philadelphia 76ers. Lakers walikuwa na rekodi ya …
Michezo ya muendelezo wa msimu mpya wa NBA 2020/21 imemalizika usiku wa kuamkia leo. Boston Celtics na Philadelphia 76ers wameunga tela la Clippers na Nets. Boston Celtics wameuanza msimu huu …
Burudani ya mchezo wa kikapu inaendelea kunoga viwanjani, Miami Heats imejihakikishia kucheza nusu fainali kunako Eastern Conference. Licha ya kuwakosa nyota wao ambao ni majeruhi kwa sasa, Heats wamefanikiwa kutinga …
Mchezaji nyota wa kikapu na timu ya Los Angeles Lakers King LeBron James atakusokena kwenye mchezo wa fainali ya pili msimu huu kwa sababu ya majeraha ya ankle timu yake …
Songombingo za kugoma kuchanja chanjo ya Covid-19 zimemfanya akose baadhi ya michezo kwenye NBA. Lakini, Kyrie Irving ni wa moto… Wakati huu ambao James Harden ameondoka Brooklyn Nets na kujiunga …
Kevin Durant amezungumza na waandishi wa habari wa NBA kuhusu mfululizo wa matokeo mabovu ya kupoteza kwa Brooklyn Nets katika michezo 11 mfululizo. Kushuka kwa kiwango chao kumetokana na Durant …
LA Lakers wamevunja mnyororo wa kupoteza michezo 3 mfululizo kunako NBA msimu huu. Portland Trail Blazers wameambulia kipigo Staples Centre. Lakers wameendelea kumkosa nyota wao – LeBron James ambaye anauguza …
NBA 2021/22 inaendelea kupamba moto viwanjani. Rekodi zinawekwa na kuvunjwa kila uchwao. Sasa ni zamu ya Phoenix Suns. Suns walikua uwanjani kuchuana na Golden State Warriors katika mchezo wa 19 …
Hali si shwari kwa mchezaji wa timu ya Philadelphia 76ers katika ligi ya kikapu ya nba Ben Simmons ambae amegoma kuichezea timu yake mpaka sasa. Kwa mujibu wa vyanza mbali …
Baada ya kufungiwa mchezo mmoja, LeBron James amerejea uwanjani kwenye mchezo dhidi ya Indiana Pacers kunako NBA. James alifungiwa kucheza mchezo mmoja baada ya kuhusika kwenye ugomvi na Isaiah Stewart …
Milwaukee Bucks wamerejea kwenye mstari wa ushindi baada ya kuwazidi uwezo Orlando Magic. Matokeo ya Bucks ni historia yao kwenye NBA. Kwa mara ya kwanza kwa Bucks, wamefanikiwa kupata pointi …
Baada ya vipigo kwenye michezo iliyopita kunako NBA, Utah Jazz na Milwaukee Bucks wamerejea kwenye ushindi. Jazz walikuwa uwanjani kuchuana na Atalanta Hawks alfajiri ya leo. Jazz aliingia uwanjani akiwa …
NBA msimu wa 2021/22 unaendelea kusogea, burudani inaendelea kunoga kila uchwao. Utah Jazz, LA Lakers, Warriors ni ushindi tu. Jazz walikua uwanjani kuchuana na Denver Nuggets katika mchezo wa 4 …
Mzunguko wa pili kunako NBA umeendelea usiku wa kuamkia leo. Brooklyn Nets wamerudi mchezoni wakati LA Lakers wakiendelea kupoteza michezo yao. Nets walikuwa uwanjani kuchuana na Philadelphia 76ers. Baada ya …
Joto linaongezeka miongoni mwa wadau, mashabiki na wachezaji wa ligi ya NBA kuelekea msimu mpya, 2021/22. Jumanne hii, mambo ni moto! Ligi ya NBA inatimiza miaka 75 tangu kuanzishwa kwake. …
Baada ya vuta ni kuvute kunako michezo ya nusu fainali ya NBA – Eastern Conference, hatimaye wababe wawili wamepatikana. Mtanange wa Milwaukee Bucks vs Brooklyn Nets uliibua hisia miongoni mwa …