Senegal Mabingwa AFCON 2021.
Timu ya Taifa ya Senegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2021) baada ya kuifunga Egypt 4-2 kwa mikwaju ya penati baada ya dakika 120. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Timu ya Taifa ya Senegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2021) baada ya kuifunga Egypt 4-2 kwa mikwaju ya penati baada ya dakika 120. …
Fainali ya AFCON 2021 inapigwa leo katika dimba la Olembe unaopatikana kwenye mji kuu wa Cameroon, Yaounde. Nyota wawili wa Anfield ya England watakutana kuoneshana ubabe katika mchezo unaotarajiwa …
Timu ya Taifa, Senegal imefuzu katika fainali yao ya tatu ya kombe la mataifa ya Afrika AFCON 2021 huku Sadio Mane akifunga na kuwasaidia kuwalaza 3-1 Burkina Faso. …
Wachezaji Mohammed Salah na Sadio Mane wameongoza timu zao za taifa Egypt na Senegal kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya AFCON 2021 inayofanyika Cameroon. Mohamed Salah alifunga bao …
AFCON 2021, wachezaji wa timu ya taifa ya Nigeria Maduka Okoye ambaye ni golikipa na kiungo Alex Iwobi wametishiwa kuuwawa baada ya timu yao ya taifa kuondolea kwenye mashindano na …
Kocha wa muda wa timu ya Taifa ya Nigeria, Augustine Eguavoen ameandika barua rasmi ya kujiuzulu mara moja nafasi ya Ukocha Super Eagles baada ya kuondoshwa Jana dhidi ya …
Bingwa mara saba wa taji la soka kwa mataifa ya Afrika AFCON, Misri imefuzu katika hatua ya 16 bora, kutafuta ubingwa wa mwaka huu, baada ya kuishinda jirani zao …
Timu ya Taifa ya Ghana ( Black Stars ) imeondolewa rasmi kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2021 na timu ya taifa ya Comoros katika mchezo …
Golikipa wa timu ya Chelsea Edouard Mendy ni miongoni mwa wachezaji wa timu ya taifa ya Senegal ambao wamekutwa na maambukizi ya UvIko-19 kabla ya kuanza kwa michuano ya mataifa …
AFCON 2021, kuanza rasmi baada ya kuahirishwa mwaka jana kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa korona, jumapili ya leo moto kuwaka viwanja mbalimbali nchini Cameroon. Hapa chini tumekuwa makundi na …
Maandalizi yamekamilika kuelekea michuano ya soka kwa mataifa ya Afrika (AFCON) nchini Cameroon, iliyoahirishwa kutoka mwaka 2021 kwa sababu ya janga la Covid 19. Nyota kadhaa wa Ligi …
Michuano ya AFCON iliyoahirisha mwaka 2021 sasa kuendelea mwaka Januari 2022 wakati ligi kuu ya Uingereza ikiwa imepamba moto huku vilabu vingi vikipoteza wachezaji wake mahiri kwenye wakati muhimu. Habari …
Kuelekea mashindano ya Africa Cup of Nations 2021 (Afcon 2021), timu ya Senegal imekuwa ni timu ya pili kufuzu kushiriki mashindano hayo. Ni yuleyule nyota wa Liverpool – Saidio Mane …
Misri walipata maumivu zaidi ya mikwaju ya Kombe la Mataifa ya Afrika huku kipa Lionel Mpasi akifunga penalti ya ushindi na kuipeleka DR Congo katika robo fainali. Michezo yote …
Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya Umri wa miaka 23, imeshindwa kuonesha makali yake dhidi ya Sudan Kusini jana kwenye uwanja wa Azam Complex- Chamazi, baada ya kulazimishwa sare …
AFCON, Michuano ya mataifa huru ya Afrika yalianzishwa mwaka 1957 huku ikishirikisha timu nne ila ni timu tatu ndizo zilizoweza shiriki nazo ni Misri, Sudan na Ethiopia wakati Afrika kusini …
Kocha wa timu ya taifa ya Malawi Mario Marinica amewakosoa waandaji wa michuano hiyo kutokana na huduma mbovu walizokuwa wanapatiwa timu ndogo kulinganisha na timu kubwa kwenye mashindano hayo. Wachezaji …
AFCON, raisi wa Caf Patrice Motsepe ametaka uchunguzi wa haraka ufanyike kutokana na janga ambalo lilisababisha vifo vya watu nane na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa, kwenye mchezo wa 16 …
AFCON, kwenye mchezo kati ya Tunisia na Mali referee amemaliza mpira sekunde kumi kabla ya dakika tisini kufika na kusababisha kuleta sintofahamu kwa wachezaji na Tunisia ambao walikuwa nyuma kwa …
Nyota wa timu ya Crystal Palace Wilfried Zaha ameitwa tena kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast ambayo inatarajia kushiriki mashindano ya AFCON mwezi January 2022. Wilfried Zaha …