Rafael Nadal Bingwa wa Mexican Open.
Rafael Nadal amefanikiwa kumfunga mchezaji namba moja wa Uingereza, Cameron Norrie katika fainali ya Mexican Open na kutwaa ubingwa wake wa nne huko Acapulco. Nadal, ambaye alishinda taji …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Rafael Nadal amefanikiwa kumfunga mchezaji namba moja wa Uingereza, Cameron Norrie katika fainali ya Mexican Open na kutwaa ubingwa wake wa nne huko Acapulco. Nadal, ambaye alishinda taji …
Mcheza Tenisi namba 5 kwa ubora duniani, Rafael Nadal atavaana na Cameron Norrie anyeshika namba 12 kwa ubora duniani katika fainali ya Mexican Open inayopigwa nchini Mexico. Cam …
Mcheza Tenisi, Alexander Zverev ametolewa kwenye michuano ya Acapulco na anakabiliwa na adhabu kali baada ya mara kwa mara kupiga kiti cha mwamuzi kwa kutumia raketi katika mechi. …
Mcheza Tenisi wa Ujerumani, Alexander Zverev alinusurika kipigo cha seti ya kwanza dhidi ya Jannik Sinner kabla ya kupambana na kutinga nusu fainali ya Monte Carlo Masters kwa ushindi …
Mcheza tennis nambamoja kwa ubora duniani Daniil Medvedev ameshndwa kulipa Kisasi kwa Rafael Nadal baada ya kupoteza tena kwa mfululizo wa set 6-3, 6-3 siku ya ijumaa kwenye mchezo wa …