SVEN AITAKA LIGI YA AFRICA YA KUSINI
Kocha wa zamani wa klabu ya Simba Sven Vandenbroeck amesema anavutiwa kufundisha zaidi Afrika Kusini kuliko kurejea nchini kwaajili ya kuifundisha Simba licha ya kuwa anavutiwa pia na klabu hiyo. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha wa zamani wa klabu ya Simba Sven Vandenbroeck amesema anavutiwa kufundisha zaidi Afrika Kusini kuliko kurejea nchini kwaajili ya kuifundisha Simba licha ya kuwa anavutiwa pia na klabu hiyo. …
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema kuwa, Klabu ya Yanga itashiriki African Football League msimu ujao. “Tulipitisha timu 24 lakini kutokana na ratiba kubana tukaona tuanze …
Timu ya Ihefu inatarajia kushuka dimbani hii kumenyana dhidi ya Pan African kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam majira ya saa 10:00 jioni. Ihefu inacheza ligi kuu …
Klabu ya Simba imefanikiwa kusonga mbele kwenye michuano ya kombe la Azam Federation baada ya kupata ushindi mnono wa mabao manne kwa bila dhidi ya klabu ya African Sports kutoka …
Klabu ya Simba kesho watashuka dimbani kukabiliana na klabu ya African Sports kutoka mkoani Tanga katika mchezo wa kombe la Azam Federation hapo kesho. Simba watashuka dimbani kumenyana na African …
Mshambuliaji aliyevunja rekodi ya Athletic Bilbao, Inaki Williams ameshinda Tuzo ya MVP wa Afrika ya LaLiga Santander, baada ya kura za mwisho zilizopigwa na wanahabari wa soka na mashabiki. Odds …
Kampuni ya Habari ya Africa Media inayomilika vituo vya utangazaji Channel 10 na Magic FM, ambacho ni kituo cha matangazo ya redio, leo Januari 30, 2023 wamekabidhiwa Vifaa vya Michezo …
Kikosi cha Pan African, kesho jumatano kinatarajia kuanza mazoezi yake kwa ajili ya kujiweka sawa kuelekea mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya Green Warriors. Mchezo huo wa ligi ya …
Uongozi wa Pan African leo umetangaza kuwasimamisha nyota wake sita kutokana na utovu wa nidhamu. Taarifa iliyotolewa leo na Ofisa Habari wa Pan African, Leen Essau ilieleza kuwa “Tunapenda kuwataarifu …
Kikosi cha Pan African kinachoshiriki ligi ya Championship kinatarajia kucheza mechi ya mzunguko wa 10 dhidi ya Copco. Tangu Kocha Mkuu, Iddy Cheche akichukue kikosi hicho amefanikiwa kupata ushindi katika …
Kikosi cha Pan African kesho jumatano kinatarajia kuondoka kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Copco. Pan inayonolewa na Kocha Mkuu, Iddy Cheche kinacheza mchezo huo wakiwa na …
Kocha Mkuu wa Kipanga FC, Hassani Kitimbe amewaondoa hofu Yanga kwa kuwaambia wana nafasi ya kufuzu makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuwafunga wapinzani wao, Club Africain ya nchini …
Siku ya kesho Jumatano Yanga wanatarajia kushuka dimbani kucheza na Club Africain wakiwa ugenini na mashabiki wengi wakiwa na hofu ya timu yao kupenya, hali ni tofauti kwa wachezaji wa …
Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Novemba 2 mwaka huu Jijini Dar, Yanga waliambulia suluhu ya bila kufungana. Mchezo wa marudiano unatarajiwa kupigwa Novemba 9 mwaka huu, ambapo Yanga wanapaswa kupata …
Klabu ya Yanga inatarajiwa kusafiri hapo kesho majira ya 9:25 mchana kuelekea Tunisia kwaajili ya kucheza mchezo wao wa marudiano wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Club Africain ambapo mchezo …
Kikosi cha Pan African kinajiandaa na mchezo wa ligi ya Championship dhidi ya JKT Tanzania kikiwa chini ya Kocha Mkuu, Iddy Cheche. Pan walianza mazoezi yao jana jumatatu kwa ajili …
Kikosi cha Pan African kinatarajia kushuka dimbani kesho jumamosi kumenyana na Gwambina kwenye mchezo wa ligi ya Championship. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Mej. Generali Isamuhyo. Timu hizo …
Kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya Yanga dhidi ya Club Africain ya Tunisia, Yanga wameamua kugawa tiketi za mchezo takribani elfu 10 kwa mashabiki ambao watachanja. Siku …
Uongozi wa Pan African rasmi leo umevunja benchi la ufundi la timu hiyo likiongozwa na Kocha Mkuu, Twaha Beimbaya kutokana na matokeo yasiyoridhisha. Pan African tangu kuanza kwa msimu huu …
Kikosi cha Pan African kinatarajia kushuka dimbani kesho jumamosi kumenyana na Pamba kwenye mchezo wa ligi ya Championship. Mchezo huo utapigwa kwenye Uwanja wa Nyamagana, Mwanza ambapo tayari Pan African …