Xavi Ashtushwa na Taarifa za Alves
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez ameshtushwa na taarifa za mchezaji mwezake wa klabu ya Barcelona Davi Alves ambaye anatuhimiwa kuhusika na unyanyasaji wa kingono. Beki wa kimataifa wa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez ameshtushwa na taarifa za mchezaji mwezake wa klabu ya Barcelona Davi Alves ambaye anatuhimiwa kuhusika na unyanyasaji wa kingono. Beki wa kimataifa wa …
Mlinzi wa Brazil Dani Alves anashikiliwa kwa muda gerezani huku akisubiri uchunguzi kuhusiana na madai ya unyanyasaji wa kingono yanayomkabili. Meridianbet wanatoa ODDS kubwa kwenye mechi zote. Bashiri hapa. …
Gwiji wa Barcelona Dani Alves amekuwa mchezaji anayependwa sana Barcelona tangu awasili kutoka Sevilla mwaka 2008, lakini tabia hiyo imezua shaka. Mbrazil huyo mwenye umri wa miaka 40 alikuwa …
Beki wa timu ya taifa ya Brazil na mchezaji wa zamani wa vilabu vya Barcelona, juventus, PSG na klabu ya Sevilla Dani Alves amemsifu kocha wake wa timu ya taifa …
Beki wa zamani wa klabu ya Fc Barcelona,PSG,Juventus kwasasa anaitumikia klabu ya Pumas kutoka nchini Mexico Davi Alves ameweka rekodi na timu ya taifa ya Brazil baada ya kuitwa kwenye …
Beki maarufu wa kulia Dani Alves ameikashifu klabu yake kwenye mitandao ya kijamii baada ya klabu ya Pumas kudai kuwa alipata jeraha kubwa la goti. Beki huyo wa Brazil, ambaye …
Dani Alves beki wa zamani wa klabu ya Fc Barcelona na timu ya taifa ya Brazil amefunguka kuhusu staa wa Manchester United Cristiano Ronaldo. Beki huyo aleiwahi kua beki bora …
Mlinzi wa klabu YA Barcelona Dani Alves leo ametangaza rasmi kuachana na klabu hiyo kwa mara ya pili na hataongeza mkataba tena klabu hiyo baada ya kujiunga na klabu hiyo …
Mchezaji wa kimataifa wa Brazili Dani Alves bado anaendelea kucheza soka japo ana umri wa miaka 39 na anatarajia kusafiri na kikosi cha timu hiyo ya taifa kwenye michuano ya …
Mchezaji wa Barcelona Dani Alves amesema kwamba klabu ya Real Madrid wanabahati Barcelona wamepata fomu yao msimu huu kwa kuchelewa akidai vipaji vipya vya Barca vinauwezo wa kutosha kushindania taji. …
Beki wa Barcelona Dani Alves amesema kwamba angeweza kutumia kiasi kikubwa cha pesa kumsajili mchezaji Kylian Mbappe na siyo Erling Haaland. Alves alisema kwamba Mbappe ni mchezaji aliyekamilika na wachezaji …
Beki kisiki wa Barcelona Dani Alves amewataja mabeki wa upande wa kulia anaowakubali kwa sasa katika soka ulimwenguni. Amemtaja Trent Alexander-Arnold kama mchezaji mwenye ujuzi wa hali ya juu kabisa, …
Kinyume na ripoti za hivi punde zinazodai kwamba Dani Alves atapewa mkataba mpya na Barcelona ambao utadumu hadi msimu ujao, Diario AS wameripoti kwamba mustakabali wa beki huyo wa kulia …
Kwa mujibu wa taarifa ya MARCA, Barcelona ingemuongezea mkataba Dani Alves kwa mwaka mmoja zaidi, Xavi Hernandez aliulizwa kuhusu mustakabali wake katika mkutano na waandishi wa habari Jumamosi kabla ya …
Dani Alves amekasirishwa na uamuzi huo uliopelekea kusimamishwa kwake kwa mchezo mmoja zaidi. Mkongwe huyo wa Barcelona alionesha kiwango bora dhidi ya Atletico Madrid mwishoni mwa juma, akifunga na kutoa …
Dani Alves amekuwa na bahati mbaya baada ya kupunguzwa kwenye kikosi cha timu ya Barcelona kitakochoshiriki michuano ya Europa League kutokana na kanuni ambayo inahitaji wachezaji watatu kwenye usajiri mpya. …
Veterani Dani Alves anatarajiwa kurejea tena dimbani kuwachezea Barcelona kwa mara nyingine wiki hii. Alves alirejea Barcelona mwezi uliopita, baada ya kumaliza mda wake huko Brazil. Hata hivyo, alilazimika kukaa …
Meneja wa Barcelona Xavi Hernandez na mlinzi anayerejea, Dani Alves wanakubaliana na uhalisia kuwa Ousmane Dembele ni mchezaji muhimu na wa pekee Barcelona. Barcelona inaendelea na mazungumzo juu ya mkataba …
Dani Alves leo amewastaajabisha watu baada ya kuingia na ndala kwenye utambulisho wake kwenye dimba la Camp Nuo. Mlinzi huyo wa Brazili leo alitambulisha rasmi na kusaini makubaliano ambayo yatamuweka …
Baada ya miaka mitano kupita tangu aondoke hatimaye Dani Alves amerejea katika klabu ya Barcelona kwa mara nyingine kwa uhamisho huru. Beki huyo wa kulia (38) ataanza mazoezi na timu …