Arsenal Yaichabanga Leicester Sebuleni Kwao
Klabu ya Arsenal imefanikiwa kuicharaza klabu ya Leicester City wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani King Power kwa jumla ya mabao mawili kwa bila baada ya mchezo kuonekana kua mgumu …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Arsenal imefanikiwa kuicharaza klabu ya Leicester City wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani King Power kwa jumla ya mabao mawili kwa bila baada ya mchezo kuonekana kua mgumu …
Ligi kuu yaUingereza iliendelea hapo jana kwa michezo kadhaa lakini mchezo ambao ulikuwa ukisubiriwa ni ule wa mwenyeji Arsenal dhidi ya bingwa mtetezi Manchester City ambao ulimalizika kwa vijana wa …
Darko Ristic, wakala wa mshambuliaji wa Juventus, Dusan Vlahovic, alionekana mjini Turin huku klabu kadhaa za Ulaya zikiwemo Arsenal zikimuwania. Nyota wa Juventus, Vlahovic alikutana na wakala wake, Ristic, jana …
Vilabu vya Arsenal na Liverpool vimebanwa koo katika michezo yao ya ligi kuu ya Uingereza waliyocheza leo baada ya kujikuta wakidondosha alama katika michezo ambayo walicheza katika viwanja vyao vya …
Arsenal ilipoteza nafasi zaidi katika kilele cha Ligi Kuu baada ya Pedro Neto kufunga bao la kusawazisha la kuvutia, na kuipa Chelsea sare ya 1-1 katika mechi yenye msisimko kwenye …
Arsenal mambo yanaendelea kuonekana kua magumu ndani ya msimu huu kwani mpaka sasa wahsapokea vipigi viwili na sare michezo mitatu, Hii imekuja baada ya kukubali kichapo cha bao moja kwa …
Klabu ya Arsenal kwa siku nyingine imeshinda mchezo kibabe kwa kutokea nyuma kwenye mchezo ambao walikua nyuma dhidi ya klabu ya Southampton katika dimba la Emirates. Arsenal walikua nyumbani leo …
Klabu ya Arsenal imefanikiwa kupata ushindi dhidi ya Leicester City dakika za jioni kabisa baada ya wageni hao kutaka kubisha katika mchezo huo ambao washika mitutu hao wa London walihitaji …
Kiungo wa klabu ya Juventus Manuel Locatelli amebainisha kua hajutii kujiunga na klabu ya Juventus na kutojiunga na washika mitutu kutoka jiji la london klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza. …
Mchezo wa kibabe kati ya vilabu bora kwasasa nchini Uingereza kati ya klabu ya Manchester City dhidi ya Arsenal umemalizika kwa sare ya magoli mawili kwa mawili mchezo uliopigwa katika …
Kiungo wa klabu ya Manchester City Rodri amepata majeraha ya goti katika mchezo dhidi ya Arsenal ambao unapigwa katika dimba la Etihad kitendo ambacho kimemfanya kutolewa nje ya uwanja na …
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amedokeza kua kuna uwezekano wa kiungo wake muhimu ndani ya kikosi chake Kevin de Bruyne anaweza kuwepo kwenye mchezo dhidi ya Arsenal …
Klabu ya Arsenal wamefanikiwa kuifunga klabu ya Tottenham Hotspurs wakiwa ugenini katika dimba la Spurs kwa bao moja kwa bila ambalo limefanikiwa kuwapa alama tatu muhimu wakiwa ugenini. Klabu ya …
Atalanta alipoanza kufikiria kuwa Ademola Lookman angesalia bila ofa ya PSG, Sportitalia wanaripoti kuwa Arsenal wako tayari kwa dau la €50m na Jakub Kiwior kama sehemu ya mpango huo. Lookman …
Arsenal wamerejea kwenye kinyang’anyiro cha kumnasa mshambuliaji wa Napoli Victor Osimhen, na watakuwa tayari kulipa €100m kwa ajili ya Chelsea na Paris Saint-Germain. The Partenopei alikubaliana na mchezaji huyo wa …
Klabu ya Arsenal inaendelea kupambania saini ya kiungo wa kimataifa wa Hispania Mikel Merino ambaye wanahitaji kupata saini yake kwajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao. Arsenal wanafanya mazungumzo …
Baada ya mshambuliaji wa klabu ya Arsenal raia wa kimataifa wa Uingereza Eddie Nketiah kuripotiwa atatimka klabuni hapo kuelekea klabu ya Olympique Marseille kocha Mikel Arteta ameweka wazi kuna asilimia …
Kwa mujibu wa Radio Radio, Arsenal wako tayari kutoa kitita cha juu zaidi kwa Victor Osimhen kuliko Paris Saint-Germain, lakini mshahara mdogo, hivyo Napoli wanatarajia kuharakisha mazungumzo hayo. Sio siri …
Klabu ya Arsenal imethibitisha kua kinda wake Chido Obi Martin (16) ataondoka klabuni hapo na kuelekea timu nyingine baada ya kushindwa kumshawishi kubakia kwenye timu hiyo. Arsenal wanaelezwa walijitahidi kwa …
Riccardo Calafiori yuko mbioni kujiunga na Arsenal na kwa mujibu wa Matteo Moretto, Muitaliano huyo anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya na The Gunners wiki hii. Mchezaji huyo wa kimataifa wa …