Arturo Vidal Asaini Mkataba Inter
Nyota Arturo Vidal amesaini kandarasi yake ya miaka miwili na Inter, pamoja na chaguo la kuongeza mwaka wa tatu, baada ya kuwasili kutoka Barcelona bure kama mchezaji huru. Iliripotiwa awali …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Nyota Arturo Vidal amesaini kandarasi yake ya miaka miwili na Inter, pamoja na chaguo la kuongeza mwaka wa tatu, baada ya kuwasili kutoka Barcelona bure kama mchezaji huru. Iliripotiwa awali …
Nyota wa Barcelona, Arturo Vidal anaripotiwa kuwa tayari ameshawaaga klabu ya Barcelona akiwa tayari kuungana na Inter Milan. Ripoti zinasema kuwa nyota huyu aliamua kwenda kutembelea viwanja vya klabu kwa …
Arturo Vidal kwa sasa atakuwa anapitia kipindi ambacho hajakizoea katika maisha yake ya Soka mara baada ya kumaliza msimu pasipo kubeba Taji la Ligi Kuu kwa mara ya kwanza …
Ripoti zinasema kuwa klabu ya Juventus wamekataa nafasi ya kumrejesha mshambuliaji wa Barcelona Arturo Vidal katika dili la mabadilishano na Miralem Pjanic. Kwa mujibu wa Calciomercato, Barcelona walikuwa wanataka kubadilishana …
Kiungo wa zamani wa Inter na Juventus Arturo Vidal anamtaka mtani wake Alexis Sanchez kuondoka Nerazzurri akisema kuwa kocha hamtaki. Alexis alirejea Stadio Meazza kwa uhamisho wa bure msimu …
Inter Milan na Arturo Vidal wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na klabu ya hiyo mchezaji huyo wa Chile anakaribia kujiunga na klabu ya Flamengo. Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba …
Wachezaji wa Inter Milan Alexis Sanchez, Arturo Vidal na Cristian Romero wamesimamishwa katika ngwe ya pili ya nusu fainali ya Coppa Italia dhidi ya Juventus. Wawili hao wa …
Kiungo wa Inter Milan, Arturo Vidal atatumia mbinu yake ya Barcelona kama kuleta motisha kwenye mchezo wa Champions League dhidi ya Real Madrid siku ya Jumanne. Vidal alitumia misimu miwili …
Arturo Vidal amefika mjini Milan akielekea katika klabu ya Inter Milan baada ya kupatoka Barcelona. Mchezaji huyo na mtaifa wa Chile kipindi cha nyuma alishawahi kucheza katika klabu ya Juventus …
Mchezaji wa Barcelona – Arturo Vidal amenukuliwa akisema timu yake inapaswa kujithamini kama inahitaji kurudi kwenye ubora wake. Barcelona walikuwa na wakati mgumu msimu uliopita na sasa wapo kwenye sakata …
Kikosi cha Barcelona kipo katika hali nzuri katika kuumaliza msimu wa La Liga 2019-20 na kushinda taji la La Liga hii ni kwa mujibu wa Arturo Vidal. Wababe hao wa …
Wakati huu ambao ni dhahiri, Paulo Dyabala hana muda mrefu ndani ya kikosi cha Juventus, huenda mchezaji huyu akabadilisha upepo ndani ya Serie A? Ilitokea kwa Zlatan Ibrahimovic, Arturo Vidal, …
Tetesi zinasema, Arsenal inamtaka Philippe Coutinho,29 kutoka Barcelona msimu huu wa majira ya joto kama hatajiunga moja kwa moja katika kikosi cha Aston Villa. Tetesi zinasema, Erling Braut Haaland …
Ligi ya Mabingwa inaendelea wiki hii Liverpool anamkaribisha Inter katika dimba la Anfield kwaajili ya mchezo wa marudiano wa raundi ya 16 bora baada ya mchezo wa kwanza kupigwa huko …
Tetesi zinasema, Mauricio Pochettino amewashauri Manchester United kumsajili Harry Kane,28, kapteni wa Tottenham. Hata hivyo kocha Pochettino naye anawindwa na United kuwa kocha mpya. Tetesi zinasema, Real Madrid imemuongeza …
Tetesi zinasema, Mshambuliaji wa Liverpool na Senegal Sadio Mane, 29, atakuwa tayari kuondoka katika klabu hiyo msimu huu wa joto ikiwa Real Madrid au Barcelona watamnunua. Tetesi zinasema, Roma …
Tetesi zinasema, Juventus wameonesha nia kwa mshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 32, huku mustakabali wake ukiwa shakani katika Uwanja wa Emirates baada ya kuvuliwa unahodha. Leeds wanataka …
Mechi kali leo kati ya AC Milan dhidi ya mahasimu wao wa jiji Inter Milan katika dimba la San Siro katika Serie A na inakuwa ni Milan Debi ya 229. …
Tetesi zinasema Klabu ya PSG inajipanga kumsajili mshambuliaji wa Liverpool na Misri Mohamed Salah, 28, endapo mshambuliaji wao tegemezi Kylian Mbappe ataamua kutokuongeza mkataba wake. Tetesi zinasema Kiungo wa …
Hodi hodi jijini San Joaquín nchini chile yalipotimu mazazi ya Arturo Vidal, nyinyi mna nyota yenu, sisi tuna bahati yetu. Hodi tena kinshasa ya congo, hapo alizaliwa Claude Makélélé, Kiungo …