Ronald Koeman Afungashiwa Virago na Barcelona
Ronald Koeman amefungashiwa virago na waajiri wake Barcelona baada ya kupokea kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye dimba la Campo de Futbol de Vallecas. koeman amedumu Barcelona …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Ronald Koeman amefungashiwa virago na waajiri wake Barcelona baada ya kupokea kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye dimba la Campo de Futbol de Vallecas. koeman amedumu Barcelona …
Ronald Koeman amekiri kwamba “hana imani” Lionel Messi atasalia Barcelona zaidi ya msimu huu. Mshindi huyo wa tuzo ya Ballon d’Or mara sita ametumia taaluma yake yote ya soka huko …
Kocha wa Barcelona, Ronald Koeman anasema kuwa hali ya hewa iko shwari kabisa kwenye kikosi chake na wakati wote wachezaji wake wamekuwa na mtazamo chanya. Barca wapo nyuma kwa pointi …
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi ambaye amewahi kufundisha vilabu vya Barcelona na Everton Ronald Koeman amesema mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Coady Gapko amekua na haraka ya kujiunga …
Mchezaji wa Atletico Madrid Luis Suarez anataka aliyekuwa kocha wa zamani Ronald Koeman amwambie kwanini alimuondoa katika klabu yake ya Barcelona miaka miwili iliyopita. Suarez alijiunga na wapinzani wao …
Barcelona walipata ushindi wao wa kwanza msimu huu kwenye La Liga, kwa kuwalaza Real Sociedad 4-1 Jumapili usiku, huku Robert Lewandowski akifunga mabao yake ya kwanza kwa klabu hiyo. Mchezaji …
Mchezaji wa Barcelona Gavi amefunguka jinsi anavyoifurahia timu hiyo baada ya miamba hao wa Uhispania kufanya sajili nzuri na jinsi zitakavyo imarisha kikosi hicho baada ya kumaliza msimu uliyopita bila …
Kocha wa zamani wa Barcelona Ronald Koeman atarejea katika majukumu ya kuinoa timu yake ya taifa ya Uholanzi baada ya kumalizika kwa michuano ya kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. …
Kwa mara ya pili, Ronald Koeman atarejea kwenye nafasi ya kuiongoza timu ya Taifa ya Uholanzi kama kocha mkuu. Koeman atachukua nafasi hiyo kuanzia mwezi Januari baada ya mashindano ya …
Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uholanzi Ronald Koeman amejitokeza nakudai kwamba hakupewa muda na Barcelona kama muda aliyopewa Xavi huko Camp Nou. Koeman aliletwa Barcelona Januari mwaka …
Klabu ya Barcelona wametangaza rasmi kuvunja mkataba na katibu wao Ramon Planes kwa maombi yake mwenye bwana Ramon Planes ambaye alitaka kuachana na klabu hiyo. Planes alikuwa na mkataba na …
Baada ya Steven Gerrard kuwapa mkono wa kwa heri sasa Rangers wanatafuta kocha mbadala ili kuendeleza wimbo mzuri ambao Gerrard aliuanzisha na Ronald Koeman anaonekana kuwa mtu sahihi Ibrox Stadium …
Klabu ya Barcelona imethibitisha kuingia mkataba na Xavi Hernandez kama kocha mkuu wa timu hiyo dili itakayo dumu mpaka mwaka 2024. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 41 ametumia miaka …
Hatimaye Xavi Hernandez anatimiza ndoto yake ya kukinoa kikosi cha FC Barcelona. Ndoto ya mkongwe huyu wa Catalunya, inakwenda kuwa uhalisia. Barca walichukua uamuzi wa kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha …
Xavi Hernandez anatarajiwa kukamilisha uhamisho wake wa kwenda Barcelona mapema zaidi kuliko ilivyotarajiwa. Kiungo huyo wa zamani wa Barca amekuwa chaguo namba moja la Barcelona mapema baada ya Ronald Koeman …
Xavi Hernández kutua Barcelona inaweza kuchukua muda mrefu kuliko ilivyokuwa inatarajiwa awali kulingana na taarifa za ndani ya Barcelona. Mchezaji huyo wa zamani wa Barcelona ni wazi kuwa chaguo la kwanza …
Sergi Barjuan ametangazwa kuwa kocha muda wa timu ya Barcelona baada ya kocha mkuu Koeman kufunagashiwa vilago mpaka pale atakapotikana kocha anaweza kuchukua mikoba rasmi iliyoachwa na Koeaman. Taarifa iliyotoka …
Barcelona wapo kwenye mazungumzo na Xavi Hernández ya kumfanya kuwa kocha mkuu wa timu hiyo baada ya kumfungashia virago aliyekuwa kocha wao Ronald Koeman jana baada ya kuwa na msimu …
Kulingana na Jarida la Sport, Klabu ya Barcelona inatamani meneja wa Liverpool, Jurgen Klopp kukinoa kikosi hicho baada ya kukamilisha mkataba wake pale Anfield. Mkataba wa Klopp pale …
Barcelona itachuana na Boca Juniors katika mechi ya maonyesho huko Saudi Arabia mwezi Desemba kwa heshima ya Diego Maradona. Uzinduzi wa Kombe Maradona litafanyika Mrsool Park huko Riyadh mwezi Desemba …