Xavi Hernandez Kurudi FC Barcelona.
Hatimaye Xavi Hernandez anatimiza ndoto yake ya kukinoa kikosi cha FC Barcelona. Ndoto ya mkongwe huyu wa Catalunya, inakwenda kuwa uhalisia. Barca walichukua uamuzi wa kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Hatimaye Xavi Hernandez anatimiza ndoto yake ya kukinoa kikosi cha FC Barcelona. Ndoto ya mkongwe huyu wa Catalunya, inakwenda kuwa uhalisia. Barca walichukua uamuzi wa kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha …
Barcelona wapo kwenye mazungumzo na Xavi Hernández ya kumfanya kuwa kocha mkuu wa timu hiyo baada ya kumfungashia virago aliyekuwa kocha wao Ronald Koeman jana baada ya kuwa na msimu …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez kwenye hali ya kushangaza amewashtua mashabiki wa klabu hiyo baada ya kutangazwa kua ataendelea kusalia ndani ya viunga vya klabu hiyo vya Camp …
Klabu ya Fc Barcelona inaelezwa inakaribia kuipindua klabu ya Liverpool katika kumuwania kocha wa klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno Ruben Amorim ambaye anawaniwa na klabu ya Liverpool. Barcelona mwishoni …
Baada ya Liverpool, sasa kocha wa Italia Roberto De Zerbi anahusishwa na kibarua cha Barcelona pia, huku Xavi Hernandez akitangaza kuondoka mwishoni mwa msimu. Imekuwa siku chache za kushangaza katika …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez ameweka wazi kua klabu hiyo haina mpango wa kusajili mchezaji yeyote katika dirisha dogo la mwezi Januari licha ya majeraha ambayo wamekua wakiyapata. …
Klabu ya Barcelona mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Hispania maarufu kama La Liga hawaeleweki chini ya kocha wao Xavi Hernandez. Hii imekuja kutokana na matokeo ya kusuasua wanayopata klabu …
Leo pale nchini Hispania moto utawaka sana kwenye ligi kuu nchini humo klabu ya Barcelona watakua nyumbani kuwakaribisha klabu ya Atletico de Madrid. Barcelona mabingwa watetezi wa ligi hiyo ambao …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez amebainisha kua hakuna matatizo ndani vyumba vya kubadilishia nguo ndani ya klabu hiyo kutokana na kauli aliyoitoa kiungo Gundogan. Kiungo Ilkay Gundogan jumamosi …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez amempakulia minyama kiungo wake raia wa kimataifa wa Uholanzi Frenkie De Jong kua ni moja ya wachezaji bora duniani kwasasa. Kocha Xavi amemsifia …
Mkurugenzi wa klabu ya Barcelona Deco amesema wapo kwenye mchakato wa kumuongezea mkataba mpya kocha wa klabu hiyo Xavi Hernandez ambaye alijiunga na timu hiyo mwaka 2021. Deco anasema kocha …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez amesema mshambuliaji kijana ndani ya klabu hiyo Ansu Fati hawezi kujiunga na mahasimu wao klabu ya Real Madrid. Kocha Xavi amesisitiza kua mchezaji …
Mchezaji wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Ureno Joao Cancelo anaelezwa anahitaji kutimkia klabu ya Fc Barcelona mabingwa wa soka nchini Hispania. Joao Cancelo mpaka sasa …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez amesema kuondoka kwa winga wa kimataifa wa Ufaransa Klabuni hapo Ousmane Dembele kutawadhoofisha. Xavi wakati akiongea na wanahabari kuzungumzia masulala mabalimbali ya klabu …
Kiungo wa kimataifa wa Ureno Ruben Neves anatarjiwa kujiunga na klabu ya Barcelona katika majira haya ya joto baada ya kumaliza msimu na klabu yake ya Wolverhampton inayoshiriki ligi kuu …
Xavi Hernandez amekiri kuwa Barcelona wako katika “hali nzuri sana” kwenye kilele cha LaLiga lakini aliumia saba hapo jana baada ya timu yake kukosa nafasi za mabao dhidi ya Girona …
Kocha mkuu wa Barcelona Xavi anakubali Sergio Busquets anaweza kuamua kumalizia soka lake la Barcelona kwa kiwango cha juu mwishoni mwa msimu huu, ingawa kocha huyo wa Blaugrana ana matumaini …
Kocha mkuu wa FC Barcelona, Xavi Hernandez amengazia mafanikio ya Barcelona kama juhudi ya timu badala ya kushuka kwa kiwango cha mtu binafsi katika ushindi mnono wa 4-0 kwenye LaLiga …
Kocha mkuu wa Barcelona Xavi Hernandez ameelezea ushindi wa Barcelona wa 2-1 dhidi ya wapinzani wao wa Clasico Real Madrid kuwa ni “ushindi muhimu sana kwao” huku timu yake ikiunguruma …
Kiungo wa klabu ya Barcelona Sergio Busquets anatarajiwa kubaki ndani ya klabu hiyo kutokana na mazungumzo ambayo yanaendelea baina ya kiungo huyo na klabu yake ya Barcelona. Taarifa zinaeleza kua …