Benzema Afunga Hat-trick kwa Al-Ittihad
Karim Benzema amefunga hat-trick yake ya kwanza ya Saudi Pro League na kupata ushindi uliohitajika sana wa 4-2 kwa Al-Ittihad dhidi ya Abha. Kikosi cha Mfaransa huyo hakikuwa kimeshinda …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Karim Benzema amefunga hat-trick yake ya kwanza ya Saudi Pro League na kupata ushindi uliohitajika sana wa 4-2 kwa Al-Ittihad dhidi ya Abha. Kikosi cha Mfaransa huyo hakikuwa kimeshinda …
Mshambuliaji wa klabu ya Al Ettihad Karim Benzema ameshangazwa na ubora wa mchezaji mwenzake wa zamani wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo kutokana na ubora anaouonesha. Benzema anasema ubora …
Kocha mkuu wa Real Madrid Carlo Ancelotti amedai kuwa chaguo la Karim Benzema kuondoka klabuni hapo baada ya miaka 14 lilikuwa uamuzi wa kushangaza wa dakika za mwisho uliofanywa siku …
Mchezaji aliyepambwa zaidi na Real Madrid Karim Benzema ataondoka katika klabu hiyo baada ya miaka 14. Mshambuliaji huyo wa Ufaransa Benzema mwenye miaka 35, alishinda mataji 25 wakati alipokuwa …
Baada ya kutangaza kumuacha rasmi mshambuliaji wao Karim Benzema ambaye anahusishwa kutimkia Saudi Arabia, Real Madrid wako tayari kujaribu uamuzi wa Tottenham kumbakisha Harry Kane. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet …
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Ufaransa Karim Benzema inaelezwa kua yuko kwenye hatihati ya kutimka ndani ya timu hiyo kipindi cha majira ya joto ya …
Mchezaji wa zamani wa Real Madrid Mesut Ozil amemwagia sifa za mchezaji mwenzake wa zamani Karim Benzema baada ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Ulaya kufunga hat-trick kwenye El Classico …
Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain na Argentina Lionel Messi ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA kwa Wanaume kwa mara ya pili. Messi alipata ushindani kutoka kwa mchezaji mwenzake Kylian …
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Karim Benzema anatarajiwa kuanza katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya klabu ya Liverpool utakaopigwa katika dimba la Anfield. Karim Benzema alikosekana …
Kocha mkuu wa Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kuwa Karim Benzema ataanza mechi ya mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa wa Real Madrid akiwa na Liverpool, huku akimtaka Vinicius …
Real Madrid itawakosa viungo wake muhimu Toni Kroos na Aurlien Tchouameni kwa safari yao ya kwenda Liverpool lakini Karim Benzema ameingia kwenye kikosi cha Los Blancos. Benzema ambaye ni …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kua mshambuliaji wake hatari Karim Benzema asingeweza kucheza mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya klabu ya Liverpool kama mchezo …
Carlo Ancelotti ampigia saluti Karim Benzema baada ya nahodha huyo wa Real Madrid kuwa mfungaji bora wa pili wa klabu hiyo kwa ufungaji bora wa muda wote wa LaLiga. …
Wachezaji Karim Benzema, Lionel Messi na Kylian Mbappe wameingia kwenye tatu bora ya kinyang’anyiro cha kumtafuta mchezaji bora wa mwaka 2022 kupitia shirikisho la soka duniani. Baada ya kutangaza lorodha …
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Karim Benzema imeripotiwa amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu ya Real Madrid mpaka mwaka 2024. Kupitia kocha wa klabu ya Real Madrid ambaye …
Kocha mkuu wa Real Madrid Carlo Ancelotti anatumaini kuwa Karim Benzema atakuwa fiti kuichezea Real Madrid katika fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu. Benzema ambaye ni mshindi wa …
Karim Benzema na Thibaut Courtois wameachwa nje ya kikosi cha Real Madrid kitakachoshiriki nusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu Jumatano dhidi ya Al Ahly. Nahodha wa timu …
Carlo Ancelotti ana matumaini kwamba Karim Benzema hatakosa safari ya Jumapili dhidi ya Real Mallorca licha ya kuchechemea katika ushindi wa Real Madrid dhidi ya Valencia, lakini jeraha la mlinzi …
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid na mshindi wa Ballon Dor mwaka 2022 Karim Benzema anakaribia kuongeza mkataba na klabu hiyo ili aendelee kusalia klabuni hapo. Mshambuliaji Karim Benzema mkataba …
Karim Benzema amedokeza kuwa Real Madrid lazima watafute mabao ya mapema katika michezo ikiwa hawataki kuteseka baada ya kurejea 3-1 kwenye Copa del Rey dhidi ya Atletico Madrid hapo jana. …