Eder Militao Kuikosa Brazil
Mchezaji wa Real Madrid Éder Militão hataichezea Brazil mwezi huu kama Vinicious baada yakupata jeraha ambapo taarifa hiyo imetoka hii leo. Baada ya kufanyiwa vipimo vipya, mchezaji huyo amegundulika na …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mchezaji wa Real Madrid Éder Militão hataichezea Brazil mwezi huu kama Vinicious baada yakupata jeraha ambapo taarifa hiyo imetoka hii leo. Baada ya kufanyiwa vipimo vipya, mchezaji huyo amegundulika na …
Kiungo wa zamani wa klabu ya Liverpool, Barcelona, na Bayern Munich Philippe Coutinho amefanikiwa kujiunga na klabu ya Vasco da Gama ya nchini Brazil kwa mkopo akitokea klabu ya Aston …
Brazil waliondolewa kwenye robo fainali ya Copa America na kumshuhudia mchezaji mpya wa Juventus, Douglas Luiz akikosa mkwaju wa penalti, huku mchezaji wa zamani wa Cagliari, Nahitan Nández akitolewa nje …
Kikosi cha timu ya taifa ya Brazil ambacho kinatarajiwa kushiriki michuano ya Copa America baada mwezi wa sita kimetangazwa leo na nyota kadhaa wa kikosi hicho wakitemwa wachezaji hao ni …
Kocha wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Italia Carlo Ancelotti ameonekana kukanusha tena habari zinazomuhusisha yeye kujiunga na timu ya taifa ya Brazil. Ancelotti akifanya mazungumzo na …
Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane hatafanikiwa kukipiga katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa leo baina ya timu yake ya taifa dhidi ya timu ya tiafa …
Katika mfululizo wa zile mechi za kirafiki ambao unaendelea leo itapigwa mechi kali ya kirafiki kati ya mataifa mawili makubwa kimpira ambapo timu ya taifa ya Uingereza itaikaribisha timu ya …
Beki wa Juventus, Gleison Bremer ameitwa kwa ajili ya majukumu ya kimataifa na Brazil kuchukua nafasi ya Gabriel Magalhaes aliyejeruhiwa Arsenal dhidi ya Uingereza na Uhispania. Mapumziko yatawakutanisha Selecao huko …
Winga wa klabu ya Real Madrid Vinicius Jr ameripotiwa kutimka kwenye kambi ya timu ya taifa ya Brazil baada ya kuripotiwa kupata majeraha ya misuli ya paja mapema leo. Vinicius …
Nahodha wa Juventus Danilo alilazimika kutoka nje ya uwanja kuelekea Brazil wakati wa mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia dhidi ya Venezuela baada ya kupata jeraha la misuli. …
Wiki moja tu baada ya kusajiliwa kama mchezaji mpya wa Simba SC, Mlinda mlango Jefferson Luis raia wa Brazil amepata majeraha akiwa kwenye maandalizi ya msimu mpya ya klabu hiyo …
Carlo Ancelotti hatakuwa na uhusiano wa kutaka kuhamia Chelsea au Brazil wakati yeye ni kocha mkuu wa Real Madrid kutokana na “heshima” ya klabu hiyo ya LaLiga. Muitaliano huyo …
Golikipa wa klabu ya Manchester City Ederson Moraes ameonesha ana imani kubwa kua kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti atakinoa kikosi cha timu ya taifa ya Brazil siku …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti inaripotiwa ananukia kunako timu ya taifa ya Brazil ambapo amekua akihusishwa kwa muda mrefu kuchukua kibarua cha timu hiyo. Ancelotti inatajwa yupo …
Roberto Pires ambaye ni mchezaji mwenza wa zamani wa Zinedine Zidane amesema Mfaransa huyo alitaka sana kuwa kocha mkuu wa Ufaransa na hana nia ya kuinoa Brazil. Ilionekana Zidane …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amekanusha tena taarifa kuhusu yeye kuchukua mikoba ya Tite na kukinoa kikosi cha timu ya taifa ya Brazil. Kocha Ancelotti kwa kipindi …
Gazeti la Brazil O Globo linadai FA wako tayari kusubiri hadi msimu wa joto kumteua Carlo Ancelotti kama kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Brazil. Nafasi hiyo …
Timu ya taifa ya Brazil imeonesha bado haijakata tamaa kwa kocha wa Real madrid Carlo Ancelotti ambae wanataka aifundishe timu ya taifa ya nchi hiyo akirithi mikoba ya kocha aliyepita …
Kocha mkuu wa Simba Roberto Oliveira amerejea nchini kwao Brazil usiku wa jana kwa shughuli binafsi za kifamilia na anatarajia kurejea mwishoni mw amwezi huu wa Januari. Kocha huyo …
Kocha mpya wa Simba, raia wa Brazil Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amempa zawadi kiungo mshambuliaji, Kibu Denis baada ya kuonyesha kiwango kizuri. Simba inaendelea na mazoezi nchini Dubai kwa ajili ya …