Kyrie Irving Aiokoa Brooklyn Nets
Baada ya kuambulia kipigo kwenye michezo 4 mfululizo, Brookyn Nets imezinduka kwenye mchezo wa 5. Kyrie Irving ajiwekea rekodi yake binafsi. Kwa mara ya 3 kwenye maisha yake ya kucheza …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Baada ya kuambulia kipigo kwenye michezo 4 mfululizo, Brookyn Nets imezinduka kwenye mchezo wa 5. Kyrie Irving ajiwekea rekodi yake binafsi. Kwa mara ya 3 kwenye maisha yake ya kucheza …
Timu ya Los Angels Lakers imefanikiwa kuifunga Brooklyn Nets ya Durant alama 126 kwa 101. Katika mechi ya jana, Lakers walionekana kutawala mchezo huo kiwango kikubwa. Viajan wa Los Angels …
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, zilianza kusambaa fununu kuwa James Harden anachagiza kuondoka Rocket Houston na sasa yametimia, Brooklyn Nets yainasa saini ya Harden. Umekuwa ni usajili wa kushtukiza zikiwa ni …
Baada ya kuwepo sintofahamu kuhusu hatima ya Kyrie Irving kunako Ligi ya NBA msimu huu. Hatimaye, Irving amerejea uwanjani 2022. Kutokana na kuweka mgomo wa kutochanja chanjo ya COVID-19, uongozi …
Pengine huu ndio msimu ambao tutaona utatu wa Brooklyn Nets ukionesha ubora wao. Kuelekea huko, Kevin Durant (KD) ameanza kuonesha njia. Wakati Nets ikiendelea kumkosa Kyrie Irving kutokana na suala …
Mzunguko wa pili kunako NBA umeendelea usiku wa kuamkia leo. Brooklyn Nets wamerudi mchezoni wakati LA Lakers wakiendelea kupoteza michezo yao. Nets walikuwa uwanjani kuchuana na Philadelphia 76ers. Baada ya …
Kuelekea msimu mpya wa NBA 2021/22, Brooklyn Nets huenda ikamkosa nyota wake, Kyrie Irving kwa muda usiojulikana. Hii ni baada ya Irving kuwa miongoni mwa wachezaji ambao hawajapata chanjo ya …
Mambo yameanza kunoga kuelekea michezo ya Play-Offs kunako ligi ya NBA. Mchezo dhidi ya Toronto Raptors, umewafanya Nets kufuzu hatua ya mtoano mapema zaidi. Brooklyn Nets walikuwa uwanjani wakichuana na …
Unapozungumzia NBA unazungumzia msimu wa kawaida ambapo ni michezo ya Eastern na Western Conference, lakini utamu wa ligi hiyo unakuwa moto kwenye hatua ya play-offs. Michezo wa msimu wa kawaida …
Nyota wa timu ya Brooklyn Nets – Kevin Durant (KD), amefurahishwa na utatu wa timu hiyo. Hii ni baada ya KD, Harden na Irving kucheza pamoja kwa mara ya kwanza. …
Steve Nash anautolea macho ubingwa wa NBA na Brooklyn Nets baada ya kuwasili kwa James Harden, lakini kocha mkuu alionya timu yake wanahitaji kuimarika. Harden, mshindi mara nane wa All …
Nyota wa Brooklyn Nets – Kevin Durant atakosekana kwenye timu hiyo kwa muda kutokana na utaratibu wa kujilinda na COVID19. Durant alikuwa karibu mtu aliyesadikika kuwa na maambukizi ya COVID19 …
Timu ya mpira wa kikapu nchini marekani Blooklyn Nets imefanya usajili wa mchezaji wa zamani wa timu hiyo Michaell Beasley ili kuisaidia timu hiyo kunako ligi ya NBA. Timu imethibitisha …
Songombingo za kugoma kuchanja chanjo ya Covid-19 zimemfanya akose baadhi ya michezo kwenye NBA. Lakini, Kyrie Irving ni wa moto… Wakati huu ambao James Harden ameondoka Brooklyn Nets na kujiunga …
Kevin Durant amezungumza na waandishi wa habari wa NBA kuhusu mfululizo wa matokeo mabovu ya kupoteza kwa Brooklyn Nets katika michezo 11 mfululizo. Kushuka kwa kiwango chao kumetokana na Durant …
Kabla ya kuingia uwanjani dhidi ya Houston Rockets, Golden State Warriors walikua wamepoteza michezo 6 mfululizo kwenye NBA. Almanusura wapoteze mchezo wa 7 mfululizo, Stephen Curry ameokoa jahazi. Matokeo ya …
Burudani ya mchezo wa kikapu kunako Ligi ya NBA inaendelea! The Greek Beast, Giannis Antetokonumpo amekiwasha dhidi ya Golden State Warriors. Milwaukee Bucks walikuwa uwanjani wakichuana na Warriors katika muendelezo …
Mambo yanazidi kunoga kunako NBA 2021/22, mtanange wa Phoenix Suns na Golden State Warriors, umetoa matokeo tofauti na yaliyotarajiwa. Licha ya kumpoteza Devin Booker baada ya kupata majeruhi, Suns wamefanikiwa …
Burudani ya mchezo wa kikapu inaendelea viwanjani. Msimu wa 2021/22 kunako NBA ni visa na mikasa. Vipigo vya kila namna kwa wasiotegemewa kupoteza michezo. Milwaukee Bucks walikuwa uwanjani kuchuana na …
Kwa wadau wa kutengeneza faida kupitia mikeka, sio soka tu, hata NBA imewalaza watu njaa. Vigogo wameambulia vichapo kila mmoja kwa nafasi yake. Licha ya kuongoza kwa pointi 26, LA …