Bayern Leverkusen Mabingwa Wapya Bundesliga
Klabu ya Bayern Leverkusen imefanikia kutwaa taji la Bundesliga baada ya kufanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao matano kwa bila mbele ya klabu ya Weder Bremen. Bayern Leverkusen wanatwaa ubingwa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Bayern Leverkusen imefanikia kutwaa taji la Bundesliga baada ya kufanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao matano kwa bila mbele ya klabu ya Weder Bremen. Bayern Leverkusen wanatwaa ubingwa …
Harry Kane anasema anahisi yuko nyumbani Bayern Munich baada ya kufunga bao lake la 18 la Bundesliga msimu huu. Bayern walitawala pambano lao la jana usiku huko FC Cologne …
Robert Lewandowski amepongeza usajili wa Bayern Munich wa Harry Kane. Nahodha wa Uingereza Kane, 30, alijiunga na mabingwa hao wa Bundesliga kutoka Tottenham mapema mwezi huu kwa mkataba wa miaka …
Harry Kane alifunga na kusaidia Bayern Munich katika mechi yake ya kwanza ya Bundesliga dhidi ya Werder Bremen katika ushindi wa 4-0. Rekodi ya usajili ya Bayern iling’aa chini …
Harry Kane anasisitiza kuwa atafurahia presha mpya ya changamoto ya kushinda mataji kila mwaka huko Bayern Munich na anajua mafanikio nchini Ujerumani yanaweza kuweka jina lake katika mazungumzo ya Ballon …
Klabu ya Bayern Munich leo imefanikiwa kurejea kwenye njia ya ushindi baada ya kufanikiwa kushinda kwa mabao mawili dhidi ya klabu ya Hertha Berlin katika mchezo wa ligi kuu ya …
Kocha mkuu wa Borussia Dortmund, Edin Terzic anataka wachezaji wake kufaidika na nafasi yao katika mbio za ubingwa wa Bundesliga, akisema wako karibu zaidi kuliko hapo awali. Tangu Dortmund …
Klabu ya Fc Bayern Munich imefanikiwa kupata matokeo ya ushhindi katika ligi kuu ya Ujerumani baada ya kuifunga klabu ya Bochum kwa magoli matatu kwa bila wakiwa katika dimba lao …
Manchester United wanaripotiwa kuwa wanataka kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund Youssoufa Moukoko. Kulingana na ripoti kutoka Give Me Sport, mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani mwenye umri wa miaka …
Klabu ya Fc Bayern Munich imeendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi kuu nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga baada ya kupata ushindi wa magoli matatu kwa mawili dhidi ya klabu …
Klabu ya Fc Bayern Munich inayoshiriki ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga imeendelea kua na matokeo ya kutoridhisha katika ligi hiyo. Mabingwa hao watetezi wamekua na kiwango kibovu kwenye …
Bayern Munich wanaendelea kuchehemea katika ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga baada ya kulazimishwa suluhu leo mapema wakiwa nyumbani dhidi ya klabu ya Stuttgart. The bavarians wamepata wakati mgumu …
Borussia Dortmund wamekwea kileleni mwa ligi kuu ya ujerumani maaruga kama Bundesliga jana baada ya kuifunga klabu ya Hoffenheim bao moja kwa bila. Katika mchezo uliopigwa katika dimba la Signal …
Klabu ya Bayern Munich imefanikiwa kutwaa taji lao la 10 mfululizo la Bundesliga zikiwa zimesalia mechi tatu baada ya kuifunga Borussia Dortmund kwa mabao 3-1 katika dimba la Allianz Arena …
Ujerumani, ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga, kunauwezekano wa michezo yote iliyobaki ikachezwa pasipo mashabiki, kutokana na kirusi kipya cha korona kuzuku na serikali ya Ujerumani ikijitahidi kupambana na wimbi la …
Erling Haaland nyota wa Borussia Dortmund anapaswa kujiunga na Bayern Munich au aondoke Bundesliga ili kuendeleza kipaji chake, amesema Lothar Matthaus. Mshambuliaji huyo wa Norway alifunga mara mbili katika ushindi …
Leslie Feinberg alikuWa mwandishi mkubwa sana nchini Marekani, licha ya kuwa na maumbile ya kike lakini alipenda sana kuwa mwanaume, hivyo ikambidi aishi katika desturi za kiume (Tom boy). Binti …
Mshambuliaji wa Fiorentina Franck Ribery asingeweza kukataa kurejea Bundesliga. ‘Kwa sasa, nafikiria tu juu ya Viola’. Winga huyu wa Ufaransa aliwasili Florence kwa uhamisho wa bure kabla ya 2019-20, lakini …
Robert Lewandowski amekua mchezaji wa kwanza kufunga magoli 21 katika kipindi cha kwanza cha kampeni ya Bundesliga na bao la kwanza kwa Bayern Munich dhidi ya Freiburg. Gerd Muller hapo …
Matthew Hoppe aliandika jina lake katika vitabu vya historia kwa kuwa Mmarekani wa kwanza kufunga hat-trick kwenye Bundesliga baada ya kuifungia Schalke mara tatu dhidi ya Hoffenheim. Mzaliwa wa California …