Cedric Kaze Awataka Wachezaji Yanga Kutoidharau Rhino
Kocha msaidizi wa timu ya wananchi Cedric Kaze amewataka wachezaji wa timu yake kutowadharau Rhino Rangers ya mkoani Tabora kwenye mchezo wa leo hatua ya 32 ya kombe la Shirikisho …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha msaidizi wa timu ya wananchi Cedric Kaze amewataka wachezaji wa timu yake kutowadharau Rhino Rangers ya mkoani Tabora kwenye mchezo wa leo hatua ya 32 ya kombe la Shirikisho …
KATIKA kuhakikisha kuwa wanatetea ubingwa wa ligi kuu benchi la ufundi la klabu ya Yanga limeweka wazi mipango yao ya kuhakikisha kuwa wanapata ushindi mnono katika michezo yao ya nyumbani …
Cedric Kaze Kocha wa Yanga amesema presha ni kubwa kuhusu mechi yao ya kesho wakicheza na Simba “Kesho tunaenda kucheza mechi kubwa na inahusisha Klabu kubwa Tanzania na Afrika Mashariki …
Cedric Kaze kocha msaidizi wa Yanga SC ametoa ufafanuzi kwa nini klabu yake ilicheza taratibu kipindi cha pili tofauti na mwanzo katika mchezo wa jana Jumanne dhidi ya klabu ya …
KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa wachezaji wake jana Novemba 7 walionyesha bidii kwenye kuska matokeo kipindi cha kwanza ila mambo yalibadilika kipindi cha pili na kuwa magumu …
Soka la kisasa sio soka la kucheza kwa namba . Yaani lile soka la walinzi kucheza kama walinzi , viungo kusimama eneo lao na washambuliaji kusimama kama washambuliaji kwa majukumu …
KOCHA Mkuu wa Namungo, Cedric Kaze baada ya kuiongoza timu yake kwa mechi tano akikusanya pointi tatu na kupoteza kumi amesema mchezo dhidi ya Singida Big Stars umeshikilia hatma yake, …
Kocha Mkuu wa Namungo FC, Cedric Kaze amesema licha ya kuwa Yanga SC wamekuwa na kiwango bora kwa sasa ila yeye kama mkuu wa benchi la ufundi hawaogopi Yanga SC. …
Aliyekuwa kocha msaidizi wa Yanga Cedric kaze amewaaga rasmi mashabiki, wanachama na viongozi wa timu hiyo mara baada ya kuachana na timu hiyo. Cedric Kaze atarudi nchini kwao Burundi kwenda …
Kocha wa timu ya taifa Tanzania Taifa Stars, Adel Mrouche amepewa nafasi ya kuchagua wataalamu 4 atakao ambatana nao kwenye timu ya taifa kama sehemu ya benchi lake la ufundi, …
Kocha msaidizi wa klabu ya Yanga Cedric Kaze amesema klabu hiyo haikucheza vizuri dhidi ya klabu ya Sugar licha ya kupata matokeo ya alama tatu muhimu. Kocha Kaze wakati anazungumza …
Kocha msaidizi wa klabu ya Yanga Cedrid Kaze amesema kua klabu hiyo itacheza kila mchezo kama fainali ili kuhakikisha wanapata alama tau muhimu. Kocha huyo ameyazungumza hayo katika mkutano wa …
Cedric Kaze ambaye ni Kocha msaidizi wa Yanga na Mkurugenzi wa Ufundi na timu ya vijana ya klabu hiyo, amefafanua suala la ‘Unbeaten’ ambalo limekuwa likizungumzwa sana kwenye mitandao ya …
KOCHA Msaidizi wa Mabingwa mara zote wa Ligi Kuu Tanzania Bara mara 28, Cedric Kaze ameuzungumzia mchezo wao unaofuata dhidi ya Mbeya City, ambao unatarajiwa kuchezwa kesho Novemba 26/2022 kwenye …
UONGOZI wa Klabu ya Yanga SC umetangaza kumuongeza majukumu kocha wao msaidizi wa timu ya wakubwa Cedric Kaze, ambaye atahudumu kama Mkurugenzi Mkuu wa Timu za Vijana pamoja na Yanga …
Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwapa sapoti wachezaji na benchi la ufundi hata katika kipindi kigumu. Kaze amezungumza hayo baada ya timu hiyo kufanikiwa …
Baada ya kutoka suluhu kwenye mchezo wa kwanza wa mtoano dhidi ya Club Africain ya nchini Tunisia, Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amesema bado nafasi ya kufuzu hatua ya …
Kocha Msaidizi wa klabu ya Yanga Cedric Kaze amesema wanakwenda kuchez kila mchezo wakiwa na malengo. Ameyazungumza hayo akiwa anafanya mahojiano na wanahabri kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya …
Uongozi wa KMC FC inayodhaminiwa na Meridian Bet umeingilia kati juu ya uwepo wa taarifa kuwa Yanga wameachana na makocha wao wawili, Nasreedin Nabi na msaidizi wake Cedric Kaze kwa …
HUKU wengi wakiamini Yanga SC kuanzia nyumbani katika mchezo wa hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal itawazuia kufuzu hatua ya makundi, kocha msaidizi wa timu …