Christian Ericksen - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Christian Eriksen Atatua Borussia Dortmund?

Daily News

Borussia Dortmund wanatajwa kuwa wanafikiria kujiandaa kumfukuzia Christian Eriksen mwezi Januari. Mabingwa hawa wa Ujerumani walikuwa wanahusishwa na nyota huyu mwezi Oktoba, lakini dili halikuweza kukamilika. Taarifa zinasema dili hili …

Christian Eriksen : Sitaki Kukaa Benchi

Daily News

Aliyekuwa nyota wa Tottenham, Christian Eriksen  ameweka wazi kuwa hataki tena kuendelea kukaa benchi katika timu yake ya sasa ya Inter Milan. Christian Eriksen alikamilisha uhamisho wake kutoa Tottenham kwenda …

Ericksen – Mtauona Ubora Wangu.

Champions League

Christian Eriksen amesema kwamba hajaonesha kiwango chake tangu ajiunge na Inter lakini ameona maendeleo makubwa siku za usoni baada ya kuchangia goli  kwenye ushindi wa 2-1 Inter walipocheza dhidi ya …

Manchester United Majanga Tu

Daily News

Klabu ya Manchester United imeendelea kukubwa na majanga na hiyo ni baada ya golikipa wake namba moja Andre Onana kupata majeraha akiitumikia timu yake ya taifa ya Cameroon. Andre Onana …

Machaguo Sahihi kwa Madrid

Champions League

Zidane kwa sasa ameanza kibarua chake kwa awamu nyingine tena kama kocha wa kikosi hicho cha matajiri hao wa Hispania. Na hajataka kabisa kulaza mambo ameanza vuguvugu la usajili mapema …

Machaguo Sahihi kwa Madrid

Champions League

Kwa sasa Zidane ameanza kibarua chake kwa awamu nyingine tena kama kocha wa kikosi hicho cha matajiri wa Hispania. Hajataka kabisa kulaza mambo, ameanza vuguvugu la usajili mapema ili kurejesha …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

  Tetesi zinasema Manchester United ina matumaini ya kumsajili winga wa England Jadon Sancho, 20, kutoka Borussia Dortmund kwa kima cha chini ya pauni milioni 100 mwaka huu. Tetesi zinasema …