PSG Yamfuta Kazi Christophe Galtier
Klabu ya PSG imemfuta kazi meneja wake Christophe Galtier mwenye miaka 56, baada ya kukaa mwaka mmoja tu ndani ya klabu hiyo na kuwaongoza wababe hao wa Ufaransa kunyakua taji …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya PSG imemfuta kazi meneja wake Christophe Galtier mwenye miaka 56, baada ya kukaa mwaka mmoja tu ndani ya klabu hiyo na kuwaongoza wababe hao wa Ufaransa kunyakua taji …
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier alihisi timu yake wangeweza kupata ushindi mkubwa zaidi baada ya Kylian Mbappe kuweka historia ya Ligue 1 katika ushindi wao wa 3-1 dhidi ya …
Kocha mkuu wa Paris Saint-Germain Christophe Galtier ana matumaini kuhusu mipango ya klabu hiyo kwa msimu ujao, lakini anakiri kuwa kuna sehemu ambazo zinahitaji kuboreshwa “kwa kiasi kikubwa”. PSG …
Kocha wa Paris Saint-Germain Christophe Galtier hana wasiwasi wowote kuhusu ukosefu wa umoja katika klabu hiyo baada ya kuondolewa kwa Ligi ya Mabingwa. PSG walirejea katika njia ya ushindi …
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier amemsifu Kylian Mbappe kwa uchezaji wake mzuri wa kuwa mfungaji bora wa pamoja wa Paris Saint-Germain katika ushindi wa 3-0 hapo jana dhidi ya …
Kocha mkuu wa PSG Christophe Galtier “ana wasiwasi sana” kuhusu matarajio ya Paris Saint-Germain watakapomenyana na Bayern Munich kwenye Ligi ya Mabingwa siku ya Jumanne. Huku Lionel Messi akijiunga …
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier ameusifu mchango mwingine wa kushinda mechi kutoka kwa Lionel Messi baada ya Paris Saint-Germain kuifunga Toulouse 2-1 na kuwa mbele kwa pointi nane kileleni …
Kocha mkuu wa PSG Christophe Galtier amesema kuwa jeraha la Kylian Mbappe halionekani kuwa baya sana na amefichua hayo baada ya mshambuliaji huyo kuchechemea dhidi ya Montpellier. Huku Neymar …
Christophe Galtier ameshukuru kumrejesha Lionel Messi kama mshindi wa Kombe la Dunia akifunga katika ushindi wa 2-0 wa Paris Saint-Germain dhidi ya Angers hapo jana. Nahodha huyo wa Argentina …
Kocha mkuu wa PSG Christophe Galtier amekiri kwamba wachezaji wake wanaweza kuwa waliidharau Chateauroux katika pambano lao la Coupe de France siku ya jana. Hatimaye PSG walishinda sare 3-1 …
Kocha mkuu wa PSG Christophe Galtier anaamini kurejea kwa Kylian Mbappe katika mazoezi ya Paris Saint-Germain siku tatu tu baada ya kushindwa katika fainali ya Kombe la Dunia ni ishara …
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier alisisitiza kwamba Kylian Mbappe ana furaha akiwa Paris Saint-Germain, ingawa alikiri mustakabali wa Lionel Messi na wababe hao wa Ufaransa haujaamuliwa. Mbappe ndiye …
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier amesema kuwa Kylian Mbappe alikabiliwa na uchovu wa misuli katika ushindi wa Paris Saint-Germain dhidi ya Lorient, na kocha huyo ameondoa hofu juu ya …
Mchezaji wa PSG Kylian Mbappe amekubali kuwa klabu yake PSG haikufanya vya kutosha ili waongoze kundi lao la Ligi ya Mabingwa, ambalo Benfica waliweza kuongoza baada ya kuitandika Maccabi mabao …
Kocha mkuu wa Paris Saint German Christophe Galtier amethibiisha kuwa kutukanwa kwa Kihispania ndio ilikuwa sababu kuu ya beki wake Sergio Ramos Kupewa kadi nyekundu hapo jana kwenye mchezo dhidi …
Kocha mkuu wa Psg, Christophe Galtier amesema kuwa Messi anaweza kuwa mchezaji bora Duniani, kutokana na ubora wake aliouonyesha dhidi ya Nice hapo jana . Mchezaji huyo wa Kimataifa …
Kocha mkuu wa Paris Saint-Germain Christophe Galtier “hashangazwi” na baadhi ya maoni makali yaliyotolewa na mwenzake Julien Fournier kuhusu muda wao walipokuwa Nice pamoja. Galtier alijiunga na Nice …
Christophe Galtier ametangazwa kuwa kocha mpya wa Paris Saint-Germain imethibitishwa na klabu hiyo ya Ligue 1 siku ya Jumanne. Kocha huyo wa zamani wa Nice alikuwa akihusishwa kurithi majukumu ya …
Milan Skriniar amejiunga na Paris Saint-Germain kwa uhamisho wa bure. Beki huyo wa kati wa Slovakia mwenye miaka 28, alimaliza muda wake wa miaka sita katika klabu ya Inter Milan …
Thiago Motta ameibuka kuwa kipenzi kipya cha Paris Saint-Germain na Bologna wanaripotiwa kukata tamaa juu ya nafasi yao ya kumbakisha Mtaliano huyo mwenye asili ya Brazil. Miamba hao wa …