David Beckham Amsifu Kane
Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza David Beckham amemsifu nahodha wasasa wa timu hiyo Harry Kane na kusema ni kiongozi wa kweli. Mchezaji Harry Kane alifanikiwa kufunga …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza David Beckham amemsifu nahodha wasasa wa timu hiyo Harry Kane na kusema ni kiongozi wa kweli. Mchezaji Harry Kane alifanikiwa kufunga …
Rod Stewart anasema alikataa pesa nyingi kutumbuiza nchini Qatar, ikiwa ni pamoja na kukataa kutumbuiza kwenye jukwaa moja na Gwiji wa Mpira David Beckham. Mwanamuziki Stewart, mmoja wa wasanii waliofanya …
Katika dunia hii kila mtu ana uwezo flani katika kitu anacho kifanya na ndio maana David Beckham ni mmoja ya wachezaji wachache sana wenye uwezo mkubwa wa kupiga mipira ya …
Mmiliki mwenza wa Inter Miami David Beckham anaonekana ameenda hatua ya ziada kumfanya mchezaji mpya Lionel Messi ajisikie kama yupo nyumbani baada ya kumlaki kwa furaha. Mke wa Beckham …
Meneja wa Inter Miami Phil Neville amesisitiza bado anaungwa mkono na mabosi wa timu hiyo akiwemo David Beckham, licha ya kupoteza mechi sita mfululizo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet …
Kocha mkuu wa Brentford Thomas Frank amesema kuwa Romeo Beckham ana sifa kubwa ya kuishi lakini hawezi kulinganishwa na baba yake maarufu wa kandanda David Beckham. Mchezaji huyo mwenye …
Gwiji wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United David Beckham amesema michuano ya kombe la dunia iliyofanyika nchini Qatar imefanikiwa kuunganisha mashabiki pamoja. Mchezaji …
David Beckham leo ametimiza miaka 30 tangu acheze mchezo wake wa ndani ya klabu ya Manchester United ikiwa na maana Becks alicheza mchezo wake wa kwanza tarehe kama ya leo …
David Beckham anaamini kucheza na kuiunga mkono Uingereza ni fursa mwafaka kwa wachezaji na mashabiki kusherekea maisha ya Malkia Elizabeth ΙΙ aliyefariki wiki iliyopita huko Uingereza. Malkia ambaye alikuwa …
David Beckham anasema kucheza na Kylian Mbappe “ingekuwa ndoto” baada ya supastaa huyo wa Paris Saint-Germain kupachika bao lake la 100 kwa klabu. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka …
Gonzalo Higuain yupo katika harakati za kukamilisha kujiunga na klabu ya Inter Miami baada ya mkataba wake kusitishwa na Juventus. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 32 alijiunga na Juventus …
Mmiliki wa Inter Miami David Beckham anatazamia kumpokea Blaise Matuidi ndani MLS. ‘Kuwa na mshindi wa Kombe la Dunia kwenye kikosi chetu ni heshima kama kubwa’. Kiungo huyo wa Ufaransa …
David Silva mchezaji wa kimataifa wa Hispania anaye cheza katika Premier League tayari ameichezea klabu ya Manchester City michezo 432 na kuifungia timu hiyo magoli 77 na kutoa asisti 139 …
Staa aliyepata umaarufu sana kupitia soka ambaye kwa sasa anamiliki klabu yake ya Inter Miami, David Beckham alipania kuwanasa mastaa wanaotikisa ulimwengu wa soka Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kutua …
David Beckham anatajwa kuwa yupo katika maandalizi ya kuiandaa timu yake ya Inter Miami FC kwa ajili ya kuingia ligi ya MLS 2020. Beckham anahitaji kuvunja akanti ili awasajili mastaa …
Staa aliyepata umaarufu sana kupitia soka ambaye kwa sasa anamiliki klabu yake ya Inter Miami, David Beckham amepania kuwanasa mastaa wanaotikisa ulimwengu wa soka Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kutua …
Taarifa zinadai kuwa staa wa zamani wa soka, David Bekham anamtazamia staa wa Barcelona Lionel Messi kwa ajili ya timu yake mpya Inter Miami inapokwenda kuanza rasmi kucheza katik ligi …
Sheikh Jassim bin Al Thani amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha kuinunua Manchester United kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali nchini Uingereza. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya …
Lauren James ameomba radhi kwa Michelle Alozie kwa kisa kilichompelekea kutolewa nje kwa kadi nyekundu wakati wa ushindi wa timu 16 bora wa Kombe la Dunia dhidi ya Nigeria na …
Lionel Messi amefurahishwa na safari yake ya Marekani baada ya kukamilisha uhamisho wa kwenda Inter Miami. Messi mwenye miaka 36, alifichua mwezi uliopita kwamba alikubali kujiunga na timu ya …