Benn Asaini Dili Nyingi na Matchroom ya Eddie Hearn
Conor Benn amesaini dili nyingi za mapambano na Matchroom ya Eddie akiwa katika harakati za kupambania ubingwa wa dunia. Bongwa huyo ambaye hajapoteza pambano lolote mwenye umri wa miaka 24 …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Conor Benn amesaini dili nyingi za mapambano na Matchroom ya Eddie akiwa katika harakati za kupambania ubingwa wa dunia. Bongwa huyo ambaye hajapoteza pambano lolote mwenye umri wa miaka 24 …
Promota nguli wa masumbwi, Eddie Hearn amemtambua Logan Paul kama mshindi katika pambano la kujifurahisha dhidi ya Floyd Mayweather liliopigwa wikiendi iliyopita. Logan aliweza kummudu Mayweather katika pambano la …
Eddie Hearn amekuwa na mtizamo tofauti baada ya kusikia kuhusu Deontay Wilder akielezea kupendelea kukabiliana na Andy Ruiz hivi karibuni na haoni kama Wilder akishinda mechi hiyo. Hearn amesema bingwa …
Tabia ya Deontay Wilder kwa mwaka uliyopita tangu apoteza pambano lake kwa Tyson Fury mwaka mmoja uliyopita imefanya promota Eddie Heran aamini Wilder hayupo sawa kifikra. Swali linakuja je Fury …
Ni vizuri kusema kwamba Β wote wa wili wamekubaliana kupigna mapambano ma wili.Promota Eddie Hearn amesema Anthony Joshua na Tyson Fury wamekubaliana kwa kufuata utaratibu kupanda uringoni kwa mapambano mawili mwaka …
Eddie Hearn amedai kuwa Tyson Fury alikataa nafasi ya kupigana na Oleksandr Usyk kwenye pambano liisilopingika. Promota huyo wa masumbwi aliendelea kutaja kuwa Muingereza huyo badala yake alipendelea pambano la …
Anthony Joshua amesaini mkataba mpya wa utangazaji wa muda mrefu na Eddie Hearn, ambao utamfanya awe na mtangazaji huyo hadi atakapostaafu mchezo wa ngumi. Bingwa huyo wa uzani …
Baada ya pambano la Anthony Joshua (AJ) vs Tyson Fury kubuma, Eddie Hearn atangaza ujio wa pambano la lazima kwa AJ vs Oleksandr Usyk. Fury amelazimika kuchuana na Deontay Wilder …
Promota nguli wa masumbwi dunia Eddie Hearn ameonya WBO kwamba pambano la masumbwi kati ya Anthony Joshua na Tyson Fury ni zaidi ya mkanda wa Ubingwa. “Pambano kati ya …
Anthony Joshua atarejea ulingoni dhidi ya Jermaine Franklin tarehe 1 Aprili katika uwanja wa O2 Arena. Pata Odds kubwa za soka ukiwa na Meridianbet. Bingwa huyo wa zamani wa …
Tyson Fury ameendelea kumwita Anthony Joshua kwenye pambano lao lililopendekezwa la Vita vya Uingereza, safari hii akiongoza umati wa mashabiki katika wimbo wa kumtaka Mwingereza huyo wa uzito wa juu …
Usyk:Kufuatia ushindi wake dhidi ya Anthony Joshua, pambano la pili la Oleksandr Usyk ni dhidi ya Deontay Wilder na promota Eddie Hearn anadhani Mukreini huyo atashinda kwa raha. Haijapita muda …
Anthony Joshua na bingwa wa uzito waΒ IBF/WBA/WBO Oleksandr Usyk wanatarajia kuwa na pambano la marudioa ambalo linatarajiwa kutangazwa tena wiki ijayo. Eddie Hearn ambaye kwa sasa bado anatafuta na …
Bingwa mtetezi wa mkanda wa Dunia Oleksandr Usyk ameripotiwa kuwa ataondoka nchini mwake Ukraine kwaajili ya kuanza mazoezi kuelekea pambano la marudiano dhidi ya Anthony Joshua litakalo fanyika majira ya …
Anthony Joshua alikuwa anajiandaa na pambano la marudiano na Oleksandr Usyk kwa ajili ya mataji ya dunia ya uzito wa juu aliyopoteza Septemba mwaka jana, lakini baada ya kutokea kwa …
Ikiwa ni baada ya masaa 24 tu yalipita tangu pambano la Tyson Fury na Anthony Joshua kuthibitishwa, mambo yamekuwa tofauti baada ya Deontay Wilder kuingilia kati mchakato. Baada ya kutoka …
Billy Joe Saunders atafanyiwa upasuaji katika uso wake baada ya kupigwa na Saul ‘Canelo’ Alvarez, hii ni kwa mujibu wa Promota Eddie Hearn. Canelo aliongeza mkanda wa WBO katika kabati …
Conor Benn anataka kumpeleka Amir Khan ‘kwenye ustaafu’ katika pambano litakalo wakutanisha Waingereza na anaamini anahitaji tu ngumi moja kwaajili ya knockout. Bondia huyo wa miaka 24 ambaye hajapigwa alitoa …
Dillian Whyte alikuwa akipigania maisha yake wakati alipomkabili Alexander Povetkin Jumamosi huko Gibraltar. Kama asinge rejesha tena taji la uzito mkubwa WBC, matarajio yake ya taji la ulimwengu yangetoweka . …
Moja pambano linasubiriwa na mashabiki wengi wa mchezo wa masumbwi/ndondi ni mtanange kati ya Anthony Joshua [AJ] vs Tyson Fury. Hili litatokea siku sio nyingi. Kumekuwa na taarifa zinazokinzana mara …