F1 - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

F1 2021: Ni Makosa Ya Kibinadamu

Formula 1

Ni dhahiri, ubingwa wa Formula 1 (F1) mwaka 2021 bado ni gumzo miongoni mwa mashabiki wa mchezo huo. Haki ilitendeka au iliminywa mahali? Mvutano mkali wa maamuzi ya mchezo huo …

FIA Yamvua Ukurugenzi Masi wa F1

Formula 1

FIA yathibitisha kumuondoa Michael Masi kwenye nafasi ya ukurugenzi wa mashindano ya Formula 1 kufuatia uchunguzi uliofanyika wakati akisimamia mashindano ya Abu Dhabi Grand Prix. Kuanzia sasa nafasi ya ukurugenzi …

F1: Vettel Amtetea Michael Masi

Formula 1

Bingwa mara nne kwenye mashindano ya F1 Sebastian Vettel anaamini Michael Masi anapaswa kubakishwa kwenye nafasi yake ya ukurugenzi wa mashindano japokuwa alifanya maamuzi ya utata kwenye fainali ya mashindani …

F1: Aston Martin Watambulisha Gari Mpya

Formula 1

Timu ya Aston Martin Aramco Cognizant inayoshiriki mashindano ya F1 leo wametambulisha gari yao mpya itakayotumia injini ya AMR22 ambayo watakayoitumia kwenye mashindano ya Formula 1 2022. Aston Martin ni …

F1: Hamilton Avunja Ukimya

Formula 1

Dereva wa magari ya mbio za langalanga kutoka kwenye timu Mercedes inayoshiriki mashindano ya F1 Lewis Hamilton ametoa neno baada ya kuwa kimya kwa muda refu. Hamilton ambaye alikuwa kimya …

F1 2022, Chanjo Ni LAZIMA.

Formula 1

Wakati dunia ikiendelea kupambana na kirusi cha Covid-19, mwaka 2022 kwenye mashindano ya Formula 1 (F1), kuchanja ni lazima. Suala la chanjo ya uviko-19 limekuwa ni gumzo sehemu nyingi ulimwenguni. …

Mike Krack Kuingoza Aston Martin F1

Formula 1

Timu ya Aston Martin leo wamemtambulisha na kumchagua Mike Krack kuwa kiongozi mpya wa timu hiyo ambapo anakwenda kuchukua nafasi ya Otmar Szafnauer ambaye ameondoka hivi karibuni. Kabla ya kujiunga …

Lewis Hamilton Kweli Kustaafu F1?

Formula 1

Nyota wa timu ya Mercedes Lewis Hamilton amekuwa kimya kwa muda mrefu tokea kumalizika kwa mashindano ya mwisho mwaka jana disemba jijini Abu Dhabi ambapo kulitokea sintofahamu nyingi kwenye mashindano …

Mercedes Washusha Mikono Kwa F1.

Formula 1

Baada ya kuibuka sintofahamu kuhusu ushindi wa Formula 1 kwa Max Verstappen, timu ya Mercedes imeamua kuachana na mpango wa kukata rufaa kupinga matokeo. Mbio za Abu Dhabi ziligubikwa na …

Lewis Hamilton Hafikirii Ubingwa F1.

Formula 1

Hakika, huu ni msimu ambao Formula 1 inashuhudia upinzani mkubwa kati ya Lewis Hamilton vs Max Verstappen. Madereva wawili wanaowania ubingwa 2021. Zikiwa zimesalia mbio 5 tu kumaliza msimu wa …

1 2 3 4 28 29 30
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.