Canelo Kuzichapa na Dmitry Bivol na Gennady Golovkin
Bondia Canelo Alvarez (57-1-2, 39 KOs) anatazamia dili la Β£119m, pambano la tatu na Matchroom’ baada ya kutangaza pambano la kwanza dhidi ya bingwa wa uzito wa juu wa WBA, …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Bondia Canelo Alvarez (57-1-2, 39 KOs) anatazamia dili la Β£119m, pambano la tatu na Matchroom’ baada ya kutangaza pambano la kwanza dhidi ya bingwa wa uzito wa juu wa WBA, …
Pambano la mara ya tatu kati ya Canelo Alvarez dhidi ya Gennady Golovkin litafanyika mwezi SeptembaΒ 17 mwaka huu walitangaza siku ya Jumanne. Ingawa kwenye mapambano yaliyopita walienda sare moja …
Bondia Gennady Golovkin alimpiga kwa Knock Out bondia wa kijapani Ryota Muarata siku ya Jumamosi na kuongeza mkanda wa WBA na sasa amefuzu kuchapana na Saul ‘Canelo’ Alvarez katika pambano …
Gennady Golovkin anatarajia kuchapana na Ryota Muarata siku ya Jumamosi April 9 baada ya kusubiri kwa muda mrefu moja ya pambano kali kwa mwaka 2022. GGGΒ ametimiza umri wa miaka …
Bondia wa Mexico Canelo Alvarez anajiandaa kufanya mpambano mawili mwaka huu na moja ya pambano ambalo linasubiriwa na mashabiki wa ndondi ni pambano lake na Gennady Golovkin na itakuwa ni …
Saul Canelo Alvarez anadai kuwa hajali kile ambacho wapinzani wanasema kabla ya pambano lake la tatu na Gennady Golovkin. Wapinzani hao wakali, walishiriki ulingoni mwaka wa 2017 kwa mara ya …
Canelo Alvarez alisherehekea ushindi wake dhidi ya Gennady Golovkin kwa mtindo wa kufurahisha na binti yake wa miaka mitano Maria Fernanda. Nyota huyo wa Mexico hatimaye alimaliza shindano lake la …
Canelo Alvarez alimtawala Gennady Golovkin na kushinda pambano lao la tatu kwa uamuzi wa pamoja wa majaji siku ya Jumamosi usiku huko Las Vegas. Nyota huyo wa Mexico alishinda raundi …
Canelo Alvarez na Gennady Golovkin waliweka ushindani wao kando baada ya pambano lao siku ya Jumamosi usiku huko Las Vegas. Mmexico huyo aliweza kushinda kwa maamuzi ya pamoja, licha ya …
Gwiji wa ndondi Floyd Mayweather alikuwa mmoja wa watu wachache waliopenda nafasi za Dmitry Bivol dhidi ya Saul Canelo Alvarez mapema mwaka huu. Nyota huyo wa Mexico alitarajiwa kuwa bingwa …
Bondia wa Uingereza Kell Brook ametangaza kustaafu mchezo wa ndondi akiwa na umri wa miaka 36. Uamuzi huo wa kustaafu umekuja miezi mitatu baada ya kumchapa Amir Khan katika raundi …
Nyota wa Juventus Cristiano Ronaldo alisema anapendelea kutazama ndondi au UFC kuliko mechi za mpira wa miguu. Ronaldo ni mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa miguu wa wakati wote …