Gianluigi Donnarumma Rasmi PSG Miaka 5
Mlinda mlango wa Italia Gianluigi Donnarumma amesaini mkataba wa miaka mitano na Paris St Germain. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 anajiunga na PSG baada ya kumaliza mkataba wake …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mlinda mlango wa Italia Gianluigi Donnarumma amesaini mkataba wa miaka mitano na Paris St Germain. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 anajiunga na PSG baada ya kumaliza mkataba wake …
Pengine sio kawaida kuona kipa anatwaa tuzo ya mchezaji bora lakini Gianluigi Donnarumma amestahili tuzo ya mchezaji bora wa Euro 2020. Akiwa na umri wa miaka 22, Donnarumma amekuwa muhimili …
Mustakabali wa Gianluigi Donnarumma huko Milan unabaki hewani. Kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, Mino Raiola aliomba kamisheni ya € 20m ili kuongeza mkataba wa kipa huyo. Mkataba Donnarumma …
Gianluigi Donnarumma anajiandaa kwa majaribio ya mbinu ya Italia dhidi ya Venezuela na Ecuador, kisha anakiri ‘kucheza na mpira miguuni mwako ni jambo la msingi’ sasa. The Azzurri itamenyana na …
Gianluigi Donnarumma alitafakari tukio la dakika za mwisho la penalti katika sare muhimu ya Italia dhidi ya Ukraine na kusisitiza ‘furaha kuu’ ya timu hiyo baada ya kufuzu kwa Euro …
Golikipa nambari 1 wa Italia Gianluigi Donnarumma amekiri kwamba haikuwa rahisi kurejea San Siro wakati timu yake ya Paris Saint-Germain ilipomenyana na klabu yake ya zamani ya Milan huko San …
Mario Balotelli amefichua ni golikipa yupi kati ya wawili chaguo la kwanza wa Milan ambaye angependelea kucheza pamoja na mlinda mlango wa sasa Mike Maignan na nambari ya Italia. 1 …
Ripoti nyingi zinadai nyota wa Italia na PSG Gianluigi Donnarumma alifanyiwa uvamizi na kuibiwa nyumbani kwake huko Paris jana usiku. Vyombo vya habari vya Ufaransa Actu 17 na vyanzo …
Golikipa wa timu ya PSG Gianluigi Donnarumma amekosolewa vikli na vyombo vya habari nchini Ufaransa baada ya kuonesha kiwango kisichoridhisha kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa Ulaya siku ya jumatano …
Neymar na Gianluigi Donnarrumma ilibidi watenganishwe na wachezaji wenzao wa Paris Saint-Germain kwenye vyumba vya kubadili nguo baada ya hasira baada ya wachezaji hao kuingia katika mzozo kufuatia timu hiyo …
Kipa namba mbili wa Klabu ya Paris Saint-Germain, Gianluigi Donnarumma ameweka wazi kwamba hajazoea hali ya kushindania namba na mchezaji mwingine. Donnarumma alijiunga na PSG akitokea AC Milan …
Gianluigi Donnarumma alihamia Paris Saint-Germain kama mchezaji huru akitokea AC Milan huku matarajio yake yakiwa kupata nafasi zaidi ya kucheza lakini mambo yamekuwa ndivyo sivyo sababu ya uwepo wa Navas …
Fowadi wa zamani wa Real Madrid, Antonio Cassano amelalamikia ukweli kwamba Gianluigi Donnarumma yuko mbioni kujiunga na Paris Saint-Germain. Cassano anamkosoa kipa wa Italia kutokwenda kwenye moja ya Miamba ya …
Ripoti zinasema kuwa Jose Mourinho anajaribu kumshawishi golikipa Gigio Donnarumma kuungana naye pale Roma. Meneja huyu mpya wa Roma anafanya jitihada za kuandaa kikosi kuelekea msimu ujao 2021-22 na kwa …
Golikipa wa AC Milan Donnarumma anaripotiwa kuwa tayari ameshawaaga wachezaji wenzake baada ya ushindi wa Atalanta dhidi ys Inter Milan. Tuttorsport waliripoti kuwa Mino Raiola hajafurahishwa na ofa ya Milan …
Golikipa wa zamani wa Italia Gianluca Pagliuca anamtarajia Gianluigi Donnarumma kusaini mktaba mpya na kuendelea kusalia Milan. Donnarumma anatarajia kumaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na bado hajakubali kuongeza …
Golikipa wa Milan, Gianluigi Donnarumma amefikisha idadi ya kucheza mechi 200 za Serie A na yupo kwenye mchakato wa kuvunja rekodi hiyo. Donnarumma alifikisha karne mbili wakati wa mchezo wa …
Dirisha dogo la mwezi januari limefunguliwa, Taarifa zinasema mlinda mlango wa AC Milan, Gianluigi Donnarumma, 21, ameanza mazungumzo na klabu ya Chelsea. Kulingana na mwanahabari Simon Phillips amedai kuwa …
AC Millan kuongezewa nguvu baada ya Gianluigi Donnarumma kurejea kwenye kikosi hicho kufuatia kupona ugonjwa wa COVID19. Gianluigi alipata maambukizi ya COVID19 na hivyo aliikosa michezo miwili ya AC Millan …
Golikipa nyota Gianluigi Donnarumma amepima na kukutwa na virusi vya Corona, kalbu ya Milan imetangaza kupitia maelezo siku ya Jumatatu. Donnarumma alikuwa ni mmoja kati ya kesi tano zilizo thibitishwa …