Granada Wamfuta Kazi Robert Moreno
Klabu ya Granada C.FΒ inayoshiriki ligi kuu nchini Hispania La Liga wamemfungashia virago kocha wao Robert Moreno baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Valencia kwa 3-1 siku ya jumapili jioni. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Granada C.FΒ inayoshiriki ligi kuu nchini Hispania La Liga wamemfungashia virago kocha wao Robert Moreno baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Valencia kwa 3-1 siku ya jumapili jioni. …
Kocha mkuu wa Barcelona Xavi Hernandez anaendelea kupata wakati mgumu baada ya kushindwa kupata matokeo kwenye mchezo dhidi ya timu ya Granada wikendi iliyopita na amekuwa katika viulizo kwa baadhi …
Barcelona wanarejea dimbani kuumana na Granada mchezo wa LaLiga wakiwa wametoka kwenye maumivu ya kipigo cha 3-0 kutoka Bayern Munich kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa. Timu hiyo ya Ronald …
Ronald Koeman ametaja kikosi cha wachezaji wa 20 ambacho kitawakiribisha Granada katika ligi kuu ya hispaniaΒ katika dimba la Camp Nou usiku wa leo. Barcelona anawakaribisha Granada wakiwa na kumbukumbu …
Huu ni msimu ambao pengine tutajionea mengi kunako ligi mbalimbali za soka barani Ulaya. Kwenye LaLiga, mambo yanaanza upya! Barcelona itakuaje sasa? Mbio za ubingwa wa LaLiga zinaanza upya ikiwa …
Fowadi wa Manchester United Marcus Rashford anapatikana kwaajili ya mchezo Europa League dhidi ya Granada siku ya Alhamisi ikiwa ni hatua ya robo fainali. Rasford, 23 alifunga katika ushindi wa …
Granada ililazimika kuwatumia wachezaji saba wenye uzoefu katika kikosi cha kwanza kwenye mchezo dhidi ya Real Sociedad na kupoteza kwa 2-0 siku ya Jumapili kwa sababu ya baadhi ya wachezaji …
Nyota wa Chelsea raia wa Brazil, Robert Kenedy Nunes Nascimento amekamilisha uhamisho wake wa mkopo wa kujiunga na klabu ya Granada inayoshiriki ligi kuu Hispania. Nyota huyo mwenye miaka 24 …
Jorge Molina amepanga kucheza katika LaLiga kwa miaka miwili mpaka atakapo fikisha miaka 40 baada ya kusaini dili ya misimu miwili na Granada akitokea Getafe. Granada wametangaza siku ya Jumanne …
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amemlinganisha kiungo Jude Bellingham na Galactico Zinedine Zidane wa zamani. Bellingham alifunga bao la pili la Madrid dhidi ya Napoli huku vijana wa …
Sassuolo wako tayari kuamsha athari ya uhamisho wa Domino inayohusisha Roma, Monza, Inter, Juventus na Granada. Kwa mujibu wa Sky Sport Italia, hatua ya kwanza iko kwenye ukingo wa …
Kiungo wa kati wa Brazil Andreas Pereira amekuwa njia ya mafanikio ya kipekee kama mwanasoka, akiwakilisha vilabu viwili vikubwa zaidi nchini Uingereza na Brazil, Pereira pia aliwahi kuwa Valencia na …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi yupo kwenye mikakati ya kumpeleka kwa mkopo nyota wa timu hiyo Memphis Depay wa miezi sita ili kuweza kumpa nafasi ya kucheza mholanzi mwenzie …
Kocha wa Barcelona Xavi inasemekana aliachwa mdomo wazi alipojua kwamba Ousmane Dembele anataka kandarasi ya pauni 700,000 kwa wiki kusalia Camp Nou. Mkataba wa sasa wa mchezaji huyo wa kimataifa …
Ratiba ya Soka Ligi mbalimbali LEO Tarehe 02 January 2022 Ratiba: ENGLAND: Premier League 17:00 Brentford Vs Aston Villa 17:00 Everton Vs Brighton 17:00 Leeds Vs Burnley 19:30 Chelsea Vs …
Diego Simeone amedhamiria kubadilisha mambo katika klabu ya Atletico Madrid wakiwa wamejikuta wapo kwenye fomu mbaya msimu huu. Atleti walitarajiwa kutetea vyema ubingwa wao wa La Liga wakiwa na kikosi …
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali Tar 22 December 2021 Ratiba: TANZANIA: Ratiba ya Ligi Kuu Bara 16:00 Namungo FC Vs Dodoma Jiji FC 16:00 Kagera Sugar Vs Mbeya Kwanza …
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali Tarehe 19 December 2021. Ratiba: ENGLAND: Premier League 17:00 Newcastle – Manchester City 17:00 Wolves – Chelsea 19:30 Tottenham – Liverpool GERMANY: Bundesliga 17:30 …
Barcelona, Real Madrid na wapinzani wao wengi wa La Liga wameshajua wapinzani wao wajao wa Copa del Rey. Droo ya mzunguko wa tatu ya michuano ya Copa del Rey imefanyika …
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali Tarehe 21 November 2021. Ratiba: ENGLAND: Premier League 17:00 Manchester City vs Everton 19:30 Tottenham vs Leeds FRANCE: Ligue 1 15:00 Brest vs Lens …