Gremio Yamsajili Mshambuliaji wa Uruguay Suarez
Luis Suarez amejiunga na klabu ya Gremio ya Brazil kwa mkataba wa miaka miwili. Mshambuliaji huyo wa Uruguay alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka katika klabu yake ya utotoni Nacional …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Luis Suarez amejiunga na klabu ya Gremio ya Brazil kwa mkataba wa miaka miwili. Mshambuliaji huyo wa Uruguay alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka katika klabu yake ya utotoni Nacional …
Lucas Leiva anatumai mchezaji mwenzake wa zamani wa Liverpool na Gremio Luis Suarez atapinga hamu ya kuwafuata Lionel Messi, Sergio Busquets na Jordi Alba kwenda Inter Miami. Nyota wa …
Leicester City wamekamilisha mkataba wa muda mfupi wa kumnunua winga wa Brazil Tete. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 aliondoka Shakhtar Donetsk kufuatia uvamizi wa Urusi huko Ukraine …
Lucas Leiva ameshauriwa kuachana na soka kwa angalau miezi miwili hadi mitatu baada ya kufanyiwa vipimo kufuatia kugunduliwa kwa tatizo la moyo. Kiungo huyo wa zamani wa Liverpool na Lazio alilazimika …
Juventus wanatajwa kuwa na nia ya kutengeneza faida ya €100m, na hivyo wameamua kuwaweka wachezaji kadhaa sokoni, miongoni mwao akiwemo Weston McKennie. Klabu hii ilitangaza hasara ya €113m.7m katika nusu …
Fowadi wa Real Sociedad Willian Jose ameondoka klabuni hapo na kujiunga na Wolves ya Ligi Kuu ya Uingereza kwa mkopo huku mkataba wake ukihusisha kipengele cha kununua. Mkataba huo, kulingana …
Tetesi zinasema Paris St-Germain wanatazama uwezekano wa kumsajili kiungo mchezeshaji wa Barcelona Lionel Messi, 33, msimu ujao. Meneja wa Club Brugge Philippe Clement amesema hakutaka kumsajili Mshambuliaji wa Aston Villa …
Man City wanaripotiwa kuwa wanakaribia kumnasa kiungo wa Gremio Diego Rosa. Mchezaji huyo wa miaka 18 amekuwa akihusishwa sana na kikosi cha Pep Guardiola mwaka huu, lakini miamba hawa wa …
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali Tarehe 14/11/2020. Ratiba: Brazil – Serie A 22:30 Santos FC vs Internacional 22:30 Sport Recife vs Vasco da Gama 23:00 Goias vs Athletico Paranaense …
Lionel Messi ataongoza kikosi cha watu 30 cha timu ya taifa ya Argentina katika kutafuta tiketi ya kucheza kombe la dunia dhidi ya Ecuador na Bolivia mwezi ujao. Michezo ya …
Quique Setien amesema kwamba hajaambiwa kuhusu kuondoka kwa mchezaji wa Kibrazili Arthur kwenda klabu ya Juventus, na amemtaka mchezaji huyo kutuliza akili yake mpaka msimu uishe. Arthur amekuwa akiripotiwa na …
Kwa mujibu wa Sky Sports Juventus wamekubaliana na Barcelona kulipa ada ya € 80m kwa ajili ya usajili wa kiungo Arthur Melo, katika mpango ambao unaweza kufuatwa na uhamisho wa …
Gazeti la Uhispania AS linasisitiza kwamba Barcelona bado wanajaribu kumshinikiza Arthur kukubali kukamilisha dili la kubadilishana na kiungo wa Juventus Miralem Pjanic. Mbrazil huyo alisema mara kwa mara kwamba hana …
Baada ya kuzaliwa wazazi wake walimpa jina Ronaldo de Assis Moreira. Katika harakati zake za kucheza soka dogo akakuta jina lake Ronaldo ni jina linalotumika na watu wengi basi ikambidi …
Mchezaji wa zamani wa Barcelona anasubiria tena kusomwa kwa kesi yake baada ya kukamatwa tarehe 6 mwezi machi mwaka huu kwa kosa la kufoji hati ya kusafiria na kuingia nayo …
Klabu ya Juventus imeweka mezani nia yake ya kutaka kumuuza nyota wa klabu yao, Mario Mandzukic ambaye amepoteza nafasi ndani ya kikosi hicho kwa sasa baada ya kuwepo kwa taarifa …
Hiki hapa ni kikosi kamili cha Brazil kuelekea Kombe la Dunia mwaka huu kule nchini Urusi: Walinda lango: Alisson (Roma), Ederson (Manchester City), Cassio (Corinthians). Mabeki: Danilo (Manchester City), Fagner …