Harry Kane & Eric Dier Kurudi Tottenham.
Harry Kane na Eric Dier watakutana na klabu yao ya zamani ya Tottenham Hotspur, wakati Bayern Munich watakapocheza mechi ya kirafiki kwenye majira ya joto mnamo tarehe 10 Agosti. Beti …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Harry Kane na Eric Dier watakutana na klabu yao ya zamani ya Tottenham Hotspur, wakati Bayern Munich watakapocheza mechi ya kirafiki kwenye majira ya joto mnamo tarehe 10 Agosti. Beti …
Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane hatafanikiwa kukipiga katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa leo baina ya timu yake ya taifa dhidi ya timu ya tiafa …
Harry Kane anasema anahisi yuko nyumbani Bayern Munich baada ya kufunga bao lake la 18 la Bundesliga msimu huu. Bayern walitawala pambano lao la jana usiku huko FC Cologne …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayekipiga klabu ya Bayern Munich Harry Kane amesema klabu hiyo anayoitumikia kwasasa ndio lilikua chaguo lake baada ya kuamua kua ataondoka Tottenham. Mshambuliaji Harry Kane …
Juventus wamepoteza timu inayetarajiwa kumnunua Dusan Vlahovic baada ya Bayern Munich kuripotiwa kufikia makubaliano na Tottenham kwa ajili ya Harry Kane. The Bianconeri wamekuwa wakitafuta kumhamisha mshambuliaji huyo wa …
Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane anatarajiwa kua mchezaji wa klabu ya Bayern Munich baada ya vilabu hivo kufikia makubaliano. Klabu ya …
Hatma ya mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane kujulikana leo ikiwa ndio siku ya mwisho ya mazungumzo. Mshambuliaji Harry Kane …
Heung-Min Son anahisi uvumi unaoendelea kuhusu Harry Kane sio rahisi kwa mchezaji mwenzake wa Tottenham lakini amesifu ustadi wa nahodha wa klabu hiyo. Son na Kane wametua Singapore kwa …
Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane amegoma kusaini mkataba mpya na klabu hiyo na anataka kuondoka kwenye timu hiyo. Harry Kane mkataba …
Harry Kane hatasaini mkataba mpya na Tottenham huku Bayern Munich wakionekana kuwa na uwezekano mkubwa wa kumsajili mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 29. Harry Kane ambaye ni nahodha …
Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs na nahodhawa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane ameahidiwa mshahara wa kufuru kama atakubali kunaki ndani ya klabu hiyo kutoka Kaskazini mwa jiji …
Klabu ya Bayern Munich imetaarifiwa kutuma ofa kwa klabu ya Tottenham kwajili ya kupata huduma ya mshambuliaji wa klabu hiyo nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane. Bayern …
Kwa mujibu wa The Sun, Manchester United haijakata tamaa kumsajili mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane. United wameripotiwa kumtaka Kane kujibu ombi la uhamisho ili kulazimisha kuhama kabla ya msimu …
Baada ya kutangaza kumuacha rasmi mshambuliaji wao Karim Benzema ambaye anahusishwa kutimkia Saudi Arabia, Real Madrid wako tayari kujaribu uamuzi wa Tottenham kumbakisha Harry Kane. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet …
Mshambuliaji wa Tottenham Spurs Harry Kane amefunga bao la kuvunja rekodi lililoifanya timu yake ambayo ilikuwa na wachezaji 10 na kushinda 1-0 dhidi ya Manchester City na kuzidi kuzima matumaini …
wakati washambuliaji hatari wa EPL watakapochuana Leo, kati ya Harry Kane na Erling Haaland wataonesheana makali yao katika kuzisaidia timu zao kupata matokeo mazuri. Pata Odds za soka ukiwa na …
Harry Kane alifichua kuwa kikosi cha Spurs kinapambana kwaajili ya Antonio Conte baada ya kocha mkuu huyo kuomboleza kifo cha marafiki zake wawili wa karibu katika kipindi cha miezi minne …
Harry Kane yuko tayari kuongeza mkataba wake na Tottenham na atafanya mazungumzo juu ya mkataba mpya baada ya dirisha la Januari kufungwa, kulingana na ripoti. Meridianbet wanatoa ODDS kubwa kwenye …
Manchester United wanaripotiwa kupanga kumnunua nyota wa Tottenham na nahodha wa Uingereza Harry Kane mwishoni mwa msimu huu. Kane mwenye miaka 29, ameweka pamoja wasifu wa kuvutia wa mabao …
Mshambuliaji wa klabu Tottenham Hotspurs Harry Kane ameingia kwenye rada za klabu ya Manchester United kwa mara nyingine wakati huu klabu hiyo inatafuta mshambuliaji. Klabu ya Manchester United ipo kwenye …