Zlatan Ibrahimovic Atangaza Kustaafu Soka
Zlatan Ibrahimovic ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 41 hapo jana baada ya mchezo wao dhidi ya Hellas Verona. Mshambuliaji huyo mashuhuri alifichua kuwa atamaliza soka lake …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Zlatan Ibrahimovic ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 41 hapo jana baada ya mchezo wao dhidi ya Hellas Verona. Mshambuliaji huyo mashuhuri alifichua kuwa atamaliza soka lake …
Milan wamevijulisha vyombo vya habari kuwa kutakuwa na hafla ya kumpigia saluti Zlatan Ibrahimovic kesho huko San Siro, kwani mkataba wake hautaongezwa, lakini maisha yake ya Serie A yanaweza kuendelea. …
Zlatan Ibrahimovic anaamini Antonio Conte analazimishwa kulipwa na Tottenham kwa “kuwa yeye mwenyewe”. Conte anatarajiwa kutimuliwa katika siku zijazo kufuatia hasira yake baada ya Spurs kuruhusu uongozi wa mabao …
Mshambuliaji wa klabu ya Ac Milan Zlatan Ibrahimovic amesema alihitaji kufanyiwa operesheni tatu za goti msimu uliomalizika ili kuweza kuokoa maisha yake ya soka na mpaka sasa anaendelea kucheza soka. …
Zlatan Ibrahimovic “amejivunia” kuwa mfungaji bora wa Serie A mwenye umri mkubwa, lakini haikuwa faraja baada ya Milan kuchapwa 3-1 na Udinese. Akiwa na umri wa miaka 41 na …
Stefano Pioli amemsifu Zlatan Ibrahimovic kwa ushawishi wake kwenye kikosi cha AC Milan huku akipendekeza mshambuliaji huyo ambaye yuko fiti tena hivi karibuni ataweza kuanza msimu wake wa kwanza msimu …
Milan wanafanya mazoezi tena huko Milanello katika mkesha wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Tottenham, huku Fikayo Tomori akiwa sehemu ya …
Zlatan Ibrahimovic ameahidi kubadilika kwa AC Milan anapokaribia kurejea uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu huku timu yake ikiwa inapiti magumu kwenye Serie A hadi sasa. …
Gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United Eric Cantona amesema staa wa zamani wa klabu hiyo Cristiano Ronaldo anapaswa kuwaiga nyota kama Ryan Giggs na Zlatan Ibrahimovic. Gwiji Cantona …
Staa wa klabu ya Ac Milan Zlatan Ibrahimovic amemsihi nyota wa klabu hiyo Rafael Leo kusalia klabuni hapo ili kufanya uwezo wake uwe wa kutisha zaidi. Nyota huyo ambaye amekua …
“Nilijua ni timu nzuri, lakini nataka Messi anyanyue kombe, amesema nyota wa AC Milan”- Zlatan Ibrahimovic Tuko kwenye nusu fainali ya Kombe la Dunia la FIFA nchini Qatar ambayo inamaanisha …
Aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Psg na sasa AC Milan Zlatan Ibrahimovic anaamini kuwa soka la Ufaransa linaporomoka bila yeye kuwepo huku akisema kuwa hata uwepo wa Kylian Mbappe, Lionel …
Kocha mkuu wa AC Milan Stephano Pioli amesema kuwa Zlatan Ibrahimovic ataendelea kusalia klabuni hapo kwasababu ya matokeo chanya anayoyatoa klabuni hapo wakati wakisubira apone majeraha yake ya goti aliyoyapata. …
Zlatan Ibrahimovic nyota wa klabu ya Ac Milan mabingwa wa kandanda nchini Italia ameendelea kusisitiza hawezi kustaafu mchezo huo siku za hivi karibuni. Katika mahojiano aliyofanyiwa na jarida moja nchini …
Nyota wa klabu ya AC Milan Zlatan Ibrahimovic ameongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kubakia kwenye viunga vya San Sirro hadi mwaka 2023. Zlatan Ibrahimovic ambaye anatimiza miaka 41 mwezi …
Nyota wa klabu ya AC Milan mbabe na mwenye vituko Zlatan Ibrahimovic atakuwa nje ya uwanja kutokana na upasuaji ambao amefanyiwa na inatajiwa utamuweka nje kwa mwaka huu mzima. Zlatan …
Mchezaji nyota wa klabu ya Ac Milan zlatan IbrahimovicΒ amemtembelea wakala wake Mino Raiola kwenye hospitali ya San Raffaele ambayo amelezwa baada ya mkanganyiko wa taarifa zilizotolewa hii leo kuhusu afya …
Zlatan Ibrahimovic hajawahi kuishiwa vioja safari hii amekuja na madai kwamba atastaafu kucheza soka kama akiona mchezaji bora kuliko yeye. Zlatan ambaye amefikisha umri wa miaka 40 anaichezea klabu ya …
Giorgio Chiellini amedai kwamba Zlatan Ibrahimovic ambaye ana umri wa miaka 40 amemuhamasisha kwa kiasi fulani kuendelea kucheza mpira licha ya kufikisha umri wa miaka 37. Aliongelea uhusiano wake na …
Mshambuliaji Kylian Mbappe amefikia rekodi ya Zlatan Ibrahimovic kaatika upachikaji mabao katika klabu ya Paris Saint-Germain na kuwa mchezaji wa pili baada ya kufunga magoli mawili kwenye usshindi wa 3-1 …