Messi: Inter Miami Itakua Klabu Yangu ya Mwisho
Staa wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ambaye kwasasa anakipiga ndani ya klabu ya Inter Miami amesema kua anafikiri klabu hiyo ambayo inashiriki ligi kuu ya Marekani maarufu …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Staa wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ambaye kwasasa anakipiga ndani ya klabu ya Inter Miami amesema kua anafikiri klabu hiyo ambayo inashiriki ligi kuu ya Marekani maarufu …
Inter Miami imemsajili kiungo Sergio Busquets baada ya kuondoka Barcelona katika dirisha hili kubwa la usajili. Busquets mwenye miaka 35, ambaye alikuwa ametumia maisha yake yote ya uchezaji Nou …
Lionel Messi amefurahishwa na safari yake ya Marekani baada ya kukamilisha uhamisho wa kwenda Inter Miami. Messi mwenye miaka 36, alifichua mwezi uliopita kwamba alikubali kujiunga na timu ya …
Lionel Messi amewasili Florida kabla ya kutambulishwa kwake kama mchezaji wa Inter Miami Jumapili. Ingawa klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Soka bado haijatangaza rasmi usajili wake, Messi alifichua …
Mmiliki wa Inter Miami Jorge Mas amefichua kuwa ilichukua miaka mitatu ya mazungumzo kumleta Lionel Messi katika klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Soka. Mshindi huyo wa Kombe la …
Meneja wa Inter Miami Phil Neville amesisitiza bado anaungwa mkono na mabosi wa timu hiyo akiwemo David Beckham, licha ya kupoteza mechi sita mfululizo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet …
Kocha wa Inter Miami Phil Neville amekataa hatua ya kutaka kumleta mshindi wa Kombe la Dunia Lionel Messi kwenye Ligi Kuu ya Marekani MLS. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, …
Kulingana na ripoti ya The Times, mchezaji wa PSG Lionel Messi yupo kwenye makubaliano ya kujiunga na klabu ya MLS ya Inter Miami mwishoni mwa msimu wa 2022-23. Nyota …
Inter Miami inayoshirki Ligi kuu ya Marekani (MLS) wanaripotiwa kuwa na uhakika wa kumsajili Lionel Messi, ‘miezi ijayo’ na wanatumani nyota huyo wa PSG atakubali dili la David Beckham anayekimbiza …
Klabu ya Barcelona imeifunga timu ya Inter Miami ya Major League Soccer kwa mabao sita bila majibu katika mchezo wa kirafiki wakati huu wa Pre-season wakiwa wanaendelea na ziara yao …
Kocha mkuu wa klabu ya Inter Miami Phil Neville ni kama ameyapenda maisha ya Frolida kwani amekiri kwamba anatarajia kukaa kwa muda mrefu katika nafasi yake huko Major League Soccer. …
Mradi wa David Beckham huko Inter Miami ya MLS umebadilika haraka sana na kuwa ni ndoto, na msimu wao unakuwa mgumu kwa kila wiki inayopita. Hivi sasa wamekaa katika nafasi …
Kocha wa timu ya Inter Miami Phil Neville amepiga chini uvumi unaodai kwamba klabu hiyo ya Major Laegue Soccer inajaribu kuinasa saini ya staa Marcelo wa Real Madrid. Marcelo atakuwa …
Taarifa zinasema kuwa, winga pamoja mlinzi wa timu ya Inter Milan Ashley Young mwenye umri wa miaka 25 yupo kwenye hesabu ya Inter Miami. Beki huyo ambaye amewahi kucheza pia …
Inter Miami ya David Beckham inaripotiwa kuwa karibu na kukamilisha makubaliano ya mikataba wa wachezaji wawili Ryan Shawcross na Kieran Gibbs. Inter Miami, ambayo sasa inasimamiwa na mkufunzi mkuu wa …
Arsene Wenger anaunganishwa na Phil Neville kuwania kibarua Inter Miami. Safari ya Inter Miami kumsaka meneja mpya baada ya kumalizana na Diego Alonso inaendelea kunoga, orodha ikiendelea kupamba mameneja wazoefu …
Inter Miami wanaripotiwa kuwa wamejaribu kufanya mawasiliano na meneja wa timu ya taifa ya wanawake ya Uingereza kwa ajili ya kibarua cha umeneja klabuni hapo. Taarifa zinasema kuwa mazungumzao ya …
Gonzalo Higuain, 32, alipoteza mkwaju wa penalti katika mchuano wake wa kwanza ndani ya jezi za kikosi cha Inter Miami inayomilikiwa na mwanasoka wa zamani wa Manchester United, David Beckham. …
Aliyekuwa mshambuliaji wa Juventus, Gonzalo Higuain, amepokea ukaribisho kutoka klabu inayomilikiwa na David Beckham, Inter Miami. Alhamisi, nyota huyu aliripotiwa kuwa kwenye mazungumzo ya kusitisha mkataba wake na Juventus, mkataba …
Gonzalo Higuain yupo katika harakati za kukamilisha kujiunga na klabu ya Inter Miami baada ya mkataba wake kusitishwa na Juventus. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 32 alijiunga na Juventus …