James Rodriguez Kujiunga Olympiacos.
James Rodriguez mchezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid anakaribia kujiunga na klabu ya Olympiacos ya nchini Ugiriki. James ambae alikua anaitumikia klabu ya Al- Rayyan ya nchini Qatar …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
James Rodriguez mchezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid anakaribia kujiunga na klabu ya Olympiacos ya nchini Ugiriki. James ambae alikua anaitumikia klabu ya Al- Rayyan ya nchini Qatar …
Kiungo wa klabu ya Everton, James Rodriguez anatarajiwa kuondoka ndani ya klabu hiyo na kujiunga na klabu ya Al Rayyan inayoshiriki katika ligi kuu ya Qatar. James, Everton …
Jumatatu usiku, James Rodriguez alizua uvumi mkali kwamba atajiunga na Atletico Madrid wakati akichapisha picha aliyojipiga kwa simu iliyo na kaulimbiu kutoka katika klabu hiyo. Kwa kuwa alikuwa karibu kujiunga …
James Rodriguez hajawahi kuwa nje ya vichwa vya habari msimu huu wa joto na hatma ya mchezaji huyo wa Everton na mtaifa wa Colombia mpaka sasa haijulikani. Kufuatia kuachwa kwake …
Hatima ya James Rodriguez inaonekana kama inataka kutawala kwa mara nyingine vichwa vya habari kupitia dirisha la usajili la majira joto. Kuendelea kwake kusalia Everton kunaonekana kuwa kwenye shaka kubwa …
James Rodriguez amepanga tarehe ya kurejea dimbani huko Everton na Kiungo mchezeshaji huyo wa Colombia amejikuta akikosa mechi tano za Toffees kutokana na majeraha. Muamerika wa Kusini huyo alicheza katika …
Nyota wa Colombia James Rodriguez amesema kuwa anachagua kusainiwa na klabu ya Everton kwa kuwa alikuwa anahitaji klabu ambayo ingemuamini, na bila shaka kwake Everton ndiyo klabu hiyo. Nyota huyu …
Mchezaji ambaye alionekana kutokuwa na namba ndani ya kikosi cha Zinedine Zidane – James Rodriguez, amesajiliwa rasmi na Everton kunako Ligi ya EPL. Kwa misimu kadhaa, Rodriguez alikuwa na wakati …
Meneja wa Real Madrid, Zinedine Zidane hana uhakika kama nyota wa klabu hiyo James Rodriguez ataichezea Real tena. Staa huyu mwenye umri wa miaka 28 amekuwa akihusishwa na kuondoka klabuni …
Mshambuliaji huyu raia wa Colombia, James Rodriguez ameipa moto minong’ono ambayo inaendelea juu ya hatma ya uhusiano wake na meneja Zinedine Zidane. James Rodriguez anasema klabu ya Real Madrid ilimyima …
James Rodriguez ambaye ni raia wa Colombia na mwenye umri wa miaka 31 amejiunga na timu ya Ugiriki inayojulikana kama Olympiacos akitoka katika klabu ya Al Rayyan. Mchezaji huyo anacheza …
James Rodriguez ametajwa katika kikosi cha Colombia kwa mara ya kwanza baada ya miezi kumi na mbili. Mchezaji huyo wa zamani wa Real Madrid ambaye ameondoka Everton na kujiunga na …
James Rodriguez anaamini kwamba Paris Saint-Germain inaweza kuanza kusherehekea ushindi wa mapema katika kila shindano huko Ufaransa kama Lionel Messi atajiunga na klabu msimu huu wa joto. Muargentina huyo anapatikana …
James Rodriguez alijiunga na Everton kwa uhamisho wa bure kutoka Real Madrid, mkurugenzi wa mpira Marcel Brands amethibitisha. Kiungo huyo wa kimataifa wa Colombia ndiye aliyesajiliwa na Toffees msimu uliopita …
Zinedine Zidane kocha mkuu wa timu ya Real Madrid ametuma salama za heri ya siku ya kuzaliwa kwa mchezaji wa kimataifa kutoka Colombia James Rodriguez kwa kusisitiza kuwa atakuwa na …
Real Madrid wanaripotiwa kuwa wapo tayari kumuuza James Rodriguez wakiwa na lengo la kupunguza kiasi ambacho wanakitumia kulipa mishahara. Mpango wao ni kupunguza wachezaji ambao wanaonekana kutotukuwa na umuhimu mkubwa …
Fowadi wa Real Madrid, James Rodriguez anatarajia kufunga hesabu na klabu ya Bayern Munich aliyokuwa akiitumikia kwa mkopo baada ya mkopo wake kuisha. Nyota huyu anaripotiwa kuwa ameiambia klabu hiyo …
Nico Kovac amesisitiza kuwa James Rodriguez ambaye alitoka Real Madrid kwa mkopo kuwa ni mchezaji muhimu sana kwa Bayern Munich lakini kwa bahati mbaya hawezi kuchezesha wachezaji 12 uwanjani. Hivi …
Real Madrid wameripotiwa kuwa wapo katika mchakato wa kufikiria uwezekano wa kufanya malipo ya euro milioni 35 kwa ajili ya kumrududisha James Rodriguez ambaye yupo kwa mkopo Bayern Munich. Mabingwa …
Mchana wa leo kuna mtanange mkali wa kuwania Kombe la International Champions kule dimbani National, Singapore ambao utakuwa ni kati ya Mabingwa wa Uingereza na wale Mabingwa wa Ujerumani! Katika …