Koeman: Gapko Amewahi Kwenda Liverpool
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi ambaye amewahi kufundisha vilabu vya Barcelona na Everton Ronald Koeman amesema mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Coady Gapko amekua na haraka ya kujiunga …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi ambaye amewahi kufundisha vilabu vya Barcelona na Everton Ronald Koeman amesema mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Coady Gapko amekua na haraka ya kujiunga …
Mchezaji wa Atletico MadridΒ Luis Suarez anataka aliyekuwa kocha wa zamani Ronald Koeman amwambieΒ kwanini alimuondoa katika klabu yake ya Barcelona miaka miwili iliyopita. Suarez alijiunga na wapinzani wao …
Kocha wa zamani wa Barcelona Ronald Koeman atarejea katika majukumu ya kuinoa timu yake ya taifa ya Uholanzi baada ya kumalizika kwa michuano ya kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. …
Kwa mara ya pili, Ronald Koeman atarejea kwenye nafasi ya kuiongoza timu ya Taifa ya Uholanzi kama kocha mkuu. Koeman atachukua nafasi hiyo kuanzia mwezi Januari baada ya mashindano ya …
Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uholanzi Ronald Koeman amejitokeza nakudai kwamba hakupewa muda na Barcelona kama muda aliyopewa Xavi huko Camp Nou. Koeman aliletwa Barcelona Januari mwaka …
Baada ya Steven Gerrard kuwapa mkono wa kwa heri sasa Rangers wanatafuta kocha mbadala ili kuendeleza wimbo mzuri ambao Gerrard aliuanzisha na Ronald Koeman anaonekana kuwa mtu sahihi Ibrox Stadium …
Xavi na Barcelona walifikia makubaliano ya kuinoa timu hiyo yenye maskani yake kwenye jiji la barcelona nchini Hispania, ambapo Xavi alicheza kwa mafanikio makubwa. Barcelona haikuchukua muda mrefu kuweza kumpata …
Ronald Koeman amefungashiwa virago na waajiri wake Barcelona baada ya kupokea kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye dimba la Campo de Futbol de Vallecas. koeman amedumu Barcelona …
Meneja wa Klabu ya Barcelona, Ronald Koeman amemsifia kiungo, Philippe Coutinho baada ya kuonyesha kiwango bora katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Valencia hapo jana Jumapili. Koeman amesema …
Joan Laporta aliendsha kikao katika vumba vya kubadilishia nguo na wachezaji wa barcelona pasipo mkufunzi mkuu wa timu hiyo kuwepo katika mechi dhidi ya Benfica ambayo walipoteza kwa goli 3-0. …
Ronald Koeman anasema waamuzi wa hipsania wanaweza kukupa kadi nyekundu na kukutoa pasipo sababu baada ya yeye na kiungu wake Frenkie de Jong kutolewa nje kwenye mechi iliyoisha kwa Barcelona …
Ronald Koeman hakujibu swali lolote kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye chumba cha mikutano Barcelona badala yake alikuwa akisoma kile alichokiandaa leo jumatano. Barcelona walitoka sare ya 1-1 na …
Ronald Koeman ametaja kikosi cha wachezaji wa 20 ambacho kitawakiribisha Granada katika ligi kuu ya hispaniaΒ katika dimba la Camp Nou usiku wa leo. Barcelona anawakaribisha Granada wakiwa na kumbukumbu …
Kocha mkuu wa Barcelona Ronald Koemann amemuelezea mtaifa mwenzake Luuk de Jong katika hali fulani kwamba ni hatari zaidi kuliko hata Neymar. Barcelona ilimsajili De Jong katika siku za mwishoni …
Meneja Ronald Koeman anaonekana kutokuwa na mipango mikubwa na Riqui Puig na Samuel Umtiti. Raisi wa Barcelona, Joan Laporta, anatamani wachezaji hawa watumike zaidi kwenye kikosi cha Barcelona katika mwanzo …
Jina lililo juu ya orodha ya Ronald Koeman ya kuuza wachezaji majira haya ya joto ni Riqui Puig. Mchezaji huyo wa akademi hajacheza hata dakika moja ya mechi tatu za …
Ronald Koeman alikuwa na furaha baada ya mechi ‘nzuri’ licha ya Barcelona kupoteza 2-1 dhidi ya Red Bull Salzburg katika mchezo wa mwisho wa ziara yao ya Ujerumani na Austria …
Ronald Koeman amefurahishwa na alichokiona kutoka katika kikosi chake cha Barcelona kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Girona mchezo wa kujipima kabla ya kuanza kwa msimu mpya. Mchezo huo uliona …
Mshauri wa Barcelona Jordi Cruyff amekataa mawazo kuwa Ronald Koeman anaweza kupata mbadala wake Koeman. Koeman alionekana kuwa mbioni kuondoka klabuni hapo, huku taarifa zingine zikibainisha kuwa Joan Laport alimwambia …
Beki kisiki na wa muda mrefu wa Barcelona, Gerald Pique amedai kuwa klabu pekee anayotamani kucheza na kustaafu ni Barcelona na hana mpango wa kwenda timu nyingine yoyote endapo kocha …