ISCO: Tutabeba Ubingwa wa La Liga Sisi au Real Madrid
Kiungo wa klabu ya Real Betis Isco Alarcon anaamini wana nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Hispania msimu huu na kama watashindwa basi klabu yake ya zamani ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kiungo wa klabu ya Real Betis Isco Alarcon anaamini wana nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Hispania msimu huu na kama watashindwa basi klabu yake ya zamani ya …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza Jude Bellingham amefanikiwa kua mchezaji bora wa wiki wa ligi kuu nchini Hispania La liga. Kiungo Jude Bellingham …
Tino Kadewere amweka rekodi ya kipekee kabisa kwa kuwa Mzimbabwe wa kwanza katika historia kufunga bao kwenye Ligi kuu ya Hispania-LaLiga Santander. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya …
kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesisitiza kua mabingwa hao watetezi wa kombe la La Liga watapambana na vinara wa ligi hiyo kwasasa kuhakikisha wanatetea taji hilo tena …
Klabu ya soka ya Real Madrid imeendelea kuchechemea katika ligi kuu nchini Hispania baada ya kukubali kichapo cha goli moja kwa bila dhidi ya klabu ya Real Mallorca. Real Madrid …
Kisa cha Pablo Gavi na Rais wa Laliga: Kufuatia harakati za dirisha la usajili mwezi Januari, FC Barcelona ilitoka kwenye tukio hilo baada ya kushinda lengo kuu la kumsajili Pablo …
Refa Antonio Mateu Lahoz hatakuepo kwenye michezo ya wikiendi hii baada ya kutoa kadi nyingi katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania kati ya Bracelona na Espanyol. Refa Lahoz alipingwa …
Shirikisho la soka nchini Hispania La liga limefungua kesi rasmi kwenye mahakama ya ndani nchini dhidi ya waliomfanyia ubaguzi mchezaji wa Real Madrid Vinicius Jr. Mchezaji wa Real Madrid Vinicius …
Mchezaji wa klabu ya Real Madrid raia wa Brazil Vinicius Jr ameitupia lawama bodi ya ligi nchini Hispania La liga baada ya kushindwa kuchukua hatua dhidi ya ubaguzi wa rangi. …
Baada ya misimu michache ya misukosuko kufuatia mauzo ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi, La Liga ilikuwa nzuri na kweli imerejea kwenye ubora wake wa 2022. Wachezaji nyota wapya …
Rais wa klabu ya Barcelona Joan Laporta amesema wakishinda taji la ligi kuu nchini Hispania maarufu kama La Liga itaonesha wameanza kurejesha ubora wao. Klabu ya Fc Barcelona imekua ikipitia …
Klabu ya soka ya Real Madrid imepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu ndani ya ligi kuu ya Hispania, Klabu hiyo imepoteza mchezo usiku wa jana dhidi ya klabu …
Klabu ya Real Madrid imekua klabu pekee kufuzu hatua ya 16 katika ligi ya mabingwa ulaya msimu huu kutoka ligi kuu ya Hispania La liga. Hii imekuja baada ya timu …
Mchezaji Roberto Lewandowski wa klabu ya Fc Barcelona ameendelea kudhihirisha ubora wake kila uchawao kunako ligi kuu ya Hispania maarufu kama La liga. Mchezaji huyo ambae amejiunga na klabu hiyo …
Baadhi ya WACHEZAJI hushuka viwango kadri umri unavyoongezeka, kama vile divai nzuri, Inaweza kuwa ya kawaida. Kuna wachezaji kadhaa wakubwa ambao bado wanacheza kwa kiwango cha juu sana au hata …
Mjumbe wa La Liga ukanda wa Tanzania, Rwanda na Burundi Jorge Gazapo leo Septemba 6, 2022 ameweka wazi mipango ya La liga barani Afrika hususani Tanzania na kusema kuwa wamejipanga …
KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Denis Nkane amefunguka kuwa malengo yake makubwa ni kucheza ligi ya La Liga. Nkane ambaye amekuwa na msimu bora alijiunga na Yanga kwenye dirisha dogo …
Shirikisho la soka nchini Hispania limeingia kwenye vita na vilabu vya Paris Saint Germain ya nchini Ufaransa na Manchester City ya nchini Uingereza kwa kwenda kuishitaki kwenye shirikikisho la soka …
Raisi wa klabu ya Barcelona Joan Laporta amemshtumu raisi wa La Liga Javier Tebas kuhusu kauli yake inayohusu uwezo wa klabu hiyo kusajiri wachezaji. Javier Tebas akifanya mahojiano na MARCA, …
Raisi wa La Liga anashutumiwa kwa kukosa heshima na kumzushia nyota wa PSG Kylian Mbappe juu ya dili la staa huyo na klabu yake ya sasa. Javier Tebas, Bosi wa …