Lampard Atetea Uamuzi wa Chukwuemeka
Frank Lampard ametetea uamuzi wa Chelsea wa kutomruhusu Carney Chukwuemeka kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza chini ya miaka 20 kwa ajili ya Kombe la Dunia nchini …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Frank Lampard ametetea uamuzi wa Chelsea wa kutomruhusu Carney Chukwuemeka kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza chini ya miaka 20 kwa ajili ya Kombe la Dunia nchini …
Kocha Frank Lampard anaamini Chelsea inahitaji kuwa “hatari” katika ushambuliaji ili kuendeleza ushindi uliochelewa na kuanza kuziba pengo kubwa kwa vilabu vinavyoongoza Ligi ya Uingereza. Odds kubwa za soka unazipata …
Frank Lampard anasema kuwa, wachezaji wapya wa Chelsea hawajapewa fursa ya kupata muunganisho unaohitajika kujenga timu itakayoshinda mechi. The Blues walionekana kutokuwa na mpango na hawakuwa na mpango wa …
Frank Lampard amedokeza kwamba Pierre-Emerick Aubameyang anaweza kuwa na jukumu la kucheza katika mbio za Chelsea baada ya mshambuliaji huyo kucheza mechi yake ya pili tu tangu Februari walipopoteza kwa …
Frank Lampard amesema mashabiki wa Chelsea wana haki ya kuwa na wasiwasi baada ya kushindwa kwa mara ya tano mfululizo chini ya usimamizi wake dhidi ya Brentford katika uwanja wa …
Unaweza kusema kocha wa mpito wa Chelsea Frank Lampard ni kama amekosa bahati tangu arejeshwe kukinoa kikosi hicho. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator …
Frank Lampard amemuunga mkono nyota wa Chelsea Raheem Sterling kuthibitisha kuwa bado ni mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani kabla ya pambano lao dhidi ya Real Madrid. Mshambuliaji huyo …
Frank Lampard anaonekana kukaribia kurejea Chelsea kama kocha wa muda hadi mwisho wa msimu huu. Ripoti zinaonyesha kuwa kocha huyo wa zamani wa Everton yuko mbioni kutia saini tena …
Frank Lampard ametuma ujumbe mzito kwa mashabiki wa Everton baada ya gwiji huyo wa Chelsea kutimuliwa na The Toffees. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet. Meneja huyo wa zamani …
Mmiliki wa Everton, Farhad Moshiri amesema uamuzi kuhusu mustakabali wa Frank Lampard hauko kwake. Moshiri, ambaye ameajiri mameneja sita wa kudumu tangu alipowekeza katika klabu hiyo mwaka wa 2016, …
Klabu ya Everton hatimae imeshika mkia katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kukubali kipigo cha mabao mawili kwa bila dhidi ya klabu ya West Ham mchezo uliopigwa katika dimba …
Kocha mkuu wa Everton Frank Lampard amesema kuwa hali ya klabu hiyo ya nje ya uwanja haikuwa na madhara kwake na kwa wachezaji wake katika mchezo wa jana waliopoteza nyumbani …
Kocha wa klabu ya Everton Frank Lampard amesema anajua kua klabu ya Everton inahitaji kupata matokeo ya ushindi lakini yeye hahitaji kuhakikishiwa kuendelea kuwepo kazini. Baada ya kupokea kipigo kikali …
Frank Lampard anaripotiwa kukaribia kupoteza kazi yake kama kocha mkuu wa Everton. Everton wanaripotiwa kukaribia kumtimua kocha wake mkuu Frank Lampard baada ya kushindwa kwao 4-1 na Brighton Jumanne. …
Kocha mkuu wa Everton Frank Lampard amesema kuwa Jordan Pickford na Anthony Gordon wanakaribia kuweka mustakabali wao Everton huku kukiwa na tetesi za uhamisho. Kipa huyo wa Everton alikuwa …
Kocha wa klabu ya Everton inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza Frank Lampard anaamini mshambuliaji wa timu Dominic Calvert Lewin anaweza kuitwa kwenye kikosi cha mwisho cha timu ya taifa ya …
Kocha wa klabu ya Everton Frank Lampard amepigwa faini ya Β£30,000 kwa kumkosoa mwamuzi aliyechezesha mchezo wa Everton dhidi LiverpoolΒ mwezi uliopita kwa kumshtumu mwamuzi huyo kuwa pendelea majogoo kwenye …
Mchezaji wa kimataifa wa Brazil Richarlison ametibitisha kwamba amemwambia Lampard na uongozi wa Everton kwamba yupo tayari kuachana na klabu hiyo akisema kwamba meneja na klabu wanajua nin anakitaka. Fowadi …
Kocha wa klabu ya Everton Frank Lampard anatumai kukutumia kikosi kilekile alichokitumia kwenye mchezo dhidi ya Chelsea jumapili iliyopita kwenye mchezo ambao alishinda kwa 1-0 kwenye safari yake ya kwenda …
Kocha wa klabu ya Everton Frank Lampard amefunguliwa mashitka na chama cha soka cha nchini Uingereza FA kwa kwa kuupa mchezo sifa mbaya baada ya kudai kuwa Liverpool walipata faida …