Benki ya NBC Yadhamini Ligi Kuu ya Tanzania Bara
Benki ya biashara, National Bank of Commerce (NBC) ndio mdhamini rasmi wa Ligi kuu ya Tanzania bara kwa msimu wa 2021-22. Sasa rasmi ligi ya Tanzania bara itaitwa NBC Tanzania …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Benki ya biashara, National Bank of Commerce (NBC) ndio mdhamini rasmi wa Ligi kuu ya Tanzania bara kwa msimu wa 2021-22. Sasa rasmi ligi ya Tanzania bara itaitwa NBC Tanzania …
Wakati Ligi Kuu Bara ikitarajiwa kuendelea Juni 13 ambapo kutakuwa na mechi mbili ya kwanza itakuwa kati ya Mwadui FC na Yanga na ya pili itakuwa kati ya Coastal Union …
Azam FC waliambulia pointi moja ugenini kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons uliochezwa jana Jumapili ikiwa ni mzunguko wa pili. Mashabiki ndani ya Uwanja wa …
Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kuendelea hii leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu ambao unawakutanisha kati ya Geita Gold dhidi ya Ihefu majira ya …
KIUNGO mchezeshaji wa Yanga, Salum Abubakari ‘Sure Boy’ muda wowote atafanyiwa operesheni ya bega ikiwa ni baada ya kupata majeraha hayo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera …
YANGA iliibuka na ushindi wa bao 1-0 Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex Jana usiku, ushindi ambao walitumia nguvu kubwa sana kupata kutokana …
WAKATI huu wa mapumziko ya Ligi Kuu Bara kutokana na kuwepo kwa mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika, maarufu kama AFCON uongozi wa Ihefu umeweka wazi kuwa kambi yao itakuwa …
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga hesabu zake kubwa kwa sasa ni kufanya vizuri kwenye mashindano makubwa matatu ambayo wanashiriki baada ya Mapinduzi 2024 kugota mwisho. Ukiwa na meridianbet odds …
MAONI YA MWANDISHI WETU: Baada ya kutangazwa kusajiliwa na Miamba ya Soka Tanzania klabu ya Simba SC, Kiungo mshambuliaji anayetokea ardhi ya Mama KIZIMKAZI, ardhi ya Hussein Mwinyi kwenye mizimu …
Licha ya Uwanja wa Al Hassan Mwinyi wa Tabora kufunguliwa ila mchezo kati ya Tabora United dhidi Yanga SC utapigwa kwenye uwanja wa CCM Jamhuri Dodoma. Yanga SC imetua …
KAZI ni kubwa kwenye mechi za Ligi Kuu Bara kutokana na kila timu kuonyesha uwezo wake kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Odds kubwa kasino ya mtandaoni na …
Kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi Kuu Tanzania Bara ( TPLB) imetupilia mbali shauri la klabu ya Yanga la kutaka marejeo ya adhabu ya kiungo wake Khalid Aucho ambaye …
Mkuu wa Benchi la Ufundi la Mtibwa Sugar Zuberi Katwila, amepanga kuja na mikakati miwili tofauti ambayo itakirejesha katika ubora kikosi chake ambacho kwa sasa kinaburuza mkiwa wa Ligi Kuu …
ZIKIWA zimebaki takribani siku mbili kuelekea Kariakoo Dabi mchezo unasubiriwa kwa hamu sana na shauku kubwa na watu mbalimbali ndani na nje ya Tanzania, hatimaye unakaribia kufika Novemba 5 kwenye …
KOCHA raia wa Brazil, anayeinoa Singida Big Stars Ricardo Ferreira amesema wazi kuwa mziki wa Yanga siyo mchezo, lakini wanakwenda kupambana kusaka alama tatu. Ricardo alisema, Yanga ni timu ambayo …
Kiungo Mkabaji wa kutoka DR Congo Yannick Bangala ameondolewa katika mipango ya Azm FC kuelekea mchezo wa Mzunguuko wasita wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Young Afrcans. Miamba hiyo …
“NI Ijumaa murua, Ijumaa ya kihistoria karibu kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika fainali ya kwanza katika historia kwenye dimba la Mkapa jijini Dar es Salaam …
Ligi kuu ya NBC Tanzania kurejea hii leo kwa michezo miwili, huku mchezo wa mapema kabisa utakuwa ni ule ambao unawakutanisha kati ya JKT Tanzania dhidi ya Kagera Sugar majira …
HATIMAYE mabosi wa klabu ya Azam FC, wamelazimika kuanza kuanzisha mikakati mipya ya kuhakikisha wanabeba kombe la Ligi Kuu Bara msimu ujao, kwa kuwataka benchi la ufundi kuhakikisha wanatumia sahihi …
Kocha Mkuu wa Yanga Muargentina Miguel Gamondi amezipa tahadhari timu za Ligi Kuu Bara. Hiyo ni baada ya timu yake kuanza vema kwa kushinda mechi mbili mfululizo mabao 5-0 walipocheza …