Jordan Asajiliwa Los Angeles Lakers.
Klabu ya Los Angeles Lakers wamesajili rasmi mkongwe DeAndre Jordan kwenye orodha yao, baada ya kutangaza rasmi jana [Alhamisi] usiku. Masharti ya usajili huo hayajatolewa, ingawa jarida la …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Los Angeles Lakers wamesajili rasmi mkongwe DeAndre Jordan kwenye orodha yao, baada ya kutangaza rasmi jana [Alhamisi] usiku. Masharti ya usajili huo hayajatolewa, ingawa jarida la …
Tukizungumzia derby sio tu kwenye soka, hata mchezo wa kikapu unaderby zake. LA Lakers na LA Clippers ni majirani, ila wamepata matokeo tofauti usiku wa kumkia leo. Lakers walikuwa uwanjani …
Burudani ya mchezo wa kikapu kunako Ligi ya NBA inaendelea! The Greek Beast, Giannis Antetokonumpo amekiwasha dhidi ya Golden State Warriors. Milwaukee Bucks walikuwa uwanjani wakichuana na Warriors katika muendelezo …
Kunako muendelezo wa NBA, timu ya Miami Heats imewaadhibu vinara wa Western Conference – Utah Jazz. Jazz ambaye anatamba kwa ushindi wa michezo 22 kati ya 24, wamejikuta wakiangukia pua …
Hakika NBA msimu huu mambo ni moto! Sio kwenye Eastern wala sio Western Conference, kote mambo ni mazito. Utah Jazz na LA Lakers, vita ya kusaka ubingwa inaendelea kuwa ya …
Katika muendelezo wa michezo ya NBA 2020/21. Milwaukee Bucks na Dallas Mavericks, wametoka kimasomaso katika michezo yao waliyocheza usiku wa kuamkia leo. Bucks wakiongozwa na Giannis Atentokounmpo, waliwalaza Indiana Pacers …
Muendelezo wa michezo ya NBA 2020/21 ni burudani inayopambwa na rekodi zinazowekwa na zingine zinavunjwa. Wapo wanaopanda na wapo wanaoshuka. LA Lakers, Milwaukee Bucks, Brooklyn Nets, Boston Celtics ni miongoni …
Mambo ni shwari kwenye viwanja kadha wa kadha kunako mchezo wa kikapu – NBA. Boston Celtics, Milwaukee Bucks na wengine kibao mambo ni safi. Ulikuwa ni kama mchezo wa marudiano …
Mambo yametaradadi kunako NBA msimu huu. Stephen Curry na LeBron James kwao ni ushindi tu! Golden State Warriors walikuwa uwanjani wikiendi hii kupambana na Portland Trail Blazers. Huu ni mchezo …
La Lakers wameondoka na ushindi kwa mara ya pili mfululizo wakati ambapo Milwaukee Bucks wamewagaragaza Chicago Bulls usiku wa kuamkia leo. Lakers walikuwa uwanjani kuchuana na San Antonio Spurs ambapo …
Mcheza kikapu wa Los Angeles Clippers, Montrezl Harrell amejinyakulia Tuzo nyingine ya NBA’s Sixth Man Award kwa mara ya tatu mfululizo kwa klabu ya LA Clippers. Montrezl amempokea mchezaji mwenzie …
Nyota wa Dallas Mavericks Luka Doncic amesisitiza kwamba Jeraha lake la kifundo cha mguu halikuwa baya sana baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Los Angeles Clippers. Doncic alifunga eneo la …
Baada ya janga la Corona kusimamisha msimu wa NBA, sasa ni rasmi Ligi hiyo ya kikapu Marekani inarejea tena Julai 30. Michezo yote iliyobakia kwa msimu huu itakuwa tofauti na …
NBA 2021/22 inaendelea kupamba moto viwanjani. Rekodi zinawekwa na kuvunjwa kila uchwao. Sasa ni zamu ya Phoenix Suns. Suns walikua uwanjani kuchuana na Golden State Warriors katika mchezo wa 19 …
Bado ni mwendo wa vuta n’kuvute kunako NBA msimu huu. Milwaukee Bucks vs Brooklyn Nets, Utah Jazz vs LA Clippers ni moto! Baada ya kuburuta mkia katika michezo miwili ya …
Mchezaji wa Milwaukee Bucks – Giannis Antetokounmpo amerejea kwenye vichwa vya habari baada ya kuwaangusha vigogo wa NBA kwenye mchezo dhidi ya LA Clippers. Bucks walikuwa uwanjani Jumapili usiku kupambana …
Nyota wa Los Angeles Lakers LeBron James amesema kwamba hatojihusisha na uvaaji wa jezi zenye ujumbe wa haki za kijamii wakati msimu wa NBA utakapoanza tena Orlando,Frolida. Wachezaji wengi wa …