Luis Suarez Amtumia Ujumbe Messi Baada ya Kutinga Fainali
Luis Suarez ametuma pongezi zake kwa mchezaji mwenzake wa zamani wa Barcelona Lionel Messi baada ya nyota huyo wa Argentina kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Dunia. Messi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Luis Suarez ametuma pongezi zake kwa mchezaji mwenzake wa zamani wa Barcelona Lionel Messi baada ya nyota huyo wa Argentina kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Dunia. Messi …
Klabu ya Atalanta imenga kuingia vitani kupambana na klabu ya Inter miami na River Plate kutaka kuwania huduma ya mshambuliaji anayemaliza muda wake kwa sasa kwenye klabu ya Atletico Madrid …
Mshambuliaji nyota wa klabu ya Atletico Madrid Luis Suarez amevunja ukimya baada ya kuhusishwa na kuhamia kwenye klabu ya Aston Villa inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza lakini siku ya jana …
Mambo yanakwenda kasi sana. Uwepo wa Steven Gerrard kule Villa Park ni kama kani ya uvutano wa sumaku. Wachezaji nyota wanavutiwa na Aston Villa. Inasadikika kuwa, Luis Suarez anatazamia kuungana …
Hakika nyota imemuwakia Luis Suarez msimu huu. Baada ya Barcelona kumtema, mshambuliaji huyu amekwenda kuwa lulu na kipenzi cha mashabiki wa Atletico Madrid. Suarez amekuwa mchezaji wa muhimu kwenye kikosi …
Nyota wa Atletico Madrid Luis Suarez anatajwa kuwa kwenye orodha ya wachezaji wanaoenda kuongezewa mshahara kwenye La Liga baada ya kuendelea vyema na maisha yake ya soka klabuni hapo. Nyota …
Habari njema kwa mashabiki wa Atletico Madrid na La Liga kwa ujumla, Luis Suarez kurejea tena uwanjani baada ya kupona COVID19. Suarez alikosekana kwenye michezo 4 ya Atletico baada ya …
Aliyekuwa nyota wa Barcelona, Luis Suarez, amebainisha sababu iliyomfanya amwage machozi alipokuwa anaondoka Barcelona kuelekea Atletico Madrid. Suarez anasema zilikuwa ni siku ngumu sana kwake, na alikuwa analia kwa sababu …
Luis Suarez amesema kwamba anajivunia baada ya Lionel Messi kumtetea kufuatia kuondoka kwake Barcelona kwenda Atletico Madrid. Suarez, 33 amejiunga na klabu ya Atletico kwa dau la Euro milioni sita …
Luis Suarez amwaga machozi katika mkutano wa kuwaaga Barcelona. Luis Suarez ni mmoja wa wachezaji ambao walikuwa zawadi kubwa kwa Barcelona kutokana na kuipenda kwao klabu. Suarez anatarajiwa kuondoka Barcelona …
Nyota wa Barcelona Luis Suarez mbioni kutimkia kwa mabingwa wa Italia – Juventus. Suareza anatarajia kutemana na Barcelona na kuondoka kama mchezaji huru ikiwa atafanikiwa kufanya makubaliano na Barcelona ili …
Lucas Leiva anatumai mchezaji mwenzake wa zamani wa Liverpool na Gremio Luis Suarez atapinga hamu ya kuwafuata Lionel Messi, Sergio Busquets na Jordi Alba kwenda Inter Miami. Nyota wa …
Luis Suarez amejiunga na klabu ya Gremio ya Brazil kwa mkataba wa miaka miwili. Mshambuliaji huyo wa Uruguay alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka katika klabu yake ya utotoni Nacional …
Nyota wa zamani wa Manchester United Patrice Evra alipenda picha kwenye mitandao ya kijamii ya Luis Suarez akilia baada ya Uruguay kuondolewa kwa Kombe la Dunia na kuendeleza uhasama wao …
Kocha mkuu wa Ghana Otto Addo amesisitiza Black Stars “haitalipiza kisasi” dhidi ya Uruguay watakapomenyana katika marudio ya mchezo wao wa robo fainali ya Kombe la Dunia 2010. Kufuatia …
Washambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis Suarez pamoja Edson Cavani wanajiandaa kucheza michuano ya kombe la dunia kwa mara ya nne kila mmoja, Baada ya kuitwa kwenye kikosi …
Mchezaji wa Atletico MadridΒ Luis Suarez anataka aliyekuwa kocha wa zamani Ronald Koeman amwambieΒ kwanini alimuondoa katika klabu yake ya Barcelona miaka miwili iliyopita. Suarez alijiunga na wapinzani wao …
Gonzalo Higuian amemuonya mshambuliaji wa Atletico Madrid Luis Suarez kuhusu kujuinga na ligi ya Major League Soccer ya Marekani kwamba ligi hiyo siyo nyepesi. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina …
Mshambuliaji wa zamani wa Ghana, Asamoah Gyan amefichua kuwa aliwahi kufikiria kumshambulia na kumdhuru Luis Suarez kufuatia kitendo cha Suarez kuikosesha Ghana fursa ya kutinga nusu fainali ya Kombe la …
Liverpool wanandelea kukiimarisha kikosi chao Januari hii sasa wamekaribia kumsajili mchezaji nyota wa Porto na timu ya taifa ya Colombia Luis Diaz kwa dau la awali la Euro milioni 40. …