Carlos Alcaraz Bingwa Madrid Open.
Kinda wa Tenisi, Carlos Alcaraz alimaliza wiki kwa kutwaa Ubingwa kwa ushindi wa seti moja kwa moja dhidi ya Alexander Zverev katika fainali ya Madrid Open. Baada ya ushindi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kinda wa Tenisi, Carlos Alcaraz alimaliza wiki kwa kutwaa Ubingwa kwa ushindi wa seti moja kwa moja dhidi ya Alexander Zverev katika fainali ya Madrid Open. Baada ya ushindi …
Mcheza Tenisi namba moja kwa ubora duniani, Novak Djokovic amefanikiwa kutinga nusu fainali ya mashindano ya Madrid Open baada ya kumfunga Hubert Hurkacz kwa seti 6-3 6-4. Robo fainali …
Andy Murray amejiondoa kwenye pambano lake la hatua ya 16 bora dhidi ya Novak Djokovic kwenye michuano ya Madrid Open kutokana na kuugua. Taarifa kwenye mtandao wa Twitter wa …
Mcheza Tenisi, Andy Murray amepata ushindi wake wa kwanza dhidi ya wachezaji 20 bora mwaka huu kwa ushindi wa 6-1 3-6 6-2 dhidi ya Denis Shapovalov katika mashindano ya …
Kwa mara ya kwanza, Rafael Nadal anapoteza mchezo kwenye uwanja wa tope baada ya kuambulia kipigo kutoka kwa Rafael Zverev kunako Madrid Open 2021. Zverev alikuwa akichuana na Nadal katika …
Bingwa namba 1 kwa ubora duniani (kwa wanawake), Ashleigh Barty, amefuzu hatua ya fainali kunako mashindano ya Madrid Open 2021. Barty amefanikiwa kutua hatua ya fainali baada ya kumfunga Paula …
Mchezaji namba 1 kwa ubora duniani (mchezo wa tenesi kwa wanaume), Novak Djokovic, hatotetea ubingwa wake wa Madrid Open baada ya kujitoa kwenye mashindano ya mwaka huu. Djokovic ameomba radhi …
Jitihada za kuendelea kuona watu wanafurahia michezo kipindi hiki zinaendelea. Andy Murray ameungana na wachezaji weninge kujisajili kwa ajili ya kucheza Madrid Open ya mtandaoni mwisho wa mwezi huu kati …
“Hata nisingepokea simu,” alisema rais wa Shirikisho la Soka la Ufaransa Noel Le Graet wakati akijadili kama angewahi kufikiria Zinedine Zidane kuwa meneja wa Ufaransa, huku Didier Deschamps akitangazwa kuwa …
Liverpool: Hatima ya Manchester City, Liverpool, Chelsea na Tottenham imeamuliwa kwenye droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa mapema hii leo Novemba 07, 2022. Liverpool wamepewa mtihani …
Rafael Nadal gwiji wa mchezo wa tenesi duniani na mwanatenesi anayeongoza kwa mataji makubwa ya tenesi maarufu kama Grand Slams amekubali kua alizidiwa kwenye michuano ya wazi ya Marekani. Gwiji …
Klabu ya Real Madrid wanajiandaa kupeleka dau la €90m kwaajili ya kiungo wa Borussia Dortmund, Jude Bellingham. Lakini mabingwa hao wa Spain na Ulaya hawataweza kumchukua mcheza huyo kwa …
Klabu ya Real Madrid inatarajia kufanya hafla fupi ya kumuaga kapteni wa timu hiyo, Marcelo ambaye anatarajia kuondoka klabuni hapo baada ya kudumu kwa miaka 15 katika dimba la Santiago …
Klabu ya Real Madrid imekamilisha rasmi usajili wa kiungo wa Monaco, Aurelién Tchouaméni kwa mkataba wa kudumu wa miaka sita pale Santiago Bernabeu. Taarifa rasmi inathibitisha makubaliano kamili kati …
Muda wa Gareth Bale na Real Madrid umefika mwisho ambapo mkataba wake utaacha kufanya kazi Juni 30 na tayari amewaaga Real Madrid. Kwa miaka mingi Bale am,ekuwa akihusishwa kutemana na …
Klabu ya Real Madrid leo imehitaji majibu na maelezo kwa kile kilichotokea kwenye mchezo wa fainali ya ligi mabingwa ulaya usiku wa tarehe 28 may 2022 ambapo klabu hiyo ilikutana …
Mlinda mlango wa Marekani, Gabriel Slonina atajwa moja ya nyota kinda anaewaniwa na Mabingwa wa Ulaya, Real Madrid na Chelsea. Slonina anayechezea timu ya MLS ya Chicago Fire, ni …
Antonio Rudiger anasubiri kuanza kazi tu na Real Madrid baada ya uhamisho wake wa bure kwenda kwa mabingwa hao wa Ulaya kuthibitishwa. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alikataa …
Antonio Rudiger amethibitisha kwamba atajiunga na Real Madrid mkataba wake na Chelsea utakapomalizika mwishoni mwa mwezi huu. “Ninajivunia kutangaza kwamba nitajiunga na Real Madrid. Nina furaha kubwa kwa changamoto zote …
Kiungo wa Real Madrid Isco amethibitisha kwamba ataondoka Bernabeu kama mchezaji huru wakati wa dirisha hili la usajili na ilionekana anaweza kutimkia Uingereza ambako alikuwa akihusishwa na vilabu kama Chelsea, …