Bobb Aongeza Mkataba Katika Klabu ya Manchester City
Winga wa Manchester City Oscar Bobb ameongeza mkataba wake na klabu hiyo hadi 2029 kuitumikia klabu hiyo. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Norway, mwenye miaka 20, amecheza mechi 16 hadi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Winga wa Manchester City Oscar Bobb ameongeza mkataba wake na klabu hiyo hadi 2029 kuitumikia klabu hiyo. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Norway, mwenye miaka 20, amecheza mechi 16 hadi …
Klabu ya Manchester City leo wameona mwezi baada ya kufanikiwa kupata ushindi dhidi ya klabu ya Luton Town katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza. Manchester City baada ya kutopata …
Klabu ya Manchester City na Chelsea wako kwenye kipindi kigumu kwasasa baada ya klabu ya Everton kupokonywa alama 10 baada ya kuvunja sheiria za matumizi ya fedha. Everton wamepokwa alama …
Klabu ya Manchester City imefanikiwa kupata alama tatu kwa kishindo baada ya kuibamiza Bournamouth mabao sita kwa moja, Huku winga Jeremy Doku akitakata. Manchester City wakiwa katika uwanja wao wa …
Klabu ya Manchester City wamefanikiwa kuibuka kidedea katika mchezo derby kati yao na mahasimu zao klabu ya Manchester United ambapo wamefanikiwa kushinda mabao matatu kwa bila. Mchezo huo uliopigwa katika …
Manchester City wao wanaendelea kutembeza vichapo tu katika ligi kuu ya Uingereza ambapo leo wamefanikiwa kushinda kwa jumla ya mabao matatu kwa moja dhidi ya klabu Westham United. Manchester City …
Klabu ya Manchester City imetawala tena kwenye orodha ya wachezaji wa kiume wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Fifa ambazo zinatarajiwa kutolewa hivi karibuni. Manchester City imefanikiwa kutoa …
Taarifa zinaeleza kua mabingwa wa soka kutoka nchini Uingereza klabu ya Manchester City walikua wanamtaka beki kinda wa kushoto wa klabu ya Barcelona Alejandro Balde. Manchester City walikua wanafuatilia kwa …
Klabu ya Manchester City imefanikiwa kumalizana na klabu ya Wolverhampton kwajili ya kiungo wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Ureno Matheus Nunes. Manchester City ambao walikua wanamuwinda kiungo huyo …
Manchester City wako tayari kuachana na mpango wa kumsajili mchezaji Matheus Nunes kutoka Wolves. Meridianbet wakali wa odds kubwa kila jamvi ushindi ni uhakika. Nunes amekataa kufanya mazoezi lakini Wolves …
Klabu ya Manchester City wameendeleza wimbi la ushindi katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kufanikiwa kuifunga klabu ya Sheffield United kwa mabao mawili kwa moja. Mabao ya Earling Haaland …
Klabu ya Manchester City baada ya kushindwa kumsajili mchezaji wa klabu ya Westham United Lucas Paqueta sasa wamehamia kwa kiungo klabu ya Wolves raia wa Ureno Matheus Nunes. Manchester City …
Klabu ya Manchester City ambao ni mabingwa wa ulaya leo watashuka dimbani katika mchezo wa Uefa Super Cup kumenyana na mabingwa watetezi wa Uefa Europa League klabu ya Sevilla. Mchezo …
Klabu ya Manchester City wako mbioni kukamilisha dili la beki wa kimataifa wa Croatia anayekipiga katika klabu ya Rb Leipzig ya nchini Ujerumani Josko Gvardiol. Manchester City walishamalizana na beki …
Klabu ya Manchester City wamefanikiwa kupeleka ofa kwa klabu ya West Ham kwajili ya kiungo wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Uingereza Declan Rice. Manchester City wamepeleka kiasi cha …
Klabu ya Manchester City imefikia kwenye hatua nzuri ya kumsajili beki wa kimataifa wa Croatia anayekipiga klabu ya Rb Leipzig inayoshiriki ligi kuu ya Ujerumani Josko Gvardiol. Manchester City wanaripotiwa …
Klabu ya Manchester City imeingia kwenye vita ya kumsajili kiungo wa klabu ya West Ham United Declan Rice ambaye amekua akifukuziwa kwa karibu na klabu Arsenal. Manchester City imeondokewa na …
Klabu ya Manchester City imetawala kwenye kikosi cha wachezaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya msimu huu baada ya kufanikiwa kuingiza wachezaji saba. Kikosi cha Manchester City ambacho ndio kimetwaa …
Pep Guardiola ameshinda taji lake kuu la 12 akiwa na Manchester City baada ya timu yake kunyakua taji la Ligi ya Mabingwa ambalo wamekuwa wakiliwinda kwa muda mrefu. Baada …
Mmiliki wa Manchester City Sheikh Mansour atahudhuria fainali ya Ligi ya Mabingwa leo hii usiku. Vyanzo vya klabu vimelithibitishia shirika la habari la PA kwamba sheikh huyo atakuwepo Istanbul …