Rooney Ateuliwa kua Kocha Mpya wa Birmingham City
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Wayne Rooney ametangazwa kua kocha mpya wa klabu ya Birmingham City. Rooney ameteuliwa kuiongoza Birmingham City …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Wayne Rooney ametangazwa kua kocha mpya wa klabu ya Birmingham City. Rooney ameteuliwa kuiongoza Birmingham City …
Marcus Rashford amefichua jinsi Wayne Rooney yuko tayari kuvunja rekodi yake ya mabao Manchester United. Rooney anaongoza orodha ya wafungaji wa muda wote Old Trafford akiwa na 253, lakini …
Nahodha wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney amewaambia Harry Maguire na Mason Greenwood waondoke Old Trafford. Maguire alivuliwa unahodha wiki iliyopita katika hatua nyingine iliyoonekana kufanywa na meneja …
Gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney anatarajwa kuifundisha timu ya mastaa wanaocheza ligi kuu nchini Marekani katika mchezo dhidi ya klabu ya Arsenal unaotarajiwa kupigwa mwezi …
Manchester United wanaripotiwa kupanga kumnunua nyota wa Tottenham na nahodha wa Uingereza Harry Kane mwishoni mwa msimu huu. Kane mwenye miaka 29, ameweka pamoja wasifu wa kuvutia wa mabao …
Cristiano Ronaldo amefanya mahojiano na Piers Morgan, na kumshutumu Kocha Ten Hag na Viongozi wa United kwa kile anachokiona yeye kuwa ni usaliti. Wachezaji wa Manchester United wameripotiwa kuhisi kuwa …
Wayne Rooney ameunga mkono hadharani uteuzi wa kikosi cha Gareth Southgate katika Kombe la Dunia la England, akikiri kwamba hajali kujumuishwa kwa nyota wasio na kiwango Harry Maguire na Trent …
Marcus Rashford alidai kuwa alikuwa kwenye ‘nafasi bora ya kupiga kichwa’ baada ya kufunga bao la kihistoria kwa Manchester United na kuipatia timu yake ushindi dhidi ya West Ham. Rashford …
Golikipa namba moja wa Manchester United raia wa Hispania David de gea anajianda kucheza wa 500 ndani ya klabu hiyo kesho katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya …
Gwiji wa Manchester United Wayne Rooney anasisitiza kuwa mchezaji mwenzake wa zamani Cristiano Ronaldo lazima akabiliane na ukweli mchungu kwamba yeye si ‘mchezaji aliokuwa’ huku akisubiri nafasi chini ya Erik …
Wayne Rooney amekiri kuwa goli lake dhidi ya Manchester City mwaka 2011 halikuwa bao bora katika maisha yake ya soka. Nahodha huyo wa zamani wa England alisema alikuwa ‘mbaya’ kwenye …
Phil Neville amempa heshima kubwa Wayne Rooney kwa kushughulikia tukio linalodaiwa kuwa la ubaguzi wa rangi wakati wa mchezo kati ya timu zao mbili za Ligi Kuu ya Soka. Inter …
Wayne Rooney amewataka Makocha wa Uingereza kuacha ukaidi, kufikiria kazi nje ya nchi ili kujiimarisha na kujiendeleza kama makocha. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester United na Everton, kwa sasa …
Sakata la staa wa klabu ya Paris Saint German ya nchini Ufaransa Klian Mbappe linachukua sura mpya kadri siku zinavyokwenda. Nyota wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu …
Mchezaji wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney amekubaliana na klabu ya D.C. United ya MLS na tayari amerejea nchini Marekani kwaajili ya kuanza majukumu mapya na klabu hiyo. Rooney …
Mchezaji wa zamani na Manchester United na kocha wa Derby County Wayne Rooney ameachana na klabu hiyo leo, waraka wa klabu umethibitisha hilo. Waraka wa Derby County ulisomeka “Wayne Rooney …
Mchezaji wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney amemcheka Christainao Ronaldo baada ya nyota huyo wa Ureno kudai kwamba Rooney anamuonea wivu. Rooney aliongea wiki hii kwamba staa huyo aliyesajiliwa …
Mada kuu kwa Manchester United sasa hivi ni kocha mpya. Rangnick amebakiza michezo 8 tu kuachia ngazi, Wayne Rooney anayake ya kusema. Kwa hali ilivyo mpaka sasa, hakuna mwenye uhakika …
Mchezaji lijendi na mwenye heshima kwenye historia ya Manchester United, Wayne Rooney, aweka wazi ndoto yake aliyonayo kwenye klabu hiyo. Rooney anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa United mwenye idadi …
Meneja wa Derby Country na mchezaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney anatajwa kuwa huenda akarithi mikoba ya Rafael Benitez ndani ya Goodison Park. Everton siku ya …