Gattuso Atimuliwa na Olympique Marseille
Kiungo wa zamani wa Milan na Italia Gennaro Gattuso ametimuliwa na klabu ya Marseille. Vyanzo vingi, ikiwa ni pamoja na L’Equipe na Fabrizio Romano, vinadai bodi ya Olympique Marseille imemfahamisha Gattuso …