Favre Haendi Popote – Michael Zorc.
Lucien Favre ataendelea kubaki katika klabu ya Borussia Dortmund msimu ujao na kiongozi wa michezo Michael Zorc anatumainiΒ kumuongeza mkataba mpya Giovanni Reyna. Kocha huyo kutoka nchi ya Uswis amebakiwa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Lucien Favre ataendelea kubaki katika klabu ya Borussia Dortmund msimu ujao na kiongozi wa michezo Michael Zorc anatumainiΒ kumuongeza mkataba mpya Giovanni Reyna. Kocha huyo kutoka nchi ya Uswis amebakiwa …
Mkurugenzi wa Borussia Dortmund, Michael Zorc amesisitiza kwamba Erling Braut Haaland ataendelea kuwepo klabuni hapo katika msimu wa usajili wa kiangazi hata kamani watakosa nafasi katika nne bora za Bundesliga. …
Jadon Sancho amekuwa hayupo kwenye fomu nzuri msimu huu lakini atarejea kwenye kiwango chake bora katika timu ya Borussia Dortmund, hii ni kwa mujibu wa mkurugenzi wa michezo Michael Zorc. …
Michael Zorc ametupilia mbali uvumi unao endelea juu ya staa Erling Haaland kuihama klabu ya Borussia Dortmund na kusema Dortmund ina mpango wa muda mrefu na nyota huyo. Haaland ameendelea …
Sebastien Haller anasema kurejea uwanjani na kuifungia Borussia Dortmund mabao “yote ni bonasi” baada ya kupona saratani. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast alifunga mabao mawili katika ushindi …
Klabu ya Borussia Dortmund wamemsajiri mshambuliaji wa kimataifa wa Ujerumani Karim Adeyemi kutoka nchini Australia kwenye klabu ya Salzburg ambao ni mabingwa wa nchi hiyo leo jumanne. Klabu ya Dortmund …
Baada ya ushindi wa 3-0 wa Borussia Dortmund dhidi ya Greuther Furth Jumatano, Erling Haaland alionekana akipunga ncha zote nne za Signal Iduna Park katika kile kilichotafsiriwa kama ishara ya …
Tetesi zinasema, Newcastle United imeonyesha nia ya kumtaka kiungo wa Uingereza, Jesse Lingard katika dirisha dogo la Januari, mchezaji huyo mwenye miaka 28 kandarasi yake inataraji kuisha katika kipindi …
Kuelekea dirisha kubwa la usajili barani Ulaya. Jadon Sancho ameanza kuviteka vichwa vya habari kwa mara nyingine msimu huu. Klabu ya Borussia Dortmund imeripotiwa kupunguza dau la kumsajili nyota wao …
Mambo yanaendelea kushika kasi linapokuja suala la usajili wa Erling Haaland. Safari za Mino Raiola zinaanza kutoa majibu ya maswali yaliyokuwa yakijificha. Mapema mwezi huu, wakala wa Haaland (Mino Raiola) …
Tetesi zinasema Barcelona wanakaribia kufikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Manchester City Sergio Aguero, 32 japo itategemea na Lionel Messi kuendelea kusalia Camp Nou. Mkufunzi wa Manchester United Ole …
Klabu ya Borussia Dortmund imetoa tamko kuhusu tetesi za usajili wa Julian Brandt. Arsenal wanahusishwa na mchezaji huyo. Brandt (miaka 24) anahusishwa kutimkia EPL mwezi huu ingawa bado anamkataba na …
Real Madrid inaripotiwa kuupa kipaumbele uhamisho wa Kylian Mbappe wa Paris Saint-Germain dhidi ya Erling Braut Haaland wa Borussia Dortmund mnamo 2021. Wakati Real Madrid wakiwa sokoni kumtafuta nyota wa …
Tetesi zinasema mkurugenzi wa michezo wa Borussia Dortmund Michael Zorc anatazamia kumuona mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland katika klabu hiyo kwa muda mrefu. Nyota huyo aliye na miaka 20- …
Tetesi zinasemaΒ Barcelona huenda ikamsajili mshambuliaji wa Liverpool raia wa Senegal Sadio Mane, 28, au kiungo wa kati wa Uholanzi Gini Wijnaldum, 30, baada ya kipengee katika makubaliano yaliyowezesha Philippe Coutinho …
Mchezaji wa Borussia Dortmund – Giovanni Reyna, amesaini kandarasi mpya itakayombakiza klabuni hapo mpaka 2025. Ikiwa ni wiki 1 imepita tangu alipotimiza miaka 18 na kupata nafasi ya kuitumikia timu …
Klabu ya Manchester United wamekuwa wakikimbizana na saini ya Jadon Sancho kwa dirisha lote la msimu huu wa joto bila mafanikio. Msimamo wa Borusia Dortimund ni kuwa wasingeweza kumuachia Sancho …
Winga wa Klabu ya Borussia Dortmund, Jadon Sancho amesema kuwa “anafurahi sana” kushirikiana na wachezaji wachanga wa Klabu hiyo na anataka kusaidia kuwaongoza – Winga huyo wa kimataifa England mwenye …
Taarifa zinaripoti kuwa Klabu ya Manchester United hawajakata tamaa ya kumfukuzia nyota wa Borusia Dortmund, Jason Sancho. Wakati huo, klabu ya Borusia Dortmund tayari walishaweka wazi kuwa staa huyu atasalia …
Jadon Sancho anatarajia kurudi mazoezini wiki hii hali ya kuwa kuna mazungumzo mapya ya uwezekano wa kuondoka kwenda Manchester United. Nyota huyo wa Uingereza amekuwa akihusishwa na kuhamia na Mashetani …