Milan Skriniar kusalia ndani ya Inter Milan.
Milan Skriniar beki huyo wa Inter Milan ya nchini Italia ataendelea kusalia klabuni hapo kuendelea kuitumikia miamba hiyo ya soka nchini Italia. Mtendaji mkuu wa klabu hiyo Giussepe Marotta ameeleza …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Milan Skriniar beki huyo wa Inter Milan ya nchini Italia ataendelea kusalia klabuni hapo kuendelea kuitumikia miamba hiyo ya soka nchini Italia. Mtendaji mkuu wa klabu hiyo Giussepe Marotta ameeleza …
Katika kujiandaa na usajili wa dirisha dogo mwezi Januari. Tottenham Hotspurs wanatajwa kumsajili beki kisiki wa Inter Milan – Milan Skriniar kwa dau la pauni milioni 45. Inter Milan walithibitisha …
Klabu ya Tottenham inafanya mazungumzo ya kumsajili mlinizi Milan Skriniar. Skriniar anatajwa kuwa sokoni, baada ya kushindwa kuendana na mfumo wa Antonio Conte. Kwa mujibu wa vyanzo vya taarifa za …
Milan Skriniar amejiunga na Paris Saint-Germain kwa uhamisho wa bure. Beki huyo wa kati wa Slovakia mwenye miaka 28, alimaliza muda wake wa miaka sita katika klabu ya Inter Milan …
Inter Milan wanatarajiwa kufufua nia yao ya kutaka kumnunua beki wa kati wa Manchester United, Victor Lindelof huku timu hiyo ya Serie A ikijiandaa kufanyia marekebisho safu yake ya ulinzi …
Simone Inzaghi hatapoteza muda kuwazia kitakachotokea siku za usoni huku kukiwa na uvumi juu ya mustakabali wa Milan Skriniar ndani ya Inter. Beki Skriniar alikosa safari ya hapo jana …
Victor Lindelof ameingia kwenye rada za klabu ya Inter Milan wakihitaji kupata saini ya beki huyo wa kimataifa wa Sweeden ili kuziba pengo la beki wake Milan Skriniar ambaye atatimkia …
Kulingana na Sky Sport Italia, Milan Skriniar sasa ameiarifu Inter kuwa hatasaini pendekezo la mkataba mpya, kwa hivyo yuko tayari kutathmini chaguzi zingine zote. Uamuzi huo ulikuwa hewani kwa …
Kulingana na La Repubblica, Kalidou Koulibaly wa Chelsea ni mojawapo ya chaguo kwa Inter ikiwa Milan Skriniar hatasaini kuongeza mkataba na Nerazzurri. Miamba hao wa Serie A wametoa ofa …
Klabu ya Inter Milan ya nchini Italia imekumbana na kipigo chao cha tatu msimu huu katika ligi kuu nchini Italia baada ya kufungwa na klabu ya Udinese mapema mchana wa …
Inter Milan wanaripotiwa kukaribia kukamilisha dili la kumsajili Malang Sarr kwa mkopo kutoka Chelsea. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 amekuwa na changamoto ya kupata nafasi kwenye safu ya …
Mechi kali leo kati ya AC Milan dhidi ya mahasimu wao wa jiji Inter Milan katika dimba la San Siro katika Serie A na inakuwa ni Milan Debi ya 229. …
Inter watakuwa kwenye mawindo yao ya ushindi wa 10 kumfululizo katika Serie A pale watakapo kabiliana na Napoli huku The Nerazzurri wakiwa na matumaini ya kutwaa taji la Scudetto msimu …
Klabu ya Tottenham Hotspur inatarajia kumleta Milan Skriniar klabuni hapo katika dirisha lijalo la uhamisho la msimu wa joto, licha ya uwezekano wa kuwa na ushindani mkubwa. Mourinho anaonekana kuwa …
Inter Milan vs Napoli, wanakutana kwa mara ya pili ikiwa ni nafasi ya kufukuzana na kinara Milan. Pointi moja tu inazitenganisha timu hizi kwenye msimamo wa ligi, Inter wametoka Ligi …
Inter Milan wamemkaribisha mlinzi wap Milan Skriniar kikosini baada ya kuwepo nje ya dimba kwa mda mrefu tangia alipopatikana na virusi vya Corona. Nyota huyu anarejea wakati Inter Milan wakiwa …
Inter Milan wanakumbana na wiki ngumu wakiwa wanajiandaa kuumana na AC Milan na huku wachezaji wake sita kwa sasa wakiwa na maambukizi ya Covid-19. Antonio Conte atakuwa na siku moja …
Manchester United wako tayari kuongeza juhudi zao za kumnasa beki wa Inter Milan, Milan Skriniar baada ya Waitaliano hao kuthibitisha kuwa mchezaji huyo anaweza kuondoka msimu huu wa joto. Lakini …
Real Madrid na Barcelona wanataka kumsajili Milan Skriniar wa pale Inter Milan. Kwa mujibu wa wakala Mithat Halis, yeyote kati ya Barca na Real anaweza kumnasa staa huyu. Skriniar alitimba …
Victor Osimhen alirejea Napoli baada ya jeraha la paja alipokuwa akiichezea Nigeria, lakini cha kushangaza alionekana kuachana na nembo yake ya kinga. Mshambuliaji huyo alikuwa nje ya uwanja …