Murray Atinga Nusu Fainali BOSS Open, Stuttgart.
Mchezaji tenisi wa Uingereza, Andy Murray ameonyesha kiwango bora na kutinga hatua ya nusu fainali ya BOSS Open, mjini Stuttgart baada ya kumfunga Tsitsipas hapo jana. Mchezji nambari moja …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mchezaji tenisi wa Uingereza, Andy Murray ameonyesha kiwango bora na kutinga hatua ya nusu fainali ya BOSS Open, mjini Stuttgart baada ya kumfunga Tsitsipas hapo jana. Mchezji nambari moja …
Mcheza Tenisi wa Uingereza, Andy Murray amefanikiwa kutinga robo fainali ya BOSS Open mjini Stuttgart baada ya kumfunga muaustralia Christopher O’Connell. Murray, 35 ameshinda michezo miwili mfululizo siku ya …
Andy Murray amejiondoa kwenye pambano lake la hatua ya 16 bora dhidi ya Novak Djokovic kwenye michuano ya Madrid Open kutokana na kuugua. Taarifa kwenye mtandao wa Twitter wa …
Mcheza Tenisi, Andy Murray amepata ushindi wake wa kwanza dhidi ya wachezaji 20 bora mwaka huu kwa ushindi wa 6-1 3-6 6-2 dhidi ya Denis Shapovalov katika mashindano ya …
Mcheza Tenisi namba moja duniani, Andy Murray amepoteza mchezo na kuondolewa rasmi kwenye mashindano ya BNP Paribas Open na Alexander Bublik wa Kazakhstan kwa seti moja kwa moja pale …
Mcheza Tennis wa Uingereza, Andy Murray na kocha Ivan Lendl wameungana tena kwa mara ya tatu huku wawili hao wakitarajiwa kufanya kazi pamoja kujiandaa na msimu mpya. Lendl …
Mcheza tennis namba 87 kwa ubora duniani Andy Murray ameondolewa kwenye mashindano ya Qatar ExxonMobil Open baada ya kupoteza kwa mfululizo wa set kwenye hatua ya 16 bora. Andy Murray …
Bingwa mara mbili wa Wimbledon, Andy Murray ametinga hatua ya 16 bora katika michuano ya Qatar Open kwa ushindi wa 6-2, 6-2 dhidi ya mchezaji namba 110 duniani Taro …
Mcheza Tenisi, Andy Murray bado anaamini ataendeleza ubora katika michezo yake anapojitayarisha kuelekea Doha katika michuano yake ijayo akiwa na kocha Colin Fleming kando yake. Murray alitengana na …
Amahakika, ng’ombe wa masikini hazai. Licha ya kuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na majeruhi, kurejea kwa Andy Murray kumeishia mzunguko wa pili kule Melbourne. Murray amerejea kwenye mashindano …
Kuelekea moja ya mashindano makubwa kwenye ulimwengu wa tenesi. Djokovic na Murray kushiriki mashindano ya US Open. Andy Murray anapata nafasi ya kuingia kwenye mashindano haya baada ya Stan Wawrinka …
Kuelekea mashindano ya Tokyo Olympics 2021, Andy Murray kuchuana na Felix Auger-Aliassime kwenye mzunguko wa kwanza kunako tenesi. Murray ambaye anamedali 2 za dhahabu kwenye mashindano ya Olympic (2012 na …
Mashindano ya Wimbledon 2021 yanaendelea kutimua vumbi nchini Uingereza. Baadhi ya wachezaji wamejitoa kwa sababu mbalimbali, wengine wanaendelea kuonesha ubora wao. Andy Murray ameonesha uwezo wake katika mchezo uliokuwa na …
Kuelekea mashindano ya Olympics yatakayofanyika Tokyo 2020, Japan – Andy Murray ajumuishwa kwenye kikosi cha Uingereza. Bingwa mara mbili wa Olympics [Andy Murray] atachuana na Dan Evans kwenye mpambano wa …
Baada ya kukaa nje ya uwanja toka mwezi Machi, aliyewahi kuwa mchezaji namba moja (kwa wanaume) duniani, Andy Murray anatarajia kuanza kujifua wikiendi hii. Murray atasafiri kuelekea Rome-Italia ambapo anatarajia …
Katika hali isiyo ya kawaida, aliyewahi kuwa mchezaji namba 1 kwa ubora kwenye mchezo wa tenesi – Andy Murray, hakushangazwa na Novak Djokovic kutwaa ubingwa wa Australian Open. Djokovic alifanikiwa …
Andy Murray atayakosa mashindano ya Australian Open 2021 baada ya kukosekana kwa suluhisho kwenye utaratibu wa kukaa karantini nchini Australia. Murray alishindwa kusafiki kutoka Uingereza kwenda Australia baada ya kukutwa …
Aliyewahi kuwa mchezaji wa tenesi namba 1 duniani – Andy Murray, yupo mashakani kwenye kushiriki mashindano ya Australian Open 2021 baada ya kukutwa na COVID19. Murray alitarajia kuanza safari kuelekea …
Muingereza Andy Murray ameamua kujiondoka kwenye mashindano ya ATP yatakayofanyika Delray Beach wiki ijayo, sababu ikiwa sio majeruhi. Andy Murray atauanza msimu wa 2021 katika michezo itakayofanyika jijini Florida hii …
Mashindano ya French Open 2020 yamemuanzia vibaya Andy Murray baada ya kupoteza mchezo wa kwanza. Andy Murray alirejea uwanjani baada ya kuwa nje kutokana na majeraha. Kurejea kwake kulimkutanisha na …