Rasmi : Dean Smith Kocha Mkuu Norwich City.
Baada ya tetesi zilizozagaa kwa kipindi cha wiki nzima hatimaye aliyekuwa meneja wa Aston Villa, Dean Smith ameteuliwa kuwa meneja mpya wa klabu ya Norwich City inayoshiriki Ligi kuu …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Baada ya tetesi zilizozagaa kwa kipindi cha wiki nzima hatimaye aliyekuwa meneja wa Aston Villa, Dean Smith ameteuliwa kuwa meneja mpya wa klabu ya Norwich City inayoshiriki Ligi kuu …
Aston Villa, Watford na Newcastle United wameshaamua makocha wapya. Norwich City bado hakijaeleweka ni Frank Lampard vs Dean Smith. Vilabu vinne kati ya vitano vinavyoshikilia nafasi za mwishoni kwenye msimamo …
Timu ya Sheffield United iliyokuwa ikishika mkia wa EPL, hatimaye wameshuka rasmi kwenda kwenye daraka la kwanza. Timu hiyo imekutwa na kadhia hiyo baada ya kufungwa goli 1-0 dhidi ya …
Msimu huu wapa! Wazee wa mikeka wameshaandaa kalamu na karatasi kwa ajili ya kuandika hesabu za pesa zao, tunaanzia hapa; Liverpool V Norwich City. Liverpool wanatarajia kufanya vyema zaidi ya …
Kocha wa klabu ya Norwich City Dean Smith ameilalamikia penati waliyozawadiwa Man City kwenye dakika za mwisho kwenye dimba la Carrow Road kwenye mchezo wa ligi kuu ya Uingereza japo …
Lampard amejitoa kwenye kinyang’anyiro cha kuinoa klabu ya Norwich City na kumwachia nafasi Dean Smith kuwa kocha anayepewa kipaumbele kuweza kibeba mikoba hiyo. Lampard alifanya mazungumzo na klabu ya Norwich …
Frank Lampard mbioni kutangazwa kama kocha mkuu wa timu ya Norwich City muda wowote kuanzia sasa kutokana na uhitaji mkubwa wa kocha kwenye klabu hiyo tokea imuoneshee njia ya kutokea …
Michuano ya Carabao Cup ikiwa imefikia raundi ya tatu kuendelea leo ambapo timu mbalimbali nchini Uingereza kujitupa viwanjani kutafuta nafasi ya kusonga hatua inayofuata hapa tunachambua mechi kati ya Norwich …
Arsenal na Norwich ndiyo timu ambazo zinashika mkia katika msimamo wa Premier League baada ya mechi za wiki ya tatu wote wakiwa wamefungwa michezo yote na kuruhusu jumla ya magoli …
Hakika dirisha la usajili limewanyookea Aston Villa kwa hali ilivyo kwa sasa. Tayari Bailey, Buendia na Ings wameshatua Villa Park lakini kunauwezekano wa wengine kuja. Villa wapo mbioni kumuachia nahodha …
Klabu ya Norwich City iliyopanda EPL imetangaza kumsajili mchezaji Billy Gilmour kutoka Chelsea kwa mkopo akitokea Chelsea na atahudumu klabu hii mpya kwa muda wa mwaka mmoja mmoja, yaani 2021/2022. …
Baada ya kushuka daraja msimu wa 2019/20, Norwich City sasa wanarejea kwenye EPL msimu ujao, 2021/22. Vijana wa Carrow Road wanaendelea kujiweka sawa kuelekea msimu ujao. Norwich wameshamrudisha kwenye timu …
Wakati tukiendelea kuburudika na Euro 2020, EPL imetoa ratiba rasmi ya msimu wa 2021/22. Mambo yananoga! Mabingwa watetezi, Manchester City wataanza safari ya kutetea ubingwa wa EPL kwa kuchuana na …
Hakika muda unakwenda kasi sana. Baada ya kushuka daraja msimu uliopita, Norwich City kurejea tena kwenye EPL msimu ujao baada ya kufanya vizuri kwenye Championship msimu huu. The Canaries watarejea …
Inasemekana klabu ya Norwich City haitokubali kupokea dau lolote kwa wachezaji wake watatu wanaowindwa na vilabu mbalimbali kwenye dirisha hili la usajili. Max Aarons, Todd Cantwell na Emiliano Buendia ni …
Kiungo na nahodha David Silva, 34, amesema hakuna chochote anachoweza kukibadilisha katika kipindi cha miaka 10 ya mafanikio ndani ya jezi za Manchester City. Nyota huyu wa zamani wa …
Pep Guardiola anatarajia kuona maendeleo ya klabu yake ya Manchester City dhidi ya Norwich City watakapojiandaa na mchezo wao wa pili wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madrid. Wshindi …
Chelsea vs Norwich: Chelsea leo ni mwenyeji wa Norwich, akiwa anataka kujisimika katika nafasi yake ya 3, huku mbio za kuikamata nafasi hiyo zikiwa ni moto hasa kufuatia taarifa kuwa …
Michuano ya kombe la FA nchini Uingereza sasa imefikia katika hatua yake ya nusu fainali. Jumla ya timu nne zimefuzu kushiriki hatua hii inayofuata ya mashindano hayo ili zipatikane timu …
Mchezaji wa Norwich City ni mmoja ya watu wawili walikutwa na Virusi vya Corona kwenye raundi ya mwisho ya vipimo 1200 vya Premier League. Upimaji ulifanyika Alhamisi na Ijumaa wakati …