Nuno Espirito Santo; El Sackico Imetiki.
Kama ilivyotarajiwa na wengi, aliyekuwa kocha wa Tottenham Hot Spurs, Nuno Espirito Santo apigwa na kitu kizito. Kibarua chake kimeota mbawa. Mchezo wa wikiendi iliyopita kati ya Spurs vs Man …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kama ilivyotarajiwa na wengi, aliyekuwa kocha wa Tottenham Hot Spurs, Nuno Espirito Santo apigwa na kitu kizito. Kibarua chake kimeota mbawa. Mchezo wa wikiendi iliyopita kati ya Spurs vs Man …
Wakala Jorge Mendes anatajwa kuwa kwenye harakati za kutafuta timu nyingine kunako EPL kwa ajili ya kocha Nuno Espirito Santo Hii ni habari ya kushtua kidogo kufuatia kocha huyo kusaini …
Nuno Espirito Santo ameelezea kwamba “Mpira wa miguu ni mchezo usiyo na huruma” lakini anaendelea mbele kuangalia changamoto mpya baada ya kutimuliwa na Tottenham wiki iliyopita. Kocha huyo wa raia …
Hakika mwezi Agosti ulikua ni mwezi wenye burudani, visa na mikasa ya kila namna. Mwisho wa siku, viwanja viliamua. Tuzo za EA Sports zatoa washindi wa mwezi. Mshambuliaji wa West …
Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane hakutajwa katika kikosi cha wachezaji wake kwa mechi yao ya ufunguzi wa msimu wa Ligi Kuu dhidi ya Manchester City, ambayo walishinda 1-0 bila yeye. …
Harry Kane atapatikana kwa mchezo wa Tottenham dhidi ya Manchester City mchezo wao wa kwanza wa Premier League siku ya Jumapili, kocha Nuno Espirito Santo amedokeza. City, ambao ni wapinzani …
Baada ya kutoonekana mazoezini akiwa na Spurs, Harry Kane kufanya mazungumzo na kocha mpya – Nuno Espirito Santo leo, swali ni Je, kitaeleweka? Kane anajaribu kutengeneza mazingira ya kulazimisha klabu …
Nuno Espirito Santo alisema hajazungumza na Harry Kane tangu mshambuliaji huyo kutohudhuria mazoezi ya Spurs lakini anatarajia kuzungumza naye “hivi karibuni”. Kocha mkuu huyo mpya wa Tottenham anaonekana bado hajakutana …
Baada ya kuitumikia Spurs kwa mkataba wa msimu mmoja chini ya Jose Mourinho, Gareth Bale hatorejea tena klabuni hapo. Kocha mpya wa Spurs, Nuno Espirito Santo, amethibitisha kutokuwepo kwa Bale …
Kocha mpya wa Tottenham Nuno Espirito Santo amedai kuwa Harry Kane bado ni mali ya timu hiyo na hauzwi kama ilivyodaiwa na kuvunja matumaini ya Chelsea na City. Akizungumza na …
Baada ya kukabidhiwa kibarua cha kukinoa kikosi cha Tottenham Hot Spurs kama kocha mkuu, Nuno Espirito Santo ametangaza benchi lake la ufundi. Rui Barbosa (kocha wa makipa) na Antonio Dias …
Mbivu na mbichi za Harry Kane na Spurs bado hazijajulikana, Nuno Espirito Santo kufanya mazungumzo na nahodha huyo baada ya Euro 2020. Kuelekea mwishoni mwa msimu wa EPL, 2020/21, Harry …
Kocha mpya wa Tottenham Hotspur Nuno Espirito Santo ameripotiwa kuhakikishiwa kuwa Harry Kane hataondoka klabuni hapo msimu huu wa joto. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 anatamani kupata klabu …
Klabu ya Tottenham wamemteua bosi wa zamani wa Wolves Nuno Espirito Santo kama meneja wao mpya kwa kandarasi ya miaka miwili. Nuno aliondoka Wolves mnamo Mei baada ya misimu …
Wakati dirisha la usajili likiwa linaendelea, baadhi ya vilabu vinaendelea na mchakato wa kupata makocha wapya. EPL kunogeshwa na ujio wa Rafa Benitez. Ni suala la muda tu kabla ya …
Nuno Espirito Santo bosi wa zamani wa Wolves ameibuka kama mshindani mkubwa wa nafasi ya usimamizi wa Tottenham. Mkurugenzi mpya wa mpira wa miguu wa Spurs Fabio Paratici anaongoza kutafuta …
Everton bado wanahaha kumtafuta mbadala wa Carlo Ancelotti baada ya kocha huyo kuamua kurudi Real Madrid. Nuno Espirito Santo anaendelea kutajwa. Baada ya kushindwa kufikia makubaliano na Crystal Palace na …
Nuno Espirito Santo Kocha mkuu wa Wolves alitoa kiasi cha £250,000 kusaidia kupambana na umasikini katika jiji la Wolverhampton. Nuno, ambaye amekuwa akisimamia klabu ya Ligi Kuu tangu 2017, alitoa …
Kocha wa Wolves, Nuno Espirito Santo akiuzungumzia mchezo wa leo dhidi ya Chelsea; “Chelsea ni timu nzuri sana, ina wachezaji wengi, wengi wenye vipaji sana, kuna wengine ambao walikuwepo na …
Kocha wa Wolverhampton – Nuno Espirito Santo ameweka wazi hisia zake za kufurahishwa na namna Diogo Jota alivyooanza maisha ndani ya klabu ya Liverpool. Wolves waliamua kumuuza Jota kwa ada …