Paul Scholes: Sikua Bora kama Mainoo
Kiungo gwiji wa zamanin wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Paul Scholes amemsifia kiungo kinda wa klabu hiyo Kobbie Mainoo kua yeye hakua bora kama …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kiungo gwiji wa zamanin wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Paul Scholes amemsifia kiungo kinda wa klabu hiyo Kobbie Mainoo kua yeye hakua bora kama …
Kiungo gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United Paul Scholes amemfanisha kiungo wa klabu hiyo anayefanya vizuri kwasasa ndani ya klabu hiyo Carlos Casemiro na kiungo gwiji wa zamani …
Paul Scholes ametilia shaka uamuzi wa meneja wa Manchester United Erik ten Hag kumtoa Jadon Sancho na kuchukua nafasi ya Fred wakati wa sare ya 1-1 jana na Chelsea, akielezea …
Paul Scholes amemwita Antony kuwa ni mchezaji wa mbinu moja huku pia akilenga safu ya ulinzi ya Jadon Sancho na Erik ten Hag kufuatia matokeo ya Manchester United yasiyoridhisha dhidi …
Paul Scholes kiungo fundi wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza ametaja goli lake bora la muda wote wakati akicheza mpira. Tofauti na ilivyotarajiwa …
Paul Scholes amekiri kwamba kulikuwa na kipengele kikubwa cha bahati kilichohusika katika lengo muhimu zaidi la kazi yake. Kiungo huyo wa zamani wa Manchester United ndiye nyota wa hivi punde …
Christian Eriksen anakiri kuwa ni jambo la kupendeza kulinganishwa na gwiji wa Manchester United Paul Scholes lakini, anasisitiza pia anataka kutengeza jina lake mwenyewe Old Trafford. Kiungo huyo wa kati …
Manchester United imethibitisha kuwa Casemiro atavaa jezi namba 18 na kufuata nyayo za gwiji wa klabu hiyo Paul Scholes. Kiungo huyo wa kati wa Brazil, (30), amesajiliwa na Man UTD …
Msururu wa viungo wote duniani aliovaana Paul Scholes yupo mmoja Zinedine Zidane alimzimia sigara, hadi leo anaamini hajawahi kukutana na kiungo mgumu zaidi yake. Pengine ndiye mchezaji pekee anayejuta kutokucheza …
Mwandishi mmoja aliwahi kuhoji kuhusu Paul Scholes lakini alichojibiwa hakukiamini. Yule mwandishi alimsogelea tena Socrates ili amsikie vizuri, ni kama masikio yake hayakuamini alichokuwa anasikia. “si umeniuliza kiungo bora wa …
Yule mwandishi alimsogelea tena Socrates ili amsikie vizuri, ni kama masikio yake hayakuamini alichokuwa anasikia. “Si umeniuliza kiungo bora wa katikati kwa sasa duniani? Basi jibu langu halitabadilika, ni mvulana …
Legendari wa Manchester United Paul Scholes amefunguka kwamba United ilikuwa karibu kumsaini fundi wa Kibrazil Ronaldinho mnamo mwaka 2003. Ronaldinho alivivutia vilabu vingi vikubwa barani Ulaya baada ya kuonyesha kiwango …
Bruno Fernandes amesema anatamani angecheza na wakongwe wa Manchester United Roy Keane na Paul Scholes na ana amini utatu wao ungekua ni moto wa kuotea mbali. Fundi huyo wa mpira …
Kiungo wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes amekashifu suala la kuajiri wachezaji kunako klabu ya Manchester United kwa klabu hiyo katika madirisha ya hivi majuzi ya uhamisho, na kueleza …
Paul Scholes amekiri kushangazwa na uwezo wa Casemiro kwenye mpira baada ya Mbrazil huyo kuonesha kiwango cha kuvutia la kiufundi kwa Manchester United kwenye Ligi ya Europa. Casemiro, aliyesajiliwa kwa …
Scholes amesma kuwa Michael Carrick na jopo lote la maokocha hawakupaswa kubaki kwenye timu ya Manchester United kufuatiwa kufukuzwa kwa kocha mkuu Ole Gunnar Solskjaer. Mshambuliaji huyo wa zamani wa …
Man United wanapoteza nafasi nyingine kwenye Ligi ya Mabingwa, Ole Gunnar Solskjaer anakibarua cha kufanya msimu huu. Solskjaer ameingia kwenye anga za mashabiki wenye hasira wa Man United, hii ni …
Kulingana na mtazamo wa Paul Scholes anadai kuwa Thiago Alcantara sio aina ya mchezaji wa ‘Jurgen Klopp’ na angefaa zaidi Manchester United kuliko Liverpool. Gwiji huyo wa Old Trafford …
David de Gea amekuwa ni taizo halisi katika timu ya Manchester United amesema Paul Scholes lakini mkongwe huyo wa Red Devils anahisi uboreshwaji wa beki ya kati unabaki katika mahitaji …
Paul Scholes na Michael Owen wanaamini kwamba Manchester United wanaweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kuingia ndani ya sita bora kwenye msimamo kwa msimu wa 2020/21. Ushindi …