Nyumbani Tafuta
Real Madrid - matokeo ya utafutaji
Endapo haujapendezwa na utafutaji basi tafuta tena
Real Madrid Yadondosha Pointi
Real Madrid walikosa nafasi ya kurejea ndani ya pointi tatu nyuma ya vinara wa LaLiga Barcelona baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na...
Odds Nono Wikiendi ya Leo Liverpool, PSG, Real Madrid
Wikiendi hii ni ya kibabe Zaidi ikisindikizwa na Odds nono na kubwa kutoka Meridianbet, ni FA Cup, Serie A, La Liga, Ligue 1 na...
Real Madrid Wenyeji Madrid Derby Leo
Klabu ya Real Madrid itakua mwenyeji katika mchezo wa Madrid Derby dhidi ya mahasimu wao klabu ya Atletico Madrid katika mchezo kombe la mfalme...
Real Madrid Kujifuta Machozi dhidi ya Bilbao Leo
Klabu ya Real Madrid leo itashuka dimbani dhidi ya klabu ya Atletico Bilbao kwenye mchezo wa ligi kuu ya Hispania utyakaopigwa katika dimba la...
Real Madrid Hawana Mpango wa Kumuachia Camavinga
Klabu ya Real Madrid inaelezwa haipo kwenye mpango wa kumuachia mchezaji wa klabu hiyo Eduardo Camavinga ambaye inaelezwa klabu ya Arsenal inamnyatia kwenye dirisha...
Tchouameni Aomba Radhi Real Madrid
Kiungo wa klabu ya Real Madrid Aurelien Tchouameni ameiomba radhi klabu yake ya Real Madrid kutokana na kitendo chake cha kuhudhuria mchezo wa kikapu...
Real Madrid Kulipiza Kisasi Leo?
Klabu ya Real Madrid leo itashuka dimbani kumenyana na klabu ya Villarreal ambapo mchezo huo unatafsiriwa kama mchezo wa kisasi baina ya timu hizo...
Alejandro Garnacho Aikataa Real Madrid Achagua Kusalia United
Alejandro Garnacho anakaribia kusaini mkataba mpya na Manchester United baada ya kukataa kujiunga na Real Madrid. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka...
Real Madrid Vs Barcelona Ndani ya Saudia
Mchezo wa El Clasico kati ya Real Madrid dhidi ya klabu ya Barcelona ambao ni mchezo wa fainali ya kombe la Spanish Cup utapigwa...
Ronaldo Ajiunga na Real Madrid Saudia Rodrygo Ashindwa Kujuzuia
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil Rodrygo alijiunga na Real Madrid mwaka 2019, mwaka mmoja baada ya Cristiano Ronaldo kumaliza historia yake ya kubeba taji...