ISCO: Tutabeba Ubingwa wa La Liga Sisi au Real Madrid
Kiungo wa klabu ya Real Betis Isco Alarcon anaamini wana nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Hispania msimu huu na kama watashindwa basi klabu yake ya zamani ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kiungo wa klabu ya Real Betis Isco Alarcon anaamini wana nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Hispania msimu huu na kama watashindwa basi klabu yake ya zamani ya …
Kiungo wa Real Madrid Isco amethibitisha kwamba ataondoka Bernabeu kama mchezaji huru wakati wa dirisha hili la usajili na ilionekana anaweza kutimkia Uingereza ambako alikuwa akihusishwa na vilabu kama Chelsea, …
Kiungo wa zamani wa klabu ya Real Madrid Isco Alarcon anaendelea kuwasha moto ndani ya klabu yake ya sasa ya Real Betis inayoshiriki ligi kuu nchini Hispania. Isco amekua na …
Kiungo wa zamani wa klabu ya Real Madrid, Malaga, na Sevilla Isco Alarcon amefanikiwa kurudi uwanjani na kujiunga na klabu ya Real Betis kwa uhamisho huru. Kiungo Isco alijiunga na …
Real Madrid wamewalenga wapinzani wao Barcelona kufuatia madai ya Joan Laporta kuwa ni klabu ya utawala kutokana na video ambayo imetembea mtandaoni. Rais wa Barcelona Laporta alijitetea kwa utetezi …
Mchezaji huru Isco yuko kwenye mazungumzo na Konyaspor baada ya kushindwa kukamilisha uhamisho wa kwenda Union Berlin, Makamu wa rais wa klabu hiyo ya Uturuki Mehmet Akcan amefichua. Isco, …
Kiungo wa zamani wa klabu ya Real Madrid Isco Alarcon amekwama kujiunga na klabu Union Berlin inayoshiriki ligi kuu ya Ujerumani baada ya dili lake kukwama dakika za mwisho. Mchezaji …
Kiungo wa zamani wa klabu ya Real Madrid alievunja mkataba wake na klabu ya Sevilla Francesco Isco Alarcon ameiingiza Arsenal Vitani kwenye dirisha dogo. Kiungo huyo ambaye alijiunga na klabu …
Kiungo wa zamani wa klabu ya Real Madrid Isco Alarcon amevunja mkataba na mkataba na klabu yake ya Sevilla ambayo alikua anaitumikia tangu mwezi Agosti mwaka huu. Nyota huyo ambaye …
Jorge Sampaoli kocha wa klabu ya Sevilla amesema klabu hiyo itatoa tamko kuhusu nyota wake Isco ambaye inataarifiwa yuko mbioni kuvunja mkataba na timu hiyo. Kocha huyo amesema mpaka sasa …
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Real Madrid Isco Alacorn leo atarejea katika uwanja wa Santiago Bernabeu yalipo maskani ya Real Madrid ambapo utapigwa mchezo kati ya Real Madrid wakiwa …
Mabingwa wa ligi kuu ya Hispania klabu ya Real Madrid wameshatua kwenye jiji la Paris ndani ya uwanja wa ndege Charles de Gaulle international airport mishale ya saa 18:00 kwa …
Mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Brazili anayekipiga kwenye klabu ya Real Madrid Β Marcelo amefanikiwa kuingi kwenye kumbukumbu za klabu hiyo ya kuwa mchezaji aliyefanikiwa kubebe mataji mengi kuliko mchezaji yeyote …
Muda wa Isco Alarcon klabuni Real Madrid unaonekana kufika ukingoni wakati staa huyu akionekana kupoteza radha kwenye kikosi cha Real Madrid. Ripoti zinataja kuwa staa huyu tayari ameshafahamu hatma yake …
Carlo Ancelotti anaripotiwa kuwa amefanya maamuzi juu ya uwepo wa nyota wake Isco Alarcon pale Real Madrid. Isco amekuwa na wakati mgumu sana kupata nafasi kwenye kikosi cha Real Madrid. …
Real Madrid wanajiandaa kucheza mchezo wao wa mwisho siku ya Jumatano dhidi ya Athletic Bilbao katika dimba la Mames. Carlo Ancelotti tayari ana idadi kubwa ya wachezaji wa kikosi cha …
Mkuu wa Barcelona Eduard Romeu amekiri kwamba Real Madrid wanaweza kuwachukua kwa pamoja Kylian Mbappe na Erling Braut Haaland msimu ujao wa joto. Paris Saint-Germain imeripotiwa kukwama kukubali ofa kutoka …
Licha ya kumkosa Kylian Mbappe katika dirisha lililopita la usjaili Real Madrid haijakata tamaa bado wapo kwenye mipango ya kumleta Bernabeu mshambuliaji huyo wa Ufaransa ambaye mkataba wake na PSG …
Klabu ya Real Madrid wameweka bei yao ya kumuuza kiungo wao Isco, baada ya klabu ya AC Milan kuonyesha nia ya kutaka kumvuta katika ligi ya Serie A. Madrid …
Isco amekata nywele zake, na kusababisha mijadala kwenye mitandao ya kijamii. Picha kutoka kwenye mazoezi ya Real Madrid huko Valdebebas ilionyesha sura mpya ya kiungo huyo, na watumiaji wa Twitter …