Riyad Mahrez na Ufalme Wake Man City, Ahusika kwenye Mabao 200
WINGA matata wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Algeria Riyad Mahrez anazidi kuwa mtamu na kiwango chake kimeonekana kuwa kikubwa kila mechi, na sasa kwenye mechi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
WINGA matata wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Algeria Riyad Mahrez anazidi kuwa mtamu na kiwango chake kimeonekana kuwa kikubwa kila mechi, na sasa kwenye mechi …
Pep Guardiola anasema hakuridhishwa na Riyad Mahrez kwa kupuuzia maelekezo yake katika kipindi cha kwanza katika ushindi wa 6-3 dhidi ya RB Leipzig katika mchezo wa ligi ya mabingwa usiku …
Mabingwa watetezi wa EPL, Manchester City, wanapanga kumuongezea mkataba nyota wao – Riyad Mahrez. Mahrez alikuwa kwenye kiwango thabiti msimu uliopita akiisaidia timu hiyo kubeba ubingwa wa EPL sambamba na …
Manchester City wanamlenga winga wa Barcelona Raphina kuchukua nafasi ya Riyad Mahrez aliyekwenda Saudi Arabia. Mahrez mwenye miaka 32, yuko mbioni kujiunga na Al-Ahli kwa pauni milioni 30 baada …
Winga wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Algeria Riyad Mahrez amefanikiwa kufikia makubaliano na klabu ya Al Ahli kwajili ya kujiunga na timu hiyo. Manchester City …
Klabu ya Saudi Arabia Al-Ahli iko tayari kupeleka ofa ya pauni milioni 30 kumsajili Riyad Mahrez kutoka Manchester City. Klabu hiyo ya Saudi tayari imetoa ofa ya pauni milioni …
Riyad Mahrez anaamini Oleksandr Zinchenko alikuwa miongoni mwa wachezaji watatu bora wa Manchester City kabla ya uhamisho wake kwenda Arsenal. Raia huyo wa Ukraine aliwasili Uwanja wa Etihad mwaka 2016 …
Kiungo nyota wa klabu ya Manchester City Riyad Mahrez amesaini kandarasi ya kubakia kwenye viunga vya klabu hiyo hadi mwaka 2025. Riyad Mahrez alisajiriwa na klabu ya Manchester City mwaka …
Erling Haaland amefunguka kwamba Riyad Mahrez alisaidia katika harakati za Manchester City kuitaka saini ya mshambuliaji huyo wa Norway wakati wa dirisga hili la majira ya kiangazi. Mahrez alikutana na …
Winga wa Man City Riyad Mahrez na Raheem Sterling wanatajwa kuwekwa sokono kwa dirisha lijalo la uhamisho. Licha ya kupata magoli 14 na asisti 12 kwenye michuano yote msimu huu, …
Riyad Mahrez ameifikia rekodi ya Yacine Brahimi ya kuwa mchezaji bora wa Algeria katika historia ya Champions League kwa kufikisha mabao 8 baada ya kufunga bao la pili dhidi ya …
Riyad Mahrez na Aymeric Laporte wote wamepima na kukutwa na virusi vya Corona klabu ya Manchester City yathibitisha. Klabu hiyo ya Premier League imesema kwamba wawili hao wameambukizwa COVID-19 ingawa …
Riyad Mahrez na Aymeric Laporte wote wamepimwa na kukutwa na Covid-19. Manchester City imethibitisha katika taarifa ya Klabu kwamba wawili hao wameambukizwa virusi na sasa wapo kipindi cha kujitenga (Quarantine). …
Siku kadhaa nyuma kulikuwa na habari kwamba klabu ya soka ya AS Roma imeanza kukata tamaa ya kumnasa mchezaji Riyad Mahrez! Ilikuwa ni mara baada ya wao kuona kuwa klabu …
Ligi ya Saudia Arabia bado haijamalizana na mpira wa Uingereza Inamtaka tena MO Salah, baada ya kuwachukua wachezaji baadhi waliokipiga katika Ligi Kuu ya Uingereza (Premier League) kama Ng’olo Kante, …
Pep Guardiola anadai njaa iliyoonyeshwa na wachezaji wake wa Manchester City hadi sasa msimu huu imemshangaza. Baada ya kumalizika kwa kampeni ya mshindi wa Treble 2022-23, kulikuwa na hofu …
Roberto Firmino alifunga mabao matatu βhat-trickβ katika mechi yake ya kwanza ya Al Ahli huku mshambuliaji huyo wa zamani wa Liverpool akipata msururu wa Ligi Kuu ya Saudia msimu uliopita. …
Erling Haaland alimaliza msimu wake wa kwanza Manchester City akiwa na mabao 52 kwa jina lake. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Norway alimaliza kwa kukimbia kwa bao moja pekee …
Ilkay Gundogan amekubali mgawo wake wa lawama baada ya viongozi wa Ligi kuu ya Uingereza Manchester City kushindwa kupata mkwaju wa penalti dhidi ya Leeds wanaokabiliwa na hatari ya kushuka …
Pep Guardiola amekataa kuwakosoa Ilkay Gundogan na Erling Haaland kwa kukosa penalti katika ushindi mwembamba usiotarajiwa wa Manchester City wa 2-1 dhidi ya Leeds. Haaland alimwacha Gundogan wakati City …