Rodrygo: Siwezi Kwenda Saudia
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil Rodrygo Goes amesema hawezi kwenda kucheza ligi kuu ya Saudia maarufu kama Saudi Pro League. Rodrygo amesema hajapokea …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil Rodrygo Goes amesema hawezi kwenda kucheza ligi kuu ya Saudia maarufu kama Saudi Pro League. Rodrygo amesema hajapokea …
Kiungo mshambuliaji wa Real Madrid Rodrygo Silva de Goes akifahamika zaidi kwa jina lake moja la Rodrygo, mtoto wa mitaa ya Osasco Jiji la Sao Paul Brazil. Amekuwa na kiwango …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil Rodrygo alijiunga na Real Madrid mwaka 2019, mwaka mmoja baada ya Cristiano Ronaldo kumaliza historia yake ya kubeba taji akiwa na klabu hiyo, na alikuwa …
Wachezaji wa Brazil Rodrygo na Marquinhos wamewaonya wachezaji wenzao juu ya kujiamini zaidi kulekea Kombe la Dunia, huku wakiwa ni timu inayopigiwa chapuo na watu wengi kuwa na nafasi kubwa …
Mchezaji wa Real Madrid Rodrygo anaona kuwa kuchukua nafasi ya Kareem Benzema “haiwezekani” hata hivyo Mbrazili huyo anajitoa kwa hali na mali katika timu hiyo ili aweze kuziba pengo la …
Rodrygo ni mshambuliaji mzuri, Carlo Ancelotti amemsifu mchezaji huyo baada ya kufunga bao kwenye mchezoo dhidi ya Betis. Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti alisema kuwa, mchezaji huyo mwenye umri …
Mwaka 2019 Rodrygo alipiga chini nafasi ya kuijunga na Barcelona na badala yake alijiunga na Real Madrid kipindi ambacho aliondoka Santos. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil mwenye umri wa …
Kinda wa Brazil, Rodrygo amesema hataki kuwa “Neymar mpya” wakati akifafanua kulinganishwa kwake na nyota huyo wa Selecao. Rodrygo ni mmoja wa wachezaji wachanga wenye vipaji katika mpira wa miguu …
Katika mfululizo wa zile mechi za kirafiki ambao unaendelea leo itapigwa mechi kali ya kirafiki kati ya mataifa mawili makubwa kimpira ambapo timu ya taifa ya Uingereza itaikaribisha timu ya …
Kocha wa Klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameandaa mipango mitatu kujaribu kuiondoa Manchester City katika Ligi ya Mabingwa mwezi ujao mchezo wa kuwania kufuzu nusu fainali. Jisajili na Meridianbet …
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amemlinganisha kiungo Jude Bellingham na Galactico Zinedine Zidane wa zamani. Bellingham alifunga bao la pili la Madrid dhidi ya Napoli huku vijana wa …
Kiungo wa klbu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Uruguay Federico Valverde amefanikiwa kusaini kandarasi mpya ndani ya klabu hiyo itakayomueka ndani ya timu hiyo mpaka mwaka 2029. …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Eduardo Camavinga amefanikiwa kuongeza mkataba wa kuendelea kusalia ndani ya klabu ya Real Madrid mpaka mwaka 2029. Eduardo …
Nyota wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania ambaye yupo kwa mkopo klabuni hapo akitokea klabu ya Espanyol Joselu amesema anatamani kusalia ndani ya klabu hiyo. …
Beki wa Real Madrid David Alaba amesema hakuwa na neno kufuatia mchezaji mwenzake Jude Bellingham kufanya vyema hivi karibuni. Madrid ya Alaba walionekana kupangiwa sare ya bila kufungana dhidi …
Carlo Ancelotti ameangazia uchezaji wa mchezaji aliyesajiliwa majira ya kiangazi Jude Bellingham wakati Real Madrid ikishinda 2-0 katika mechi ya kirafiki ya kujiandaa na msimu mpya dhidi ya Manchester United. …
Bao la Rodrygo dakika ya 89 liliifanya Real Madrid kurejea katika njia ya ushindi baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Rayo Vallecano wa katikati mwa msimamo Uwanja wa Bernabeu. …
Manchester City itasafiri hadi Uwanja wa Bernabeu kumenyana na Real Madrid katika mechi ya mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa siku ya kesho. Sare hiyo …
Ben Chilwell ameomba radhi kwa kadi nyekundu aliyopewa jana wakati Chelsea ilipochapwa mabao 2-0 na Real Madrid. Beki huyo wa kushoto wa Uingereza, Chilwell alipewa maagizo yake kabla ya …
Golikipa wa Real Madrid Thibaut Courtois amekiri kuwa Real Madrid iliachwa “imeathirika” na kushindwa kuitia Chelsea upanga katika ushindi wao wa Ligi ya Mabingwa hapo jana. Los Blancos walipata …