Milan: Hatufikirii Kumuuza Romagnoli!
Klabu ya AC Milan inaripotiwa kuwa haina mpango wa kumuuza nyota wake AlessioΒ Romagnoli katika msimu huu wa uhamisho wa kiangazi. Kapteni huyu amekuwa na changamoto ya mda wa kucheza …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya AC Milan inaripotiwa kuwa haina mpango wa kumuuza nyota wake AlessioΒ Romagnoli katika msimu huu wa uhamisho wa kiangazi. Kapteni huyu amekuwa na changamoto ya mda wa kucheza …
Kapteni wa AC Milan, Alessio Romagnoli ameripotiwa kuwa tayari amesharejea kwenye afya nzuri baada ya kuuguza jeraha lake. Kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, AC Milan wanatarajia kuwa pamoja …
Tetesi zinasema, Paris St-Germain wako tayari kumsajili mshambuliaji wa Liverpool Msenegal Sadio Mane, 30, huku kukiwa na ripoti kwamba amekwama katika mkataba wake mpya. Mkataba wa sasa unaisha Juni …
Mlinzi wa Ac Nilan Simon Kjaer atakuwa nje kwa msimu mzima baada ya kupata majeraha ya goti, kwenye mchezo ambao Ac Milan walishina goli 3-0 dhidi ya Genoa wiki hii, …
Mechi kali leo kati ya AC Milan dhidi ya mahasimu wao wa jiji Inter Milan katika dimba la San Siro katika Serie A na inakuwa ni Milan Debi ya 229. …
Zlatan Ibrahimovic na Olivier Giroud hawajajumuishwa kwenye orodha ya kikosi cha AC Milan kwa ajili mechi ya leo dhidi ya Juventus, wakati Mike Maignan akirejea. Kwa mujibu wa La Gazzetta …
AC Milan wamzindua jezi yao mpya ya Puma kwa msimu wa 2021-22, jezi ambayo imeweka usawa kwenye ubunifu kwa kuchanganya radha ya jadi na usasa. Puma na Milan wameshirikiana na …
AC Milan wanaripotiwa kuwa wamekataa kuzingatia uwezekano wa kukamilisha dili la mabadilishano la wachezaji wao na Juventus. Milan na Juventus walikuwa wanahusishwa na dili la kubadilishana wachezaji linalowahusisha Federico Bernardeschi …
AC Milan wanaendelea kupambana na janga la majeraha kwenye kikosi chao wakati wakiwa wanajiandaa na mechi yao ijayo dhidi ya Sampodoria. Wachezaji watano wanatarajia kuikosa mechi hii kwa sababu ya …
Mashindano ya Europa Laegue yanaendelea siku ya leo ikiwa ni hatua ya 16 na mechi zote nane zitachezwa siku ya Alhamisi na Manchester United watakuwa wakiwaongoza AC Milan katika dimba …
Mlinzi wa AC Milan Simon Kjaer amepata jearaha linalohofiwa kuwa kubwa. Jeraha lake linatajwa kuwa kiwango cha daraja la kwanza sehemu ya paja la kulia na huku akitazamia kufanyiwa vipimo …
Alessandro Bastoni, Gian Marco na Mattia Zaccagni wameongezwa katika kikosi cha Italia kwaajili ya michezo yao ijayo. Beki wa kati Baston na Ferrari wataziba pengo lililoachwa na Angelo Ogbonna na …
Stefano Pioli anaamini Milan walijitengenezea matatizo yao wenyewe na kufungwa 3-0 wakiwa katika dimba nyumbani dhidi ya Lille katika michuano ya Europa League. Yusuf Yazici alifunga hat-trick – ni kwa …
Tetesi zinasema Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta amesema kuwa amempatia mchezaji nyota wa zamani wa klabu hiyo Mesut Ozil ,32, “nafasi nyingi” kadri ya uwezo wake kabla ya kumuacha nje …
Kocha mkuu wa Ac Milan Stefano Pioli hana shaka juu ya Zlatan Ibrahimovic kuendelea kuwepo katika timu hiyo ikiwa mazungumzo yanaendelea juu ya uwezekano wa kuongeza mkataba kuendelea kuwepo San …
Ajenti wa mchezaji wa Aston Villa Jack Grealish, 24, anasema kwamba kiungo huyo wa kati hajafikia makubaliano ya kujiunga na Manchester United huku klabu hiyo ikimwekea thamani ya Β£80m. Klabu …
Winga wa Manchester City Leroy Sane, 24, yupo karibu kutua Bayern Munich kwa dau Β£70m. Vilabu vya Premier League vitakutana Ijumaa kujadili kama msimu utamalizika kabla ya Juni 30. Kama …
Milan vs Fiorentina! AC Milan wanamkaribisha Fiorentina baada dimbani San Siro baada ya kufululiza gemu tatu bila ushindi kwa michuano yote. Watakuwa na njaa ya kuupata ushindi kwenye gemu hii …
Klabu ya Chelsea imetoa ruhusa kwa klabu ya Derby ya kuchezesha wachezaji wote walio kwenye mkopo ambao ni pamoja na Mason Mount na Fikayo Tomori dhidi yao wakati wa mzunguko …
AC milan wanatafuta kuokoa mwanzo wao mbaya wa msimu 2018-19 wa Serie A wakisafiri kuelekea Sassuolo, upande ambao unashikilia nafasi ya tatu kwenye ligi hiyo kwa sasa wakiwa wameshinda magoli …