Wayne Rooney Apigwa Panga Birmingham.
Wayne Rooney inasemekana amefutwa kazi kama kocha wa Birmingham baada ya kushinda michezo 15 tu, Uamuzi huo umeanya na Tom Brady pamoja na bodi ya timu hiyo wakichukua hatua thabiti. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Wayne Rooney inasemekana amefutwa kazi kama kocha wa Birmingham baada ya kushinda michezo 15 tu, Uamuzi huo umeanya na Tom Brady pamoja na bodi ya timu hiyo wakichukua hatua thabiti. …
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Wayne Rooney ametangazwa kua kocha mpya wa klabu ya Birmingham City. Rooney ameteuliwa kuiongoza Birmingham City …
Marcus Rashford amefichua jinsi Wayne Rooney yuko tayari kuvunja rekodi yake ya mabao Manchester United. Rooney anaongoza orodha ya wafungaji wa muda wote Old Trafford akiwa na 253, lakini …
Nahodha wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney amewaambia Harry Maguire na Mason Greenwood waondoke Old Trafford. Maguire alivuliwa unahodha wiki iliyopita katika hatua nyingine iliyoonekana kufanywa na meneja …
Gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney anatarajwa kuifundisha timu ya mastaa wanaocheza ligi kuu nchini Marekani katika mchezo dhidi ya klabu ya Arsenal unaotarajiwa kupigwa mwezi …
Wayne Rooney amemuunga mkono Harry Kane kumaliza ukame wake wa mabao katika Kombe la Dunia na kuwa hai hii leo katika pambano la Uingereza la hatua ya 16 bora dhidi …
Wayne Rooney ameunga mkono hadharani uteuzi wa kikosi cha Gareth Southgate katika Kombe la Dunia la England, akikiri kwamba hajali kujumuishwa kwa nyota wasio na kiwango Harry Maguire na Trent …
Gwiji wa Manchester United Wayne Rooney anasisitiza kuwa mchezaji mwenzake wa zamani Cristiano Ronaldo lazima akabiliane na ukweli mchungu kwamba yeye si ‘mchezaji aliokuwa’ huku akisubiri nafasi chini ya Erik …
Wayne Rooney amekiri kuwa goli lake dhidi ya Manchester City mwaka 2011 halikuwa bao bora katika maisha yake ya soka. Nahodha huyo wa zamani wa England alisema alikuwa ‘mbaya’ kwenye …
Phil Neville amempa heshima kubwa Wayne Rooney kwa kushughulikia tukio linalodaiwa kuwa la ubaguzi wa rangi wakati wa mchezo kati ya timu zao mbili za Ligi Kuu ya Soka. Inter …
Wayne Rooney amewataka Makocha wa Uingereza kuacha ukaidi, kufikiria kazi nje ya nchi ili kujiimarisha na kujiendeleza kama makocha. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester United na Everton, kwa sasa …
Sakata la staa wa klabu ya Paris Saint German ya nchini Ufaransa Klian Mbappe linachukua sura mpya kadri siku zinavyokwenda. Nyota wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu …
Kocha wa klabu ya D.C. United Wayne Rooney amethibitisha kumsajiri mshambuliaji wa klabu ya Crystal Palace Christian Benteke na kusaini kandarasi ya miaka miwili na nusu. Benteke alikuwa ni miongoni …
Mchezaji wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney amekubaliana na klabu ya D.C. United ya MLS na tayari amerejea nchini Marekani kwaajili ya kuanza majukumu mapya na klabu hiyo. Rooney …
Mchezaji wa zamani na Manchester United na kocha wa Derby County Wayne Rooney ameachana na klabu hiyo leo, waraka wa klabu umethibitisha hilo. Waraka wa Derby County ulisomeka “Wayne Rooney …
Kocha wa Derby inayoshiriki Championship, Wayne Rooney anaongoza katika washiriki wanaopigiwa upatu kuinoa klabu ya Burnley baada ya kumtimua Sean Dyche. Burnley inayonolewa na kocha wa muda Mike Jackson imedumu …
Mchezaji wa zamani wa Manchester United Wayne Rooney amemcheka Christainao Ronaldo baada ya nyota huyo wa Ureno kudai kwamba Rooney anamuonea wivu. Rooney aliongea wiki hii kwamba staa huyo aliyesajiliwa …
Mada kuu kwa Manchester United sasa hivi ni kocha mpya. Rangnick amebakiza michezo 8 tu kuachia ngazi, Wayne Rooney anayake ya kusema. Kwa hali ilivyo mpaka sasa, hakuna mwenye uhakika …
Mchezaji lijendi na mwenye heshima kwenye historia ya Manchester United, Wayne Rooney, aweka wazi ndoto yake aliyonayo kwenye klabu hiyo. Rooney anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa United mwenye idadi …
Chama cha soka nchini Uingereza FA kimempa onyo Wayne Rooney baada ya kidai kuwa alivaa kiatu chenye meno marefu sababu alikuwa anataka kumuumiza mtu kwenye mchezo kati ya Man Utd …